Nimeona picha za wahudumu wa treni ya kisasa ya SGR ambayo inafanyiwa majaribio leo kutoka Dar -Dodoma

Ni mwendo wa Abood au BM tu

Na Dom ni mwendo wa Shabiby
Ila Shabiby...

images (15).jpeg
 
Nimeona picha za wahudumu wa treni ya kisasa ya SGR ambayo inafanyiwa majaribio leo kutoka Dar -Dodoma! Na fikira zikanijia kuwa kuna uwezekano mkubwa wana Jf nao wamenufaika lakini nimefanikiwa kumjua mwana Jf mmoja tuu hapo ! Vijana hizi fursa hamkuziona? Au hamkutangaziwa?
View attachment 2969892View attachment 2969893View attachment 2969894View attachment 2969895View attachment 2969896View attachment 2969897
Wote hao wametoka kwenye vikundi vya wanaccm uhamashishaji, ukitaka kuwajua viongozi wa CCM na serikali pitia kwa hawa.
 
Back
Top Bottom