andjul
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 18,709
- 119,603
Ingekuwa ni hivyo hao makomandoo walioachishwa kazi wasingeachwa wazagae mitaani mithili ya kuku wa kienyeji.Na kwa nini mbowe ahitaji ulinzi wa makomandoo na sio mabaunsa ambao hata yeye anaweza kuwapata maana zamani walikuwa watumishi .wake akiwa na bilicanas?
Je hao makomandoo wangefanya kazi zipi kwake ambazo zingekuwa mpya tofauti na maisha yake ya siasa zaidi ya miaka ishilini?
Je wajua komandoo mmoja anaweza kuwa na athali kubwa kwa nchi ambayo raia wengi hawana uelewa wowote wa kivita?