Waziri Mbarawa: Treni yetu ya SGR haiwezi kwenda Spidi 160 kwa Saa, tunaenda kwa Awamu

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,813
11,991
Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa Makame Mbarawa amesema majaribio treni ya SGR yamekuwa yakizingatia usalama unaofanya treni kutembea kwa mwendokasi wa chini tofauti na itakavyokuwa baada ya safari rasmi kuanza.

Mbarawa amesema treni hiyo kwa kawaida itakuwa na mwendo kasi wa Kilometa 160 kwa Saa moja huku akieleza kuwa katika hatua za majaribio wanatumia mwendo wa chini ambao unazingatia usalama kama miongozo mbalimbali ya Kidunia inavyoelekeza kuhusu majaribio ya treni.

Akizungumzia suala hilo leo Machi 18, 2024 amesema baada ya majaribio ya mwisho yaliyofanyika wiki kadhaa zilizopita kuliibuka taarifa zisizo za kweli kwamba treni hiyo haina uwezo wa kutembea kwa mwendokasi ulioelezwa awali.

"Hatuwezi kufikia spidi hiyo 160 wakati tupo kwenye majaribio, majaribio kitu cha kwanza kabisa ni usalama, kwa vile hatuwezi kwenda spidi hiyo kwahiyo ni baada ya kumaliza majaribio yote tutaenda na spidi kati ya 150 km hadi 160 kwa saa," amesema Mbarawa.
Snapinsta.app_432453086_807829371384792_5011268597978431065_n_1080.jpg
Amesema umbali wa kutoka Morogoro kwenda Dar es salaam ni Kilometa 200 jambo ambalo amedai kuwa litafanya treni hiyo kutumia mwendo wa saa Moja na nusu kufika endapo wataanza kutumia Mwendokasi zaidi.

"Hatuwezi kufikia spidi hiyo 160 wakati tupo bado kwenye majaribio, kwenye majaribio kitu cha kwanza kabisa ni usalama. Kwa vile hatuwezi kwenda spidi hiyo kwahiyo ni baada ya kumaliza majaribio yote tutaenda na spidi kati ya 150 km hadi 160 kwa saa," amesema Prof. Mbarawa.

Ameongeza "Kulikuwa na maneno mengi watu wanasema mbona aiendi spidi kubwa kama tunavyoona nje, naomba mnielewe kuna tofauti baina ya 'high speed train' na treni ya kawaida, 'high speed train' kama iliyopo Korea, China na Japan zile zinaenda spidi kati ya 200 na kuendelea."

Akiendelea kufafanua suala hilo, amesema treni zote Duniani zinazokwenda chini ya Kilometa 200 kwa Saa ni treni za kawaida na kwamba zile zinazoenda juu ya mwendo huo kwa saa ni treni za Mwendokasi wa juu zaidi (high speed train), ambapo amedai pia gharama za treni hizo ni utofautiana.

Ambapo ametolea mfano kwa kusema "Kwa mfano kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro cha ukubwa wa kilometa 300 Serikali imetumia dola za kimarekani Bilioni 1.2, ambapo gharama hizo kama ingekuwa treni ya 'high speed train' zingezidi zaidi."

Treini hiyo imeendelea na mwendelezo wa majaribio kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro ambapo imeshuhudiwa mabehewa yakiongezwa kwenye safari hiyo kutoka mabehewa manne kwenye safari ya mwisho hadi mabehewa 14 hali ambayo imetajwa kuwa itakuwa endelevu kwa kuongeza mabehewa zaidi kufikia kipindi rasmi ambacho safari hizo zitaanza.

Safari hiyo imeongozwa na Prof. Mbarawa akiambatana na wadau wengine akiwemo Mkurugenzi wa Bodi ya TRC, Mkurugenzi Mtendaji wa TRC, baadhi ya Madiwani kutoka Mkoa wa Dar es Salaam huku wakipokelewa na mwenyeji wao Mkuu wa Mkoa wa Morogoro na watendaji mbalimbali wa Serikali.

