Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

Unaamka asubuhi una maadui wapya usiowajua😂 kisa ulilike post ya crush wake utajutraa
Halafu wanajazana ujingaa mpaka unajiuliza hivi humu watu wanajitambua kweli au ndio watoto wengi🤭
Ebu fananua kidogo mwanike au bado una gubu dhidi yangu?
 
Kivipi tena si ulishamwandikiaga hadi uzi mkuu
Aisee hii dunia na wanawake hawa ndugu yangu basi tu... Sisi wanaume tunakaxi kweli kweli...

Nimempa moyo wangu yeye anataka kunibwaga kisa bado Sijafikia utajiri wa billions. Ewe Binti wa zamani nimekupa zawadi ya nafsi achana na vitu vya kupita, our love is eternal
 
Aisee hii dunia na wanawake hawa ndugu yangu basi tu... Sisi wanaume tunakaxi kweli kweli...

Nimempa moyo wangu yeye anataka kunibwaga kisa bado Sijafikia utajiri wa billions. Ewe Binti wa zamani nimekupa zawadi ya nafsi achana na vitu vya kupita, our love is eternal
Piga swaga jishushe utashangaa anakupa funguo za gari umwendeshe kwenda kazini kwake
 
Back
Top Bottom