Hahaha sio kweli nakutakia tu mema, huyu chokoraa hamtafika mahali..😆
Kwa haraka haraka nani ananifaa humu nianze kumshobokea?
Baba labla umesema ni chokoraa, The icebreaker mchambaji 😂😂
Hahaha sio kweli nakutakia tu mema, huyu chokoraa hamtafika mahali..😆
Ila wewe 😎ubuyu hautolewi hivyo, haunogiKama hamtembei na code niambie basi mabwana walioibiwa na aliyewaiba 😎😂
Haya furahia maisha, ikitokea umepata matamanio ukashindwa kujizuia, usifanya ngono zembe ukaja kumletea mamtu magonjwa.Nipo na Gen Z kama huyo the Gunner.
Gen z Walinikuta maskani nimechill
Sina hili wala lile
Wakasema broo tutoke kidogo.
Mama mtu yuko mkoani amefuatilia biashara yake ya vijola.
Eh sasa pumbu zao ww umeonaje jamanKabisaa na pumb zimetafunwa na panya😆
Inasikitisha sana…Astakafirilah mtumishi wa Mungu, mbona unanifananisha na watu wazito sana, hizi sifa siwezi kuzibeba, nitueni 😂
Ila wewe 😎ubuyu hautolewi hivyo, haunogi
Nia yako ni nijinyonge kisa wivu wa kimapenzi au?Yule sasa ndio nyongo mkalia ini lakini hanitakagi
Una mazuri yapi we naye chokoraa tu kama wengine humu😂Ila ww mpuuzi una roho mbaya sana na mm 😂 usione nasemwa kwa mazuri lazima upandwe na kisukari
Hapana sikushauri😁kwani wewe si sahihi kuwa rafiki?
Nayemsemea huyo ni TBT baba labla 😂Nia yako ni nijinyonge kisa wivu wa kimapenzi au?
Huyo wanamzushia naona, ila ni kama analiwa mingle hivii..!! 😹Kama hamtembei na code niambie basi mabwana walioibiwa na aliyewaiba 😎😂
Dukuduku langu nishatoa kwenye huu uzi, ujumbe umemfikia chiwawa.Nikupandishe? 😹
Toa dukuduku lako bila kumtaja mtu..!!
Eh nan huyo, mbona unanipa taarifa zangu nisizozijua 😂We na yule mbili kasorobo mna tofauti gani mpk niumie kiroho😅
Wewe hapo unatataka kumpiga na kitu kizito huna lolote😂Usinihusishe huko kwenye kumpoteza, mm n mfano wa kuigwa, ww kama n maandazi bc n ww mwnyw 😂
Eh kumbe nakosea utaratibu 😂Wemzako wanaandaa nyuzi wewe unakuja direct, utasanda 😆
Khaaaaa…!! 😹😹😹Dukuduku langu nishatoa kwenye huu uzi, ujumbe umemfikia chiwawa.
Nishushe!
Mimi dada yako ni kama wewe tu, ubuyu huwa naubahatisha kwenye nyuzi nikielewa haya nisipoelewa nasonga mbeleUbuyu ambao ngumu kuuelewa kama hivi si ni mawe haya 😂
Ni nani kwani wamependana wakaibiana
Ila kudate na mwanaJF nayo ni mtihani wa mock ujue 😂
Ila mwanangu ww unajua kunichoma sana 😭Wewe hapo unatataka kumpiga na kitu kizito huna lolote😂
Ombaomba, sijui lakini huenda utajikaza kwa huyu😎