Dallas green
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 1,149
- 2,274
Ndio mkuu aka kakwangu
Ndio mkuu aka kakwangu
Mbona kama askari magereza na wafungwa!Nimeona picha za wahudumu wa treni ya kisasa ya SGR ambayo inafanyiwa majaribio leo kutoka Dar -Dodoma! Na fikira zikanijia kuwa kuna uwezekano mkubwa wana Jf nao wamenufaika lakini nimefanikiwa kumjua mwana Jf mmoja tuu hapo ! Vijana hizi fursa hamkuziona? Au hamkutangaziwa?
View attachment 2969892View attachment 2969893View attachment 2969894View attachment 2969895View attachment 2969896View attachment 2969897
Okay. Nitakifikisha kwa Mwenyekiti, uyu asisumbuliwe.Ndio mkuu aka kakwangu
Kwa sura tu anaonekana ni jeuri halafu ana roho mbaya.
😁😁😁Kwa sura tu anaonekana ni jeuri halafu ana roho mbaya.
Lakini si anajua kusoma? Au amebebwaKwa sura tu anaonekana ni jeuri halafu ana roho mbaya.
Iv hao wanaopanda juu wanalipa nauli?
Serikali kazi yake kutuhudumia. Unalipaje nauli? Hiyo huduma tu free. 😁😁😁Iv hao wanaopanda juu wanalipa nauli?
Ajue asijue ili mradi amekidhi matakwa ya aliyepewa jukumu la kuajiri basi imekwisha hiyo.Lakini si anajua kusoma? Au amebebwa
Tatizo izo nafasi hatujui wamezipataje..Hawajaanza kazi ila kabisa naona sura zao ni visirani , na stress sijui nani kachagua wapare kwenye customer service 😂 (watani natania)
Wafanye kazi shida ya wabongo wakishazoea kazi wanatajikuta kama treni la mabwana zao
Bado majaribio. Leo viongozi wa dini mbalimbali na viongozi baadhi.Nauli itakuwa kiasi gani Dar-Dom?
Utakuta wanakuja kusema 45kNauli itakuwa kiasi gani Dar-Dom?
Asante kwa taarifa. Tunawatakia safari njema ya majaribioBado majaribio. Leo viongozi wa dini mbalimbali na viongozi baadhi.
... vyanzo vya failures za mashirika ya umma yote!Hiii! Nahene!
Mbona wahudumu ni wengi kuliko abiria?
😀😃👍Kila Abiria na wahudumu wake wawili.
Inawezekana maana ile ya Dar-Moro ilinishtua zilikuwa juu sanaUtakuta wanakuja kusema 45k