Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,596
- 126,208
Na wewe usinipotezee fokasiHakuna mtu mama usipoteze focus, we tutiririke bila kuelewa litalompata ndio huyohuyo😆
Nikilala mafua yananibana jamani🤣
Na wewe usinipotezee fokasiHakuna mtu mama usipoteze focus, we tutiririke bila kuelewa litalompata ndio huyohuyo😆
Nikilala mafua yananibana jamani🤣
Kwa kweli kwa hili nimeonewa. Yeye mwaka wa mbele alinichomekea tu hapo, alimkusudia Binti wa zamani.Si ndio 😂😂😂
binti kiziwi na ungariba wapi na wapi
Wewe ndio unatakiwa ulale ukueNaomba upumzike, utaamka unaumwa mgongo😁
Mbaga Jr ni mmoja tuu, epuka matapeli.Mbona hapa u sound like mbaga🤔
Kuna msemo huwa wanasema ngariba haogopi mkojo umewahi kuusikia?Basi sawa, ila kabla sijazikubali, kwani ngariba ana sifa gani?
Nakuwa tena hapa naenda wapi na huu uzee😁Wewe ndio unatakiwa ulale ukue
Mambo, tangu siku ya kwanza nakuona, niliona watoto wangu watarajiwa ndani yakoHumu kuna mengi kumbe
Hawakuwezi, wakitaka kukuwangia unawarushia bao moja usoni, watapoteana wenyewe 😆Nipo mamaa, wachawi ni wengi ila bado nipo hai
Sasa we naye ni wa kurogwa? Maisha yako tu ni uchawi tosha😂Nipo mamaa, wachawi ni wengi ila bado nipo hai
Nimeshtuka aisee🤣Mbaga Jr ni mmoja tuu, epuka matapeli.
Missing u so badd sissy..😍
humu ndani mambo ni mob, and yeah nilipigwa ban wenye kuhitaji nafasi hiyo ofcourse wali party kama kawaida yao! Huku ndani mama njoo jifurahishe na wanaocheka na wewe, toka zako!
Ukijichanganya sana especially na hii gender 🐱 utashangazwa! Out of air utanuniwa, utajikuta kwenye kakikundi ka kipuuzi like mnamgombea mtu wakati u r here for fun! Na kuna kausenge wakikuona huandamani na id fulani wanajiunga nayo, without knowing anything behind!
Wengine ndio hao multiple za kisenge na ukisema this psycho is dead to me anakujia na multiples lukuki, ni kama anatumwa hivi.. I don’t reply shit! yani vichekesho tu kama machokoraa vile😎
Kuwa makini mamaa hakuna rafiki yako humu! Am out🤸🏽♂️
Una ugonjwa wa macho.Mambo, tangu siku ya kwanza nakuona, niliona watoto wangu watarajiwa ndani yako
Kwa kweli kwa hili nimeonewa. Yeye mwaka wa mbele alinichomekea tu hapo, alimkusudia Binti wa zamani.
Sijaelewa, mie mzee, muende na mimi taratibu 😂
Tena bao la moto waungueHawakuwezi, wakitaka kukuwangia unawarushia bao moja usoni, watapoteana wenyewe 😆
Wachaw wnyw c ndo kama wwSasa we naye ni wa kurogwa? Maisha yako tu ni uchawi tosha😂
The Icebreaker yani nimerudi humu nakuona kwa macho yangu unaibiwa.Ifike mahali nipate hata ka-crush ka kugombaniana na watu wa humu kmmk
Crushie zangu mshamba_hachekwi na The Icebreaker nisiwaone mnacheka na jinsia inayojitambulisha kama ke humu 🤨
Usijali, najua unahofia zile siri zako kuvuja, Tulia siri zipo sehemu salama 😎Nimeshtuka aisee🤣