Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 19,465
- 51,330
Hafu masaa 3. Tutapanda Abood. Treni labda kwa kushangaa tuInawezekana maana ile ya Dar-Moro ilinishtua zilikuwa juu sana
Hafu masaa 3. Tutapanda Abood. Treni labda kwa kushangaa tuInawezekana maana ile ya Dar-Moro ilinishtua zilikuwa juu sana
😁😁😁 Nyanya unatoa Dar unapeleka DodomaHivi mizigo kama tenga za nyanya inaruhusiwa humo.??!
Kwakweli imetajwa mara nyingi kama ujenzi wa bomba la mafuta kutoka hoima kwenda Tanga.Hivi hiyo treni inaanza lini huduma...
Naona mbwembwe ni nyingi mno
Ni mwendo wa Abood au BM tuHafu masaa 3. Tutapanda Abood. Treni labda kwa kushangaa tu
Amen... anastahili sifa Kwa hilo. Mwamba ameacha alamaMungu ampe pumziko la Amani Dr Magufuli huko aliko.
Zaidi Ya HovyoHata mwendokasi ulipoanza ulikuwa Hivyo lakini Kwa Sasa ni hovyo kabisa.
Ila Shabiby...Ni mwendo wa Abood au BM tu
Na Dom ni mwendo wa Shabiby
ni sawa tu ingependeza. Kitu chochote ambacho kina save muda lazima kiwe na gharama.Utakuta wanakuja kusema 45k
Bora hata nimemuona Manka picha ya chini mwishoHivi hiyo treni inaanza lini huduma...
Naona mbwembwe ni nyingi mno
Wote hao wametoka kwenye vikundi vya wanaccm uhamashishaji, ukitaka kuwajua viongozi wa CCM na serikali pitia kwa hawa.Nimeona picha za wahudumu wa treni ya kisasa ya SGR ambayo inafanyiwa majaribio leo kutoka Dar -Dodoma! Na fikira zikanijia kuwa kuna uwezekano mkubwa wana Jf nao wamenufaika lakini nimefanikiwa kumjua mwana Jf mmoja tuu hapo ! Vijana hizi fursa hamkuziona? Au hamkutangaziwa?
View attachment 2969892View attachment 2969893View attachment 2969894View attachment 2969895View attachment 2969896View attachment 2969897
Unaruhusiwa kuweka booking ya tiket tu siyo ya muhudumuKuna kahudumu apo ntakatafuta namba 2 kutoka nyuma, ako wakuu niachieni
Mmoja nimepiga ni mchagaNimeona picha za wahudumu wa treni ya kisasa ya SGR ambayo inafanyiwa majaribio leo kutoka Dar -Dodoma! Na fikira zikanijia kuwa kuna uwezekano mkubwa wana Jf nao wamenufaika lakini nimefanikiwa kumjua mwana Jf mmoja tuu hapo ! Vijana hizi fursa hamkuziona? Au hamkutangaziwa?
View attachment 2969892View attachment 2969893View attachment 2969894View attachment 2969895View attachment 2969896View attachment 2969897
Ndiyo namtafuta anielekeze behewa languAjue asijue ili mradi amekidhi matakwa ya aliyepewa jukumu la kuajiri basi imekwisha hiyo.
Siku ya kupanda utakutana na sura mpya tupuNdiyo namtafuta anielekeze behewa langu