Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

Aisee watu mna bahati! Wengine ndio mpaka utungwe umbea wa uongo ndio uupate! Kuupata freshy ni ngumuu🤦🏽‍♀️

Siku hizi napitwa na mengi
Huyo aliyekuwa ananiletea PM hayupo tena

Waliopo wanaojua kila kitu humu ni hawa kina Lamomy na mwenzake cocastic
Lakini ndo wanaongea kwa code haoooo kuelewa mtu kama mimi nayetumia JF kama burudani ni ngumu, sitaki kuumiza kichwa😂
 
Aaah miaka ile ushangingi ulikuwa zaidi
Ukipotea JF masaa matatu unakuta manyoya tu, watu washavuana nguo na uzi umefutwa!!

Miaka hii ustarabu upo kiasi chake

The Icebreaker namcrush hivyo hivyo hata afanyaje
Mie mwenyewe nishawahi kuzinguana nae lakini nitafanyaje sasa? Moyo ushagoma kusukuma damu kmmk 😂
Yule crush wako wa miaka ile umempiga chini? 😁😁 Ila siku hizi haonekani ndio maana umemsahau eti?
 
😹😹😹
Ningemtag sema yule member mstaarabu na itakuwa sio pouwa kumuhusisha na vitu hizi…!! Ukute hata yeye hajui upuuzi unaoendelea huku..!! 😹
Yani huyo anayecrushiwa hajui ila tayari kuna vita ???
 
Aaah miaka ile ushangingi ulikuwa zaidi
Ukipotea JF masaa matatu unakuta manyoya tu, watu washavuana nguo na uzi umefutwa!!
Kumbe mlikuwa mmekubuhu! Kwahiyo wa sasa wanajifunza😆
Miaka hii ustarabu upo kiasi chake
Kabisa!!
The Icebreaker namcrush hivyo hivyo hata afanyaje
Mie mwenyewe nishawahi kuzinguana nae lakini nitafanyaje sasa? Moyo ushagoma kusukuma damu kmmk 😂
Moyo unataka kusuma mapenzi sio😂

Itabidi achangamke tule pilau dec kmmk😂
 
😹😹😹😹

Wewe yule uliyemchamba fake p mpaka akaomba uwanja selfika au mwingine??

Em yaseme hayo unayoyajua ila hutaki kuyasema kwanza ndo tukutoe..!! 😹😹

Weyee bhana mambo unayajua em mwagika hapa utoe dukuduku mtaishi kwa kufumbiana mpaka lini? 😹
I don’t know what’s going on, and honestly
I don’t want to be involved
I’d really appreciate it if you could leave me out of all this
Please respect my decision 🙏🙏

NB: Sina mafumbo na mtu naomba niacwe hii ni last reply 🙏🙏
 
Back
Top Bottom