Soma tena post yako halafu ndio jibu swali ....Kwa sababu Binadamu hatupangiani maisha na hatuwezi kuwa sawa ki-life styles, kimipango, kimawazo, kiakili, kiupeo, kiutendaji, kiuwezo, kitabia, kimitizamo, kimaamuzi, kihekima na busara.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
😂 dah noma sanaNa iliposimama akaikalia chap kwa haraka...
Umeropoka Kila kitu we mjingaNina mke wa mtu ananisumbua hap ni mshone mumeo ni injinia wa trc anasimamia sgr muda mwingi yuko nje kikaz dad'a ana nyege za kisenge snaa tumepanga kwa aprtmemt moja Hapa bas hata alfajiri anatak aje nimep kimoja nimekatomba mara mbili ila naona kbsa Hapn anaitangenezea majanga
Hahahahahah acha kumuumiza jamaa aise hicho kitendo ukikifikiria duhMkuu em imagine ilikua ikichomoka wife anairudisha ndani chap yani we imagine tuu.
wa humu humu.hao mara nyingi wanakuwa na ushamba wa jiji.Tutaoa wapi
Kweli kaka, wanawake ni hatari sana, ukitumia hisia kwenye maamuzi ndio mwisho wako. Tuishi nao kwa akili.Hawa wanawake sio binadamu Kaka, kamwe sitarudia kosa, Nina mwingine ila akitikisa tu anaenda, nalea mtoto! Sitaongea mara 2
Nakubali kabisa sitaki kuendelea nae hata kidogo.Lakini ukiweza kusonga mbele songa ukiona huwezi baki nae tu japo huyo kwa sasa si wako tena kwanza atakuwa na hisia fake nawewe hata kusex nawