Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,372
- 17,921
Wewe jamaa umekosa ubinadamu sababu siasa zimekuingia sana akilini.
Hujaona kelele zilizopigwa humu mitandaoni na baadhi ya magazeti na majukwaa ya mikutano mbalimbali juu ya vifo vya ulio wataja?
Sasa kwanini unataka tusilaani na kifo Cha huyu dogo Joshua?
Hujaona kelele zilizopigwa humu mitandaoni na baadhi ya magazeti na majukwaa ya mikutano mbalimbali juu ya vifo vya ulio wataja?
Sasa kwanini unataka tusilaani na kifo Cha huyu dogo Joshua?