Nimechapiwa rasmi nikaribisheni team kataa Ndoa!

Nimechapiwa rasmi nikaribisheni team kataa Ndoa!

kifua unacho?
Usiyatafute matatizo kwa lazima!

mleta uzi asingefanya hivyo ndoa yake ingeeebdela kuwa na amani leo kwa upumbavu wake imani imeisha ndoa hakuna tena sababu ya kufatilia mwanamke tena kwenye simu.

Ajiulize huyu mwanamke alimkuta bikra.
Cheating is not a prize mkuu .. kwa Mentality hizi mtaendelea kulea watoto wa wanaume wenzenu.
 
kifua unacho?
Usiyatafute matatizo kwa lazima!

mleta uzi asingefanya hivyo ndoa yake ingeeebdela kuwa na amani leo kwa upumbavu wake imani imeisha ndoa hakuna tena sababu ya kufatilia mwanamke tena kwenye simu.

Ajiulize huyu mwanamke alimkuta bikra.
Mkuu ni heri uuumie Kwa muda mfupi then utazoea. Mwanamke mzinzi hafai kama utakoswa ukimwi basi utalea na kusomesha Watoto wa mwanaume mwenzio.

Na mwanamke akianza kugawa lolote laweza kukupata tu
 
Lakini ukiweza kusonga mbele songa ukiona huwezi baki nae tu japo huyo kwa sasa si wako tena kwanza atakuwa na hisia fake nawewe hata kusex nawewe atasex lakini kwa kutegea hisia za mwamba huyo mchapaji mwanamke akichepuki kirahisi bro.

Sasa unazani jamaa anaweza kua na Hisia na yeye tena?

Hilo pezni tayati lishakufa, Wakubali wakatae
 
Usimuache huyo mwanamke
Na sababu ni mtoto....ila muache kihisia
Kwanza endelea kumla ila tumia mafuta na usimle zaidi ya bao moja...
Pili kata kabisa cashflow yaani hela kutoka kwako iwe ya matumizi
Tatu tafuta mwanamke wa nje
Nne mtombe kama malaya tu...usiweke hisia mapenzi mpe mtoto
Tano...usimchunguze wala kumfatilia
Sita ukiwa nyumbani kuwa busy..na mtoto kama si mtoto movie
Akiomba msamaha au kujirudi..muachishe kazi na kinondoni hama
Ila usisaha kuliwa ataliwa tu hata hawa wa kwetu wanaliwa sana

Uthombhaji gani huo sasa umeambatana na masharti kama ya mganga.

Yote hiia anamfaidisha nani
 
Toa comment mkuu, hili jambo ndio fashion ya sasa ?
Mimi nitakushauri ubaki na mkeo...sihalalishi usaliti ila hii mvuaa inanyesha kila mahali..msamehe a na
umpe conditions Kwa kuwa ni mara ya kwanza tukio limekupataa..utaacha wangapi mkuu?..Ndoa inahitaji ukomavu wa akili na maamuzi yasiyo ya mihemko..Kuna waraka wa papa fransis kuhusu msamaha nimeupoteza tu nadhani ungekufaa ktk kipindi hiki kigumu unachopitia ila ungekuponya mno..wish you all the best 🙏
 
Wanaume naona wanavojiachia na comments zao utasema malaika wagawa thawabu 😎 hakuna mkamilifu kwenye Dunia hii wangap humu mnachepuka sema hatuwajui Wala wake zenu hawajui ila mkiingia social media nyie ndie malaika wa zamu
Sijaona kipya wote ndo yaleyale
Hivi kwenye ndoa Huko kutombean@ mmefanya ni jambo la kawaida sanaa?

Mtaleteana UKIMWI nyie watu.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Ndugu usihangaike ata kumwacha wanawake wote wako ivo tuulize sisi tuliobadilisha wanawake ii ndoa ya tatu mambo ni yale yale, ndoa ni maigizo tu na wewe tafuta mademu kitaa anza kuwazabua kama auna akili nzuri, hili jambo lako ni dogo sana.
 
Ndugu usihangaike ata kumwacha wanawake wote wako ivo tuulize sisi tuliobadilisha wanawake ii ndoa ya tatu mambo ni yale yale, ndoa ni maigizo tu na wewe tafuta mademu kitaa anza kuwazabua kama auna akili nzuri, hili jambo lako ni dogo sana.

Kwamba kuna Jambo kubwa zaidi ya Kuchepuka kwenye ndoa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom