Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

IMG-20260908-WA0031.jpg
 
Missing u so badd sissy..😍
I Miss You Too GIF.gif

humu ndani mambo ni mob, and yeah nilipigwa ban wenye kuhitaji nafasi hiyo ofcourse wali party kama kawaida yao! Huku ndani mama njoo jifurahishe na wanaocheka na wewe, toka zako!
💯
Ukijichanganya sana especially na hii gender 🐱 utashangazwa! Out of air utanuniwa, utajikuta kwenye kakikundi ka kipuuzi like mnamgombea mtu wakati u r here for fun! Na kuna kausenge wakikuona huandamani na id fulani wanajiunga nayo, without knowing anything behind!

Wengine ndio hao multiple za kisenge na ukisema this psycho is dead to me anakujia na multiples lukuki, ni kama anatumwa hivi.. I don’t reply shit! yani vichekesho tu kama machokoraa vile😎
Naamini watu wa namna hii wana matatizo ya akili, mtu akiwa timamu hawezi kubahave kwa namna hiyo.
Kuwa makini mamaa hakuna rafiki yako humu! Am out🤸🏽‍♂️
Niko makini always, stay safe babes!
 
Kuna mengine yapi? hebu nishushie mafaili.
Moja baada ya jingine utayajua yote!
Halafu nimeona best yako anaandika mambo ya "kuichapa na kuiwekea mate" toka lini bwashee ameanza story za kungonoka? au alikua kalewa?
Siku hizi amebadilika sana acha tu! Kuna siku kaanzisha uzi anapenda harufu ya k uzi ukaenda na maji! Amesema sisi sura za baba hakuna kuomba pesa😆

Mwenyewe siku hizi simuelewi kabisa🤣
 
Back
Top Bottom