Akizungumzia majaribio hayo Mbarawa amesema "Leo ni mwendelezo wa majaribio tulioanza muda murefu, kwanza tulifanya majaribio ya kichwa chenyewe, baadaye tukaunga mabehewa manne mpaka leo mabehewa 14, hayo yote tunayafanya kuhakikisha kwamba vichwa hivi vya treni vina uwezo wa kupeba mzigo kama ilivyokusudiwa. Huko mbeleni tutaenda kuongeza mabehewa zaidi."

Kwa upande wa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja kadogosa amesema kuwa zoezi la majaribio litakuwa endelevu na kwamba kuja kufikia mwishoni mwa Mwezi Aprili 2024 watakuwa wamefanya majaribio ya kwenda Mkoani Dodoma huku ikitajwa kuwa safari rasmi za treni hiyo zitaanza Mwezi Julai 2024.

Ameeleza kuwa mradi wa SGR unaendelea kwenye maeneo mengine kama ambavyo imekuwa ikibaishwa na Serikali ikiwemo vipande ambavyo Serikali tayari imeingia mikataba na wakandarasi.

Itakumbukwa kupitia mitandao ya kijamii kulikuwepo na mijadala mara baada ya safari ya awali iliyofanyika wiki kadhaa zilizopita, ambapo miongoni mwa mijadala hiyo ni kasi ya treni hiyo kudaiwa kuwa ndogo tofauti na ambavyo ilikuwa ikizungumzwa na viongozi mbalimbali, ambapo kati ya taarifa zilizoripotiwa ni kuwa treini hiyo ilitumia zaidi ya masaa mawili na nusu kufika Morogoro ikitokea Dar.
 
"Hatuwezi kufikia spidi hiyo 160 wakati tupo bado kwenye majaribio, kwenye majaribio kitu cha kwanza kabisa ni usalama. Kwa vile hatuwezi kwenda spidi hiyo kwahiyo ni baada ya kumaliza majaribio yote tutaenda na spidi kati ya 150 km hadi 160 kwa saa." Amesema Prof. Mbarawa
Kwanini lilizimika mara kadhaa njiani wakati wa majaribio
 
Si ni wao walisema watatumia dakika 90 but in reality train ikatumia masaa manne. Hilo la speed ya majaribio ni keo ndo wamejua?

Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa Makame Mbarawa amesema majaribio treni ya SGR yamekuwa yakizingatia usalama unaofanya treni kutembea kwa mwendokasi wa chini tofauti na itakavyokuwa baada ya safari rasmi kuanza.

Mbarawa amesema treni hiyo kwa kawaida itakuwa na mwendo kasi wa Kilometa 160 kwa Saa moja huku akieleza kuwa katika hatua za majaribio wanatumia mwendo wa chini ambao unazingatia usalama kama miongozo mbalimbali ya Kidunia inavyoelekeza kuhusu majaribio ya treni.

Akizungumzia suala hilo leo Machi 18, 2024 amesema baada ya majaribio ya mwisho yaliyofanyika wiki kadhaa zilizopita kuliibuka taarifa zisizo za kweli kwamba treni hiyo haina uwezo wa kutembea kwa mwendokasi ulioelezwa awali.

"Hatuwezi kufikia spidi hiyo 160 wakati tupo kwenye majaribio, majaribio kitu cha kwanza kabisa ni usalama, kwa vile hatuwezi kwenda spidi hiyo kwahiyo ni baada ya kumaliza majaribio yote tutaenda na spidi kati ya 150 km hadi 160 kwa saa," amesema Mbarawa.
Amesema umbali wa kutoka Morogoro kwenda Dar es salaam ni Kilometa 200 jambo ambalo amedai kuwa litafanya treni hiyo kutumia mwendo wa saa Moja na nusu kufika endapo wataanza kutumia Mwendokasi zaidi.

