Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

Makebo yamezidi kupata umaarufu jukwaani.
Nikumbushe, hivi huwa mnayependea nini vile?
Love It Buddy GIF.gif
 
Asee miaka hiyo ilikuwepo ID moja hivi
Nikikomenti jukwaani kuomba ubuyu wa jambo fulani tu, yeye anakuja PM kimya kimya na maelezo + links za uzi zenye details za ubuyu wenyewe 😂

Sijui alipotelea wapi yule reporter wangu

Kama huna kakikundi chochote kama mimi basi usifunge PM just in case kuna msamaria mwema 😂
Mama labla, nikupe dkk ngapi uwe umelala?
 
Mlikuwa wa dhahabu, sasa ni full ushangingi😁

Wenzio wanavyo we unakwama mahala😂

Hizi crush umezichagua kwa vigezo vipi? The ice breaker anachamba huyooo🫢

Ila hiyo crush ilikuwa utani tu jamani naona watu limewagusa mpaka wanataka kutoa siri zao za nje, sijui wanamtishia nani😆

Aaah miaka ile ushangingi ulikuwa zaidi
Ukipotea JF masaa matatu unakuta manyoya tu, watu washavuana nguo na uzi umefutwa!!

Miaka hii ustarabu upo kiasi chake

The Icebreaker namcrush hivyo hivyo hata afanyaje
Mie mwenyewe nishawahi kuzinguana nae lakini nitafanyaje sasa? Moyo ushagoma kusukuma damu kmmk 😂
 
Asee miaka hiyo ilikuwepo ID moja hivi
Nikikomenti jukwaani kuomba ubuyu wa jambo fulani tu, yeye anakuja PM kimya kimya na maelezo + links za uzi zenye details za ubuyu wenyewe 😂

Sijui alipotelea wapi yule reporter wangu

Kama huna kakikundi chochote kama mimi basi usifunge PM just in case kuna msamaria mwema 😂
Ila 🤣🤣
 
😹😹😹 Nilitaka ufike nikupe hapa hapa..!!
Haya nimefika, kuna umbea gani mwingine?
Umbea wa jukwaani wa live kupeleka pm unakuwa haunogi..!! Pm zipelekwe pm zilizovuja ndo vitu napentraaaa..!! 😹
Aliyekuletea ana kiherehere mwambie akakazwe na mizimu ya kwao..!! 😹
Aliyeniletea hakutaka kuona nasemwa kwa mambo ya uongo akanyamaza.
Also niliona Mbaga Jr ananitetea kwenye ule uzi, kwamba huyu chiwawa siyo level zangu, ni mtu wa maana sana mpare wangu!
 
Asee miaka hiyo ilikuwepo ID moja hivi
Nikikomenti jukwaani kuomba ubuyu wa jambo fulani tu, yeye anakuja PM kimya kimya na maelezo + links za uzi zenye details za ubuyu wenyewe 😂

Sijui alipotelea wapi yule reporter wangu

Kama huna kakikundi chochote kama mimi basi usifunge PM just in case kuna msamaria mwema 😂
Aisee watu mna bahati! Wengine ndio mpaka utungwe umbea wa uongo ndio uupate! Kuupata freshy ni ngumuu🤦🏽‍♀️
 
😹😹😹😹

Wewe yule uliyemchamba fake p mpaka akaomba uwanja selfika au mwingine??

Em yaseme hayo unayoyajua ila hutaki kuyasema kwanza ndo tukutoe..!! 😹😹

Weyee bhana mambo unayajua em mwagika hapa utoe dukuduku mtaishi kwa kufumbiana mpaka lini? 😹
😁😁 Ila we dada ni mchochezi, hupendi amani kabisa
 
Back
Top Bottom