Luteni Denis Urio ni mhanga kama ilivyo kwa Mbowe na wale makomandoo watatu

Molembe

JF-Expert Member
Dec 25, 2012
9,821
11,527
Kuna watu wamekuwa wakimsema sana Urio kutokana na ushahidi alioutoa mahakamani, ukweli ni kwamba sio kweli kwamba Luteni Urio ni kihiyo na kilaza kama wengi wanayo fikria isipokuwa nae pia ni mhanga wa kesi hii.

Urio kwenye kesi ameweka dhamana ya cheo chake na ajira yake, bila kufanya vile hana ajira na angelikuwa yupo ndani, ndio maana ushahidi wake una kosa muunganiko mzuri, anachokifanya anakifahamu vizuri na sio kama wengine wanavyomfikria.

Urio hajawahi kwenda kwa DCI wala lengo lake halikuwa kuwalengesha wenzake, lengo lake na nia yake ya kumtafutia Mbowe walinzi ilikuwa nzuri isipokuwa mpango mzima ulitibuliwa na Mnyori Sabaya baada kupewa taarifa ya Mbowe kujiongezea ulinzi toka kwa watu wake aliokuwa amewapandikiza kwa Mbowe.

Baada kupata taarifa hizo akawashirikisha kina Kingai makomandoo wale wakakamatwa hali iliyopelekea kumtaja Urio na yeye pia akakamatwa, katika kujiokoa na kuokoa ajira yake Urio na Kaaya wakakubali kuwa mashahidi upande wa serikali.
 
Kuna watu wamekuwa wakimsema sana Urio kutokana na ushahidi alioutoa mahakamani, ukweli ni kwamba sio kweli kwamba Luteni Urio ni kihiyo na kilaza kama wengi wanayo fikria isipokuwa nae pia ni mhanga wa kesi hii.

Urio kwenye kesi ameweka dhamana ya cheo chake na ajira yake, bila kufanya vile hana ajira na angelikuwa yupo ndani, ndio maana ushahidi wake una kosa muunganiko mzuri, anachokifanya anakifahamu vizuri na sio kama wengine wanavyomfikria.

Urio hajawahi kwenda kwa DCI wala lengo lake halikuwa kuwalengesha wenzake, lengo lake na nia yake ya kumtafutia Mbowe walinzi ilikuwa nzuri isipokuwa mpango mzima ulitibuliwa na Mnyori Sabaya baada kupewa taarifa ya Mbowe kujiongezea ulinzi toka kwa watu wake aliokuwa amewapandikiza kwa Mbowe.

Baada kupata taarifa hizo akawashirikisha kina Kingai makomandoo wale wakakamatwa hali iliyopelekea kumtaja Urio na yeye pia akakamatwa, katika kujiokoa na kuokoa ajira yake Urio na Kaaya wakakubali kuwa mashahidi upande wa serikali.
Kwa hiyo hii kesi imesukwa na Sabaya?
 
Sio Urio tu, hata Kingai, Mahita, DCI, Siro, mawakili wote wa serikali na majaji wote wa hii kesi wanajua kimsingi hakuna kesi yoyote ya ugaidi dhidi ya Mbowe bali wako pale kulinda ajira zao tu.

Hivyo wote wako kapu moja la kulinda ajira zao (matumbo yao) kwa gharama ya kuhakikisha Mbowe anafungwa.
 
Kuna watu wamekuwa wakimsema sana Urio kutokana na ushahidi alioutoa mahakamani, ukweli ni kwamba sio kweli kwamba Luteni Urio ni kihiyo na kilaza kama wengi wanayo fikria isipokuwa nae pia ni mhanga wa kesi hii.

Urio kwenye kesi ameweka dhamana ya cheo chake na ajira yake, bila kufanya vile hana ajira na angelikuwa yupo ndani, ndio maana ushahidi wake una kosa muunganiko mzuri, anachokifanya anakifahamu vizuri na sio kama wengine wanavyomfikria.

Urio hajawahi kwenda kwa DCI wala lengo lake halikuwa kuwalengesha wenzake, lengo lake na nia yake ya kumtafutia Mbowe walinzi ilikuwa nzuri isipokuwa mpango mzima ulitibuliwa na Mnyori Sabaya baada kupewa taarifa ya Mbowe kujiongezea ulinzi toka kwa watu wake aliokuwa amewapandikiza kwa Mbowe.

Baada kupata taarifa hizo akawashirikisha kina Kingai makomandoo wale wakakamatwa hali iliyopelekea kumtaja Urio na yeye pia akakamatwa, katika kujiokoa na kuokoa ajira yake Urio na Kaaya wakakubali kuwa mashahidi upande wa serikali.
Kama nakuelewa vile,kutokana na jinsi kesi inavyoendelea.
 
Kuna watu wamekuwa wakimsema sana Urio kutokana na ushahidi alioutoa mahakamani, ukweli ni kwamba sio kweli kwamba Luteni Urio ni kihiyo na kilaza kama wengi wanayo fikria isipokuwa nae pia ni mhanga wa kesi hii.

Urio kwenye kesi ameweka dhamana ya cheo chake na ajira yake, bila kufanya vile hana ajira na angelikuwa yupo ndani, ndio maana ushahidi wake una kosa muunganiko mzuri, anachokifanya anakifahamu vizuri na sio kama wengine wanavyomfikria.

Urio hajawahi kwenda kwa DCI wala lengo lake halikuwa kuwalengesha wenzake, lengo lake na nia yake ya kumtafutia Mbowe walinzi ilikuwa nzuri isipokuwa mpango mzima ulitibuliwa na Mnyori Sabaya baada kupewa taarifa ya Mbowe kujiongezea ulinzi toka kwa watu wake aliokuwa amewapandikiza kwa Mbowe.

Baada kupata taarifa hizo akawashirikisha kina Kingai makomandoo wale wakakamatwa hali iliyopelekea kumtaja Urio na yeye pia akakamatwa, katika kujiokoa na kuokoa ajira yake Urio na Kaaya wakakubali kuwa mashahidi upande wa serikali.
Baada kupata taarifa hizo akawashirikisha kina Kingai makomandoo wale wakakamatwa hali iliyopelekea kumtaja Urio na yeye pia akakamatwa, katika kujiokoa na kuokoa ajira yake Urio na Kaaya wakakubali kuwa mashahidi upande wa serikali.
 
Sio Urio tu, hata Kingai, Mahita, DCI, Siro, mawakili wote wa serikali na majaji wote wa hii kesi wanajua kimsingi hakuna kesi yoyote ya ugaidi dhidi ya Mbowe bali wako pale kulinda ajira zao tu.

Hivyo wote wako kapu moja la kulinda ajira zao (matumbo yao) kwa gharama ya kuhakikisha Mbowe anafungwa.
Nani ni mastermind sasa?
 
Back
Top Bottom