"Hatuwezi kufikia spidi hiyo 160 wakati tupo bado kwenye majaribio, kwenye majaribio kitu cha kwanza kabisa ni usalama. Kwa vile hatuwezi kwenda spidi hiyo kwahiyo ni baada ya kumaliza majaribio yote tutaenda na spidi kati ya 150 km hadi 160 kwa saa," amesema Prof. Mbarawa.

Ameongeza "Kulikuwa na maneno mengi watu wanasema mbona aiendi spidi kubwa kama tunavyoona nje, naomba mnielewe kuna tofauti baina ya 'high speed train' na treni ya kawaida, 'high speed train' kama iliyopo Korea, China na Japan zile zinaenda spidi kati ya 200 na kuendelea."

Akiendelea kufafanua suala hilo, amesema treni zote Duniani zinazokwenda chini ya Kilometa 200 kwa Saa ni treni za kawaida na kwamba zile zinazoenda juu ya mwendo huo kwa saa ni treni za Mwendokasi wa juu zaidi (high speed train), ambapo amedai pia gharama za treni hizo ni utofautiana.

Ambapo ametolea mfano kwa kusema "Kwa mfano kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro cha ukubwa wa kilometa 300 Serikali imetumia dola za kimarekani Bilioni 1.2, ambapo gharama hizo kama ingekuwa treni ya 'high speed train' zingezidi zaidi."

Treini hiyo imeendelea na mwendelezo wa majaribio kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro ambapo imeshuhudiwa mabehewa yakiongezwa kwenye safari hiyo kutoka mabehewa manne kwenye safari ya mwisho hadi mabehewa 14 hali ambayo imetajwa kuwa itakuwa endelevu kwa kuongeza mabehewa zaidi kufikia kipindi rasmi ambacho safari hizo zitaanza.

Safari hiyo imeongozwa na Prof. Mbarawa akiambatana na wadau wengine akiwemo Mkurugenzi wa Bodi ya TRC, Mkurugenzi Mtendaji wa TRC, baadhi ya Madiwani kutoka Mkoa wa Dar es Salaam huku wakipokelewa na mwenyeji wao Mkuu wa Mkoa wa Morogoro na watendaji mbalimbali wa Serikali.

Akizungumzia majaribio hayo Mbarawa amesema "Leo ni mwendelezo wa majaribio tulioanza muda murefu, kwanza tulifanya majaribio ya kichwa chenyewe, baadaye tukaunga mabehewa manne mpaka leo mabehewa 14, hayo yote tunayafanya kuhakikisha kwamba vichwa hivi vya treni vina uwezo wa kupeba mzigo kama ilivyokusudiwa. Huko mbeleni tutaenda kuongeza mabehewa zaidi."

Kwa upande wa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja kadogosa amesema kuwa zoezi la majaribio litakuwa endelevu na kwamba kuja kufikia mwishoni mwa Mwezi Aprili 2024 watakuwa wamefanya majaribio ya kwenda Mkoani Dodoma huku ikitajwa kuwa safari rasmi za treni hiyo zitaanza Mwezi Julai 2024.

Ameeleza kuwa mradi wa SGR unaendelea kwenye maeneo mengine kama ambavyo imekuwa ikibaishwa na Serikali ikiwemo vipande ambavyo Serikali tayari imeingia mikataba na wakandarasi.

Itakumbukwa kupitia mitandao ya kijamii kulikuwepo na mijadala mara baada ya safari ya awali iliyofanyika wiki kadhaa zilizopita, ambapo miongoni mwa mijadala hiyo ni kasi ya treni hiyo kudaiwa kuwa ndogo tofauti na ambavyo ilikuwa ikizungumzwa na viongozi mbalimbali, ambapo kati ya taarifa zilizoripotiwa ni kuwa treini hiyo ilitumia zaidi ya masaa mawili na nusu kufika Morogoro ikitokea Dar.
Ila hapa kwenye higher speed train katupiga kamba.
Higher speed train ni zile za Magnet levalation railway zinakimbia mpaka speed ya 300-400mph yani zaidi ya kilometa 500-600+ kwa lisaa.
Hizi zetu ni treni za standard speed kwasababu zinatumia standard gauge railway.
 
