Nina miaka mitano sijala UGALI

Nina miaka mitano sijala UGALI

Kwa sasa nimetimiza miaka mitano bila kula chakula aina ya ugali.

Kuhusu faida ni nyingi Sana mpaka sasa.

Nitazielezea Ila faida kubwa ni kuwa na mwili ambao umejengeka vizuri bila hata kwenda Gym.


"Niliwahidi tisheti nimeleta sijaleta "?
Sawa Angy Baby
 
Ugali Ni project ya ccm kulemaza watz
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Ugali ni mtamu jamani na kama umeuzoea kuucha ni kipengele me nikila kina wali hawashiki tumbo! We mola wangu!!
 
Hizi mambo sio, wazee wetu wamekuka ugali miaka yote miilibyao ipo safi,

Mwili wa binadamu umeubwa Kwa ufanisi wa hali ya juu sana, Cha Msingi Kufuta masharti maana maandiko yansema tufanye mambo Kwa kiasi
 
Tangu lini chumvi ikawa kitu kiibaya ? Chumvi ni electrolytes inaupa Moyo nishati ya umeme na mwili kuwa na energy. Ndio maana mnapata Matatizo ya Moyo mnaanza kuhangaika.


Hizo elimu zenu za mainstream zinawapotosha sana
Kukataa kula ugali kwamba ni chakula kubaya, sijui kwenye ladha ama kwenye muonekano halafu ukakimbilia wali ndio naona vituko.

Kiafya wali ni wa hovyo kuliko ugali maana wali una vitu 3 kwa pamoja, chumvi nyingi ambayo ni hatari kwa moyo, mafuta mengi na wanga nyingi.

Kwenye health benefits, wali ni hovyo kuliko ugali.
i i
 
IMG-20230122-WA0005.jpg
Hebu niacheni kwanza
 
Tangu lini chumvi ikawa kitu kiibaya ? Chumvi ni electrolytes inaupa Moyo nishati ya umeme na mwili kuwa na energy. Ndio maana mnapata Matatizo ya Moyo mnaanza kuhangaika.


Hizo elimu zenu za mainstream zinawapotosha sana

i i
Leta andiko lako ambalo sio la mainstream kuelezea chumvi faida zake. Maana kusema tu kwamba chumvi ni electrolytes bado ni mainstream education. Leta ya kwako modern utudundishe tuelewe.
 
Bado hujala ugali wa mtama na uwele na kuku wa kienyeji aliyeungwa kwa maziwa wewe.
huo siyo ugali anaousemea. hiyo inaitwa ndaga ikichanganywa kidogo na unga wa muhogo. Ugali wa unga wa mahindi ndio wa kishenzi kabisa. umechangia sana kudumaza akili za waafrika wa kusini mwa Jangwa la Sahara hadi CCM inatawala tu bila hata heka heka.
 
Mimi naenda hivi
Asubuhi


Chai ya rangi, bila sukari wala asali


Smoothie mix ya yogurt, ndizi mbivu, avocado, tende, korosho au karanga mbichi na mayai 2 ya kuchemsha

Mchana

Viazi vitamu/ maboga,/mihogo/ndizi mzuzu/mshale na samaki au kuku, maharage/ njegere na mboga za majani

Jioni
Chai rangi, matunda, korosho

Jtatu na Alhamis : fasting

Daku: saa11 alfajiri chai rangi na tende 5-7pcs
Iftar Jioni: samaki/kuku/maharage/njegere/ na mihogo/viazi vitamu/boga/ndizi mzuzu na tende


NB: naishi jirani na ofisi kwa hiyo muda mwingi nakula nyumbani
Pilau/Biriani kwa sikukuu tu kama kuna ulazima
Lengo lako hasa NI NINI? Afya?
 
Ugali ni chakula nikipendachoo, siwezi kaa siku 2 bila kula,
Siweziiiiiiu
 
Back
Top Bottom