Nina miaka mitano sijala UGALI

Nina miaka mitano sijala UGALI

Tena haswa usukumani mpaka kando ya ukulya utotoni asubuhi unapewa ugali na Hindi la kuchemsha Usukumie.
Daaah umenikumbusha enzi hizo home boonge la ugali na dagaa zina michuzi kama yote afu zimewekewa na binzari 😂😂😂😂🙌🙌🙌

Acha tu niukache hapana asee nlioula umetosha
 
Ugali ndicho chakula duni kabisa kuwahi kutokea ulimwenguni.

Wanaokula ugali hata kwa kuwatazama tu ni watu waliojikatia tamaa.

Nimesahau mara ya mwisho kula ugali tena ilikuwa ugenini nikiwa sekondari nikashindwa kukataa nikamega vijitonge vya kuzugia kisha nikawashukuru.
 
Kwa sasa nimetimiza miaka mitano bila kula chakula aina ya ugali.

Kuhusu faida ni nyingi Sana mpaka sasa.

Nitazielezea Ila faida kubwa ni kuwa na mwili ambao umejengeka vizuri bila hata kwenda Gym.


"Niliwahidi tisheti nimeleta sijaleta "?
Unakula chakula gani mkuu tofauti na ugali? Unaweza kuweka ratiba yako ya ulaji hapa ya wiki nzima?
 
Kwa sasa nimetimiza miaka mitano bila kula chakula aina ya ugali.

Kuhusu faida ni nyingi Sana mpaka sasa.

Nitazielezea Ila faida kubwa ni kuwa na mwili ambao umejengeka vizuri bila hata kwenda Gym.


"Niliwahidi tisheti nimeleta sijaleta "?
Hii nayo ni thread? Acheni kujaza server za JF kwa mambo yasiyo na umuhimu.
 
Back
Top Bottom