Usalama upi , kitu kina njia yake?
Hizo treni usipohakiki usalama zina collide kinyama.
Fuatilia China ile bullet train iliyo collide akati inatembea katika standard gauge speed ya 300 kmph.
Na ndio maana wakaamua kujenga maglev tracks kwaajili ya treni zenye speed kuanzia 300km-600 kmph speed.
Maana maglev ni sumaku usalama ni mkubwa.
Hizo kuanzia 290kmph speed kwenda chini ndio zitatumia standard gauge.
Tunasubiri hizo EMU walizosema zinafika mpaka speed ya 320kmph.
Waje watuue vizuri maana zile hazihitaji ubabaishi wa umeme watu mnaeza kufa mwajiona.
 
Wakati Rais wa awamu ya tano hayati Magufuli akitangaza kwamba Tanzania inaenda kutekeleza mradi wa kufua umeme wa bwawa la mwl nyerere kwa gharama yoyote bila kuangalia makunyanzi ya mtu yoyote, kuna watanzania wenzetu walipinga mradi huo na kutusaliti kwa wazungu ili mradi huo ukwame!.
Mungu saidia Magufuli hakulegeza kamba wala kukata tamaa na mradi huo ukaendelea na sasa umekamilika na mashine moja imefungwa hivyo kupelekea kupungua kwa kiasi kikubwa kwa mgao wa umeme uliokuwa unatesa wananchi na kuuwa uchumi wa nchi yetu.

Sasa ili kukomesha tabia ya watanzania wenzetu kusaliti na pia ili kuongeza uzalendo kwa nchi yetu wanasiasa waliohamasisha wananchi kupinga mradi huo wasiruhusiwe kutumia umeme kutoka bwawa la mwl nyerere.

Wanasiasa hao ni Tundu Lisu, Nape Nnauye, January Makamba, God bless Lema, John Heche, Freeman Mbowe, Sugu, Peter Msigwa. Na wengine wengi ambao tutaendelea kuwataja.
 
Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa Makame Mbarawa amesema majaribio treni ya SGR yamekuwa yakizingatia usalama unaofanya treni kutembea kwa mwendokasi wa chini tofauti na itakavyokuwa baada ya safari rasmi kuanza.

Mbarawa amesema treni hiyo kwa kawaida itakuwa na mwendo kasi wa Kilometa 160 kwa Saa moja huku akieleza kuwa katika hatua za majaribio wanatumia mwendo wa chini ambao unazingatia usalama kama miongozo mbalimbali ya Kidunia inavyoelekeza kuhusu majaribio ya treni.

Akizungumzia suala hilo leo Machi 18, 2024 amesema baada ya majaribio ya mwisho yaliyofanyika wiki kadhaa zilizopita kuliibuka taarifa zisizo za kweli kwamba treni hiyo haina uwezo wa kutembea kwa mwendokasi ulioelezwa awali.

"Hatuwezi kufikia spidi hiyo 160 wakati tupo kwenye majaribio, majaribio kitu cha kwanza kabisa ni usalama, kwa vile hatuwezi kwenda spidi hiyo kwahiyo ni baada ya kumaliza majaribio yote tutaenda na spidi kati ya 150 km hadi 160 kwa saa," amesema Mbarawa.
Amesema umbali wa kutoka Morogoro kwenda Dar es salaam ni Kilometa 200 jambo ambalo amedai kuwa litafanya treni hiyo kutumia mwendo wa saa Moja na nusu kufika endapo wataanza kutumia Mwendokasi zaidi.

"Hatuwezi kufikia spidi hiyo 160 wakati tupo bado kwenye majaribio, kwenye majaribio kitu cha kwanza kabisa ni usalama. Kwa vile hatuwezi kwenda spidi hiyo kwahiyo ni baada ya kumaliza majaribio yote tutaenda na spidi kati ya 150 km hadi 160 kwa saa," amesema Prof. Mbarawa.

