Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

Kwa haraka haraka nani ananifaa humu nianze kumshobokea?

Baba labla umesema ni chokoraa, The icebreaker mchambaji 😂😂
Mwanaume lazima kuna wakati unatakiwa uwe aggressive coz kuna aina ya watu humu,hiyo ndio lugha pekee wanayo ihitaji ili kuelewa na ili kuweka heshima yako,JF unapokewa kama utakavyo kuja tu.
 
Back
Top Bottom