Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,522
- 125,841
😁😁 Sasa mimi na vikundi wapi na wapi, niache kulea wajukuuHapa hukutakiwa hata kuwepo, utapewa kikundi usichokijua wakati unapita zako tu kujifurahisha😂
😁😁 Sasa mimi na vikundi wapi na wapi, niache kulea wajukuuHapa hukutakiwa hata kuwepo, utapewa kikundi usichokijua wakati unapita zako tu kujifurahisha😂
Nani kafufuka?Ujasikia habari za ndugu yetu kufufuka?
Kibenteni wangu ndiyo nani huyo, mbona mimi mwenyewe sijui kama nina kavulana humu?Ulipo ondoka tu kibenteni wako alikua anakula ban mfululizoo
Daaaah 😆 😆, kwahiyo ulinichangua kwa vigezo gani?
Hata mimi sijui😁😁 wewe hujawahi kuwa na crush?Hao ma crush sijui crash, wapo kweli au wanatu chora tu?
Hicho hapo vipi una kitaka?Ebu nione kama kweli una kidudu.
Jitetee mwenyeweNitetee tu
Kwanza ungariba mliokua mnaongelea ni wa aina gani? hebu tuanzie hapo 😆 !Sasa ukiambiwa hata wewe uchague kati ya binti kiziwi na Binti wa zamani nani anafit kwenye ungariba ungemchagua nani sema ukweli 😂
Hafu huu ulikuwa mfano mmeuvalia njuga!Hao ma crush sijui crash, wapo kweli au wanatu chora tu?
Unajua sielewi, kwani kuna ugomvi mpya humu? mbona kama kuna harufu harufu za vayolensi?Huu uzi una kitu! Acha nikeshe naogopa nikilala nitapitwa
Ndio ushangae! Hapa nmechangamsha genge tayari majinga yashajigawia minyama😂😁😁 Sasa mimi na vikundi wapi na wapi, niache kulea wajukuu
Hata ningekuwa mimi ningemchagua huyu 🤣🤣 no offence Binti wa zamani ila wewe ndio unafit hapoNitetee tu
Sasa ukiambiwa hata wewe uchague kati ya binti kiziwi na Binti wa zamani nani anafit kwenye ungariba ungemchagua nani sema ukweli 😂
Sema watu wanajua kuwapa wanaume vichwa 😂😂😂 Kwamba wanawagombea 🤣Ndio maisha ya humu ndani 😁😁 unaweza kudhani watu wanarushiana maneno ukadhani mada iliyoko mezani imechanganya kumbe wenzio wanagombea bwana 😁😁
Kwani leo umekunywa nini dadaake sijawahi kukuona hivi😂Hata mimi sijui😁😁 wewe hujawahi kuwa na crush?
Lalalala 😂 Hii ilinipita Jo.Mwaka wa Mbele alileta hilo neno ngariba wa kijiji ety kati yako na binti kiziwi mmoja wapo ni ngariba wa kijiji
Mie ikabidi nikuchague wewe 😂
Jitetee mwenyewe
Kwanza ungariba mliokua mnaongelea ni wa aina gani? hebu tuanzie hapo 😆 !
😅🤦🏻♀️🙆🏻♀️Nitetee tu
Sasa ukiambiwa hata wewe uchague kati ya binti kiziwi na Binti wa zamani nani anafit kwenye ungariba ungemchagua nani sema ukweli 😂
Hata mimi huwa nafikiria hivi hilo limwanamume litakuwa huko limekunja zake nne linasoma jinsi watu wanavyoparuana linashushia na wine 🤣🤣🤣Sema watu wanajua kuwapa wanaume vichwa 😂😂😂 Kwamba wanawagombea 🤣
Da Pipi nishushe.
Una ukichaa, unaweza kusacrifice chochote kwa mtu hata humjui.Siwezi weka kwako niachie wangu wa ndani Binti wa zamani... Unajua nimesacrifice my own soul kwa ajili yake?
Unapenda kukeep the peace. Anyways kama ni wadada wamekufanyia hivyo wasamehe. Ila kama ni wanaume naomba ID zao hapa tuwachambe kwanini wakuonee?Jamani acha basi hakuna kitu maa😊
Ujue nimerudi nyuma kusoma comments nione ni nani ambaye comment yake iko off sijaona 😁😁 ila mwenyewe unayewajua watu wako umeona. Halafu si uliaga wewe lakiniNdio ushangae! Hapa nmechangamsha genge tayari majinga yashajigawia minyama😂