Ameongeza "Kulikuwa na maneno mengi watu wanasema mbona aiendi spidi kubwa kama tunavyoona nje, naomba mnielewe kuna tofauti baina ya 'high speed train' na treni ya kawaida, 'high speed train' kama iliyopo Korea, China na Japan zile zinaenda spidi kati ya 200 na kuendelea."

Akiendelea kufafanua suala hilo, amesema treni zote Duniani zinazokwenda chini ya Kilometa 200 kwa Saa ni treni za kawaida na kwamba zile zinazoenda juu ya mwendo huo kwa saa ni treni za Mwendokasi wa juu zaidi (high speed train), ambapo amedai pia gharama za treni hizo ni utofautiana.

Ambapo ametolea mfano kwa kusema "Kwa mfano kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro cha ukubwa wa kilometa 300 Serikali imetumia dola za kimarekani Bilioni 1.2, ambapo gharama hizo kama ingekuwa treni ya 'high speed train' zingezidi zaidi."

Treini hiyo imeendelea na mwendelezo wa majaribio kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro ambapo imeshuhudiwa mabehewa yakiongezwa kwenye safari hiyo kutoka mabehewa manne kwenye safari ya mwisho hadi mabehewa 14 hali ambayo imetajwa kuwa itakuwa endelevu kwa kuongeza mabehewa zaidi kufikia kipindi rasmi ambacho safari hizo zitaanza.

Safari hiyo imeongozwa na Prof. Mbarawa akiambatana na wadau wengine akiwemo Mkurugenzi wa Bodi ya TRC, Mkurugenzi Mtendaji wa TRC, baadhi ya Madiwani kutoka Mkoa wa Dar es Salaam huku wakipokelewa na mwenyeji wao Mkuu wa Mkoa wa Morogoro na watendaji mbalimbali wa Serikali.

Akizungumzia majaribio hayo Mbarawa amesema "Leo ni mwendelezo wa majaribio tulioanza muda murefu, kwanza tulifanya majaribio ya kichwa chenyewe, baadaye tukaunga mabehewa manne mpaka leo mabehewa 14, hayo yote tunayafanya kuhakikisha kwamba vichwa hivi vya treni vina uwezo wa kupeba mzigo kama ilivyokusudiwa. Huko mbeleni tutaenda kuongeza mabehewa zaidi."

Kwa upande wa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja kadogosa amesema kuwa zoezi la majaribio litakuwa endelevu na kwamba kuja kufikia mwishoni mwa Mwezi Aprili 2024 watakuwa wamefanya majaribio ya kwenda Mkoani Dodoma huku ikitajwa kuwa safari rasmi za treni hiyo zitaanza Mwezi Julai 2024.

Ameeleza kuwa mradi wa SGR unaendelea kwenye maeneo mengine kama ambavyo imekuwa ikibaishwa na Serikali ikiwemo vipande ambavyo Serikali tayari imeingia mikataba na wakandarasi.

Itakumbukwa kupitia mitandao ya kijamii kulikuwepo na mijadala mara baada ya safari ya awali iliyofanyika wiki kadhaa zilizopita, ambapo miongoni mwa mijadala hiyo ni kasi ya treni hiyo kudaiwa kuwa ndogo tofauti na ambavyo ilikuwa ikizungumzwa na viongozi mbalimbali, ambapo kati ya taarifa zilizoripotiwa ni kuwa treini hiyo ilitumia zaidi ya masaa mawili na nusu kufika Morogoro ikitokea Dar.
Tatizo la Tanzania yetu siasa ipo mbele kuliko utendaji, uwajibikaji na taaluma taarifa kama hizi Ilibidi zitolewe na muhandisi au mtaalamu wa mambo ya uendeshaji wa reli,

Wakati ujao msije kushangaa tukapokea taarifa zingine tena wakati treni imeshaanza kufanya Safari na Speed yake ni ndogo watakuja na sababu nyingine tena siasa ikitangulizwa kwenye Inssue za utendaji maendeleo huwa ni madogo sana

Mfano hi treni ilibidi ianze kufanya safari za dar to moro mda mrefu sana lakini kwasababu ya siasa haya mambo yamekua yakienda Pole pole na pesa nyingi sana imelala pale hawajali

Mbongo(mtu mweusi) bila kua mkali uwajibikaji unakua chini Sana ndo mana wakati wa hayati JPM watu walikua wanawajibika vizuri b'se alikua very stricted
 
Tatizo la Tanzania yetu siasa ipo mbele kuliko utendaji, uwajibikaji na taaluma taarifa kama hizi Ilibidi zitolewe na muhandisi au mtaalamu wa mambo ya uendeshaji wa reli,

Wakati ujao msije kushangaa tukapokea taarifa zingine tena wakati treni imeshaanza kufanya Safari na Speed yake ni ndogo watakuja na sababu nyingine tena siasa ikitangulizwa kwenye Inssue za utendaji maendeleo huwa ni madogo sana

Mfano hi treni ilibidi ianze kufanya safari za dar to moro mda mrefu sana lakini kwasababu ya siasa haya mambo yamekua yakienda Pole pole na pesa nyingi sana imelala pale hawajali

Mbongo(mtu mweusi) bila kua mkali uwajibikaji unakua chini Sana ndo mana wakati wa hayati JPM watu walikua wanawajibika vizuri b'se alikua very stricted
Hata hapo huyo Profesa si katudanganya bhanaa!?
Eti higher speed trains ni 200kmph lamamayeee.Aende China huko treni zinazoundwa sasa hivi zinakata upepo wa spidi hadi kilometa buku.
Siasa Tz siasa kila kitu siasa.
Hata umeme mgao walisema vivyo hivyo mgao mwisho February 17 kilichotokea Yesu mwenyewe hapendi.
Shida kubwa ya kwanza ni UMEME WA KUENDHESHEA hizo treni.
Jaribio la kwanza umeme ulizingua treni ikapungua ufanisi ikiwa njiani.
 
Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa Makame Mbarawa amesema majaribio treni ya SGR yamekuwa yakizingatia usalama unaofanya treni kutembea kwa mwendokasi wa chini tofauti na itakavyokuwa baada ya safari rasmi kuanza.

Mbarawa amesema treni hiyo kwa kawaida itakuwa na mwendo kasi wa Kilometa 160 kwa Saa moja huku akieleza kuwa katika hatua za majaribio wanatumia mwendo wa chini ambao unazingatia usalama kama miongozo mbalimbali ya Kidunia inavyoelekeza kuhusu majaribio ya treni.

Akizungumzia suala hilo leo Machi 18, 2024 amesema baada ya majaribio ya mwisho yaliyofanyika wiki kadhaa zilizopita kuliibuka taarifa zisizo za kweli kwamba treni hiyo haina uwezo wa kutembea kwa mwendokasi ulioelezwa awali.

"Hatuwezi kufikia spidi hiyo 160 wakati tupo kwenye majaribio, majaribio kitu cha kwanza kabisa ni usalama, kwa vile hatuwezi kwenda spidi hiyo kwahiyo ni baada ya kumaliza majaribio yote tutaenda na spidi kati ya 150 km hadi 160 kwa saa," amesema Mbarawa.
Amesema umbali wa kutoka Morogoro kwenda Dar es salaam ni Kilometa 200 jambo ambalo amedai kuwa litafanya treni hiyo kutumia mwendo wa saa Moja na nusu kufika endapo wataanza kutumia Mwendokasi zaidi.

"Hatuwezi kufikia spidi hiyo 160 wakati tupo bado kwenye majaribio, kwenye majaribio kitu cha kwanza kabisa ni usalama. Kwa vile hatuwezi kwenda spidi hiyo kwahiyo ni baada ya kumaliza majaribio yote tutaenda na spidi kati ya 150 km hadi 160 kwa saa," amesema Prof. Mbarawa.

Ameongeza "Kulikuwa na maneno mengi watu wanasema mbona aiendi spidi kubwa kama tunavyoona nje, naomba mnielewe kuna tofauti baina ya 'high speed train' na treni ya kawaida, 'high speed train' kama iliyopo Korea, China na Japan zile zinaenda spidi kati ya 200 na kuendelea."

Akiendelea kufafanua suala hilo, amesema treni zote Duniani zinazokwenda chini ya Kilometa 200 kwa Saa ni treni za kawaida na kwamba zile zinazoenda juu ya mwendo huo kwa saa ni treni za Mwendokasi wa juu zaidi (high speed train), ambapo amedai pia gharama za treni hizo ni utofautiana.

Ambapo ametolea mfano kwa kusema "Kwa mfano kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro cha ukubwa wa kilometa 300 Serikali imetumia dola za kimarekani Bilioni 1.2, ambapo gharama hizo kama ingekuwa treni ya 'high speed train' zingezidi zaidi."

Treini hiyo imeendelea na mwendelezo wa majaribio kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro ambapo imeshuhudiwa mabehewa yakiongezwa kwenye safari hiyo kutoka mabehewa manne kwenye safari ya mwisho hadi mabehewa 14 hali ambayo imetajwa kuwa itakuwa endelevu kwa kuongeza mabehewa zaidi kufikia kipindi rasmi ambacho safari hizo zitaanza.

Safari hiyo imeongozwa na Prof. Mbarawa akiambatana na wadau wengine akiwemo Mkurugenzi wa Bodi ya TRC, Mkurugenzi Mtendaji wa TRC, baadhi ya Madiwani kutoka Mkoa wa Dar es Salaam huku wakipokelewa na mwenyeji wao Mkuu wa Mkoa wa Morogoro na watendaji mbalimbali wa Serikali.

Akizungumzia majaribio hayo Mbarawa amesema "Leo ni mwendelezo wa majaribio tulioanza muda murefu, kwanza tulifanya majaribio ya kichwa chenyewe, baadaye tukaunga mabehewa manne mpaka leo mabehewa 14, hayo yote tunayafanya kuhakikisha kwamba vichwa hivi vya treni vina uwezo wa kupeba mzigo kama ilivyokusudiwa. Huko mbeleni tutaenda kuongeza mabehewa zaidi."

Kwa upande wa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja kadogosa amesema kuwa zoezi la majaribio litakuwa endelevu na kwamba kuja kufikia mwishoni mwa Mwezi Aprili 2024 watakuwa wamefanya majaribio ya kwenda Mkoani Dodoma huku ikitajwa kuwa safari rasmi za treni hiyo zitaanza Mwezi Julai 2024.

Ameeleza kuwa mradi wa SGR unaendelea kwenye maeneo mengine kama ambavyo imekuwa ikibaishwa na Serikali ikiwemo vipande ambavyo Serikali tayari imeingia mikataba na wakandarasi.

Itakumbukwa kupitia mitandao ya kijamii kulikuwepo na mijadala mara baada ya safari ya awali iliyofanyika wiki kadhaa zilizopita, ambapo miongoni mwa mijadala hiyo ni kasi ya treni hiyo kudaiwa kuwa ndogo tofauti na ambavyo ilikuwa ikizungumzwa na viongozi mbalimbali, ambapo kati ya taarifa zilizoripotiwa ni kuwa treini hiyo ilitumia zaidi ya masaa mawili na nusu kufika Morogoro ikitokea Dar.
Mbona anaogopa kutaja hiyo spidi ya mwendo wa chini! Inaelekea basi la Abood litafika na kugeuza kabla ya treni kufika, halafu hiyo treni imekuwa ya kubeba wanaccm! Nani anagharamia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom