Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹

Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

You’re back mwanakwetu?

Yani wewe usingesumbuka mimi pdf nilikutunzia mwenyewe… Achana na hao mapampula waliokutumia screen shot pm..!!

Kwa kifupi de gunner kajipakulia minyama mpaka misamaki kwamba wewe chombo yake eti..!! 😹😹😹

Mi kama kawaida yangu napenda kusikia umbea na umbea umeletwa sa nifanyaje? 😹

Muhimu de Gunner athibitishe hapa na wewe ukiwepo? Au unasemaje mwanakwetu?
 
Kipenzi si unanijua nilivyo mdogo wako 😊 hapo nishamaliza sitii neno tena nitaharibu

Wadau wanasema JF sio ya kuchukuliq serious sana ila kuna watu wapo serious kupita serious yenyewe

Sasa mtu kama mimi mwenye mbawa fupi nakaa mbali na hao marafiki zako wakali kama petrol wasinilipue 😊😊

Bye love u 😍
Eti ulikasirika kisa kalike comment ya crush wako 😹😹😹

Kumbe mna macrush na hamsemi? 🤣
 
Back
Top Bottom