Baba mtakatifu91
JF-Expert Member
- Apr 25, 2026
- 4,036
- 8,443
Umejifungua mtoto gani?
Bado najifunza.Karibu mgeni, vipi unaionaje JF baada ya kujiunga?
Zamani ndio nilikua nahesabu sasa hivi nikisema nihesabu nitajiona kabisa hata mbingu ya kwanza sifiki, acha nivipekeche kimya kimya tu.
Ewe Binti wa zamani chonde chonde watu aina hii si wazuri katika circle yetuHakija haribika kitu,utakua mchepuko wangu wa faida,ila iwe siri yetu,
Kwanza ulipotelea wapi? nakupigia simu upokee.
Ebu fananua kidogo mwanike au bado una gubu dhidi yangu?Unaamka asubuhi una maadui wapya usiowajua😂 kisa ulilike post ya crush wake utajutraa
Halafu wanajazana ujingaa mpaka unajiuliza hivi humu watu wanajitambua kweli au ndio watoto wengi🤭
Kumbe na wewe ni katika circle ya wanawake?Ewe Binti wa zamani chonde chonde watu aina hii si wazuri katika circle yetu
Usinitake ugomvi mbaya sana, unajua Binti wa zamani ni nani kwangu?Kumbe na wewe ni katika circle ya wanawake?
Haya nitunuku wewe basi kama umemuonea wivu Binti wa zamani.
Kumbe watu mlikuwepo mpaka usiku mwingi, vipi umefanikiwa kuopoa chochote au bado nuksi zinakuandama?Bc fresh wakuu, ngoja mm nilale
Ni kweli 💯Sehemu yoyote yenye watu wengi kutofautiana ni kawaida.
Bora wewe umesema ukweli sasa mpenzi wangu nae Binti wa zamani anaanza drama tenaBora hata umerudi pengine de Gunner atatulia maana tangu ulog out alishapigwa ban zaidi ya 10
Hana drama ni mwanamke aliyenyookaBora wewe umesema ukweli sasa mpenzi wangu nae Binti wa zamani anaanza drama tena
Sasa mbona ananianika tena mambo ya faragha kwa jukwaa ili mimi niaibike?Hana drama ni mwanamke aliyenyooka
Kivipi tena si ulishamwandikiaga hadi uzi mkuuSasa mbona ananianika tena mambo ya faragha kwa jukwaa ili mimi niaibike?
Aisee hii dunia na wanawake hawa ndugu yangu basi tu... Sisi wanaume tunakaxi kweli kweli...Kivipi tena si ulishamwandikiaga hadi uzi mkuu
Piga swaga jishushe utashangaa anakupa funguo za gari umwendeshe kwenda kazini kwakeAisee hii dunia na wanawake hawa ndugu yangu basi tu... Sisi wanaume tunakaxi kweli kweli...
Nimempa moyo wangu yeye anataka kunibwaga kisa bado Sijafikia utajiri wa billions. Ewe Binti wa zamani nimekupa zawadi ya nafsi achana na vitu vya kupita, our love is eternal
Mchepuko tena? mke mkubwa ni nani?Hakija haribika kitu,utakua mchepuko wangu wa faida,ila iwe siri yetu,
Majukumu tu yalinizidia, uongo mbona sijaona simu yoyote.Kwanza ulipotelea wapi? nakupigia simu upokee.
Nimesikia na makamu wa raisi katimuliwa, mambo ni mengiKipigo cha trafic,kifo cha mme wa rais