Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 10,152
- 18,099
Honestly naupenda ugali sana sana hata niwe km Elon musk siku moja ugali iz my favorite, plus machalarii, pilau na chapati usisahau nyama samaki
Sure bro
Unamaanisha hatukua na zao la mahindi kabla ya ukoloni??Wakoloni walileta mbegu za mahindi kwa ajili ya mifugo, wamatumbi wakafanya ndalilo na hadi leo eti wanaita ugali kuwa ni chakula chao cha asili
Ndo maana akili yako imetulia sana MkuuSure bro
Ina maana bado utaula tu Hadi mwishoni mwa huu mwaka si ndio😅Ugali sio chakula......
Mi nimeanza kuukataa mdogo mdogo, yani mwaka huu ndio mwaka wangu wa mwisho kula ugali.
Umejuaje imetulia master 😅🤣🤣 ThibitishaNdo maana akili yako imetulia sana Mkuu
Tena haswa usukumani mpaka kando ya ukulya utotoni asubuhi unapewa ugali na Hindi la kuchemsha Usukumie.Ni kweli umetukuza kwasababu kiafrica mtoto hauchagui, chagua kushinda njaa au kula 😁
Ni nimeula basi tu, sikua na namna.
Lakini kaugali kalainiiiii lazima kawepo, ila nyie ugali uacheni tu😅😅.Mdudu ndizi mbili kachumbari
Na wali je?Ugali sio chakula......
Mi nimeanza kuukataa mdogo mdogo, yani mwaka huu ndio mwaka wangu wa mwisho kula ugali.
Bado hujala ugali wa mtama na uwele na kuku wa kienyeji aliyeungwa kwa maziwa wewe.Kwa sasa nimetimiza miaka mitano bila kula chakula aina ya ugali.
Kuhusu faida ni nyingi Sana mpaka sasa.
Nitazielezea Ila faida kubwa ni kuwa na mwili ambao umejengeka vizuri bila hata kwenda Gym.
Ya kweli hayo!Msosi unadumaza akili huo mi hata siuelewi yani
Kula na nguruwe bwasheeMsosi unadumaza akili huo mi hata siuelewi yani
Kwamba umekataa kula ugali ama umeachana na wanga kabisa? Maana wanga is unkwepekable things in life.Kazi ninayofanya haitaji kutumia wanga Sana Mkuu .
Ugali kwa dagaa aiseeDaah hongera mkuu ila Mimi kukaa bila kula ugali sijui kama ntakuja kuweza.
Kaugali fulani kalainiiiiiii na rosti ya mdudu yenye tupilipili kwa mbaali ni kitu siwezi kukaa mwezi bila kula😅😅
Sasa tuelezeni mnakula nini wakuu!Mimi situmii ugali kabisa toka kidato cha tano ila nimemisi ugali na kitimoto 😋😋😋😋