TRC: Kichwa cha Treni ya SGR kimefika Bandarini, Majaribio ya safari ya Dar - Moro yataanza hivi karibuni

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,814
11,991
Mkurugenzi wa Kitengo cha Uhusiano wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Jamila Mbarouk amesema majaribio ya kuanza kuitumia njia ya Reli ya SGR kutoka Dar es Salaama kwenda Morogoro inatarajiwa kuanza hivi karibuni kwa kuwa kichwa cha treni kimeshafika kipo bandarini.

Amesema “Kichwa cha Treni cha kutumia SGR kipo Bandarini kinatarajiwa kutoka ndani ya wiki hii na hilo likikamilika majaribio yataanza hivi karibuni.

“Tunaanza Dar Moro na inaweza kwenda zaidi ya hapo, mfano Dodoma kuna kituo kimoja cha kupozea umeme bado hakijakamilika ili tuwezi kufika Dodoma, nafikiri hadi mwishoni mwa Desemba uwezekano wa majaribio kufika huko utawezekana.

“Hivyo, ifahamike kuwa kichwa bado kipo Bandarini na kikishuka, wakijipanga vizuri na Mainjinia wetu waliopelekwa mafunzoni wakionesha hiki ni nini kazi itaanza.

“Changamoto ilikuwa ni kichwa, Wananchi wlaikuwa na shauku ya kuona majaribio yakianza lakini hilo limekamilika, kichwa kipo kimoja na vingine vitafuata.”


Pia soma: Danadana za Serikali kwenye kuanza kutumika kwa Treni ya SGR kipande cha Dar - Moro, nini kinaendelea pande hizo?
 
Ni Jambo La Hovyo Na Ajabu Sana Kila Siku Tunaambiwa Itatembea, Imefika
Kadogosa Atupishe
Mkuu jizi sio ist kwamba utaakiza mtandaoni, tunanunua vipya na tunajiridhisha kabla havijafika, hii ni kati ya miradi inayotekelezwa kwa umakini mkubwa
 
Mkurugenzi wa Kitengo cha Uhusiano wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Jamila Mbarouk amesema majaribio ya kuanza kuitumia njia ya Reli ya SGR kutoka Dar es Salaama kwenda Morogoro inatarajiwa kuanza hivi karibuni kwa kuwa kichwa cha treni kimeshafika kipo bandarini.

Amesema “Kichwa cha Treni cha kutumia SGR kipo Bandarini kinatarajiwa kutoka ndani ya wiki hii na hilo likikamilika majaribio yataanza hivi karibuni.

“Tunaanza Dar Moro na inaweza kwenda zaidi ya hapo, mfano Dodoma kuna kituo kimoja cha kupozea umeme bado hakijakamilika ili tuwezi kufika Dodoma, nafikiri hadi mwishoni mwa Desemba uwezekano wa majaribio kufika huko utawezekana.

“Hivyo, ifahamike kuwa kichwa bado kipo Bandarini na kikishuka, wakijipanga vizuri na Mainjinia wetu waliopelekwa mafunzoni wakionesha hiki ni nini kazi itaanza.

“Changamoto ilikuwa ni kichwa, Wananchi wlaikuwa na shauku ya kuona majaribio yakianza lakini hilo limekamilika, kichwa kipo kimoja na vingine vitafuata.”


Pia soma: Danadana za Serikali kwenye kuanza kutumika kwa Treni ya SGR kipande cha Dar - Moro, nini kinaendelea pande hizo?
Wawe makini basi wakati wa kukishusha,maana hukawii kusikia kimetumbukia baharini...
 
Amesema “Kichwa cha Treni cha kutumia SGR kipo Bandarini kinatarajiwa kutoka ndani ya wiki hii na hilo likikamilika majaribio yataanza hivi karibuni.

“Tunaanza Dar Moro na inaweza kwenda zaidi ya hapo, mfano Dodoma kuna kituo kimoja cha kupozea umeme bado hakijakamilika ili tuwezi kufika Dodoma, nafikiri hadi mwishoni mwa Desemba uwezekano wa majaribio kufika huko utawezekana.
Hata 2021 yalikuwa maneno yanayofanana na haya
 
Mkurugenzi wa Kitengo cha Uhusiano wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Jamila Mbarouk amesema majaribio ya kuanza kuitumia njia ya Reli ya SGR kutoka Dar es Salaama kwenda Morogoro inatarajiwa kuanza hivi karibuni kwa kuwa kichwa cha treni kimeshafika kipo bandarini.

Amesema “Kichwa cha Treni cha kutumia SGR kipo Bandarini kinatarajiwa kutoka ndani ya wiki hii na hilo likikamilika majaribio yataanza hivi karibuni.

“Tunaanza Dar Moro na inaweza kwenda zaidi ya hapo, mfano Dodoma kuna kituo kimoja cha kupozea umeme bado hakijakamilika ili tuwezi kufika Dodoma, nafikiri hadi mwishoni mwa Desemba uwezekano wa majaribio kufika huko utawezekana.

“Hivyo, ifahamike kuwa kichwa bado kipo Bandarini na kikishuka, wakijipanga vizuri na Mainjinia wetu waliopelekwa mafunzoni wakionesha hiki ni nini kazi itaanza.

“Changamoto ilikuwa ni kichwa, Wananchi wlaikuwa na shauku ya kuona majaribio yakianza lakini hilo limekamilika, kichwa kipo kimoja na vingine vitafuata.”


Pia soma: Danadana za Serikali kwenye kuanza kutumika kwa Treni ya SGR kipande cha Dar - Moro, nini kinaendelea pande hizo?
Hicho si kichwa cha kwanza kuwasili hapa nchini, tuliambiwa hivyo mara kadha wa kadha lakini hakuna hata mara moja kimefanya kazi tarajiwa. Hadi hapo tutakapoiona hiyo treni ikipita juu ya mataruma yaliyotandazwa ndipo tutakapoamini. Vinginevyo tumeshachoshwa na hizi hadithi za kufikirika na kusadikika.
 
Mkurugenzi wa Kitengo cha Uhusiano wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Jamila Mbarouk amesema majaribio ya kuanza kuitumia njia ya Reli ya SGR kutoka Dar es Salaama kwenda Morogoro inatarajiwa kuanza hivi karibuni kwa kuwa kichwa cha treni kimeshafika kipo bandarini.

Amesema “Kichwa cha Treni cha kutumia SGR kipo Bandarini kinatarajiwa kutoka ndani ya wiki hii na hilo likikamilika majaribio yataanza hivi karibuni.

“Tunaanza Dar Moro na inaweza kwenda zaidi ya hapo, mfano Dodoma kuna kituo kimoja cha kupozea umeme bado hakijakamilika ili tuwezi kufika Dodoma, nafikiri hadi mwishoni mwa Desemba uwezekano wa majaribio kufika huko utawezekana.

“Hivyo, ifahamike kuwa kichwa bado kipo Bandarini na kikishuka, wakijipanga vizuri na Mainjinia wetu waliopelekwa mafunzoni wakionesha hiki ni nini kazi itaanza.

“Changamoto ilikuwa ni kichwa, Wananchi wlaikuwa na shauku ya kuona majaribio yakianza lakini hilo limekamilika, kichwa kipo kimoja na vingine vitafuata.”


Pia soma: Danadana za Serikali kwenye kuanza kutumika kwa Treni ya SGR kipande cha Dar - Moro, nini kinaendelea pande hizo?
Kichwa chenu, kinyozi wenu sasa mimi inanihusu nini! Mbona mnaanza kujishitukia? Mkikiweka kwenye reli mtaniona nakisubiri.
Hicho si kichwa cha kwanza kuwasili hapa nchini, tuliambiwa hivyo mara kadha wa kadha lakini hakuna hata mara moja kimefanya kazi tarajiwa. Hadi hapo tutakapoiona hiyo treni ikipita juu ya mataruma yaliyotandazwa ndipo tutakapoamini. Vinginevyo tumeshachoshwa na hizi hadithi za kufikirika na kusadikika.
 
Mkuu jizi sio ist kwamba utaakiza mtandaoni, tunanunua vipya na tunajiridhisha kabla havijafika, hii ni kati ya miradi inayotekelezwa kwa umakini mkubwa

Nilitaka nimjibu hivyo, kimsing modern trains zinachukua muda, technology mpaka ije kutumika
Kunahitajila heavy industry, kama hata bajaji hatuweza unarukia train hahaha
 
Back
Top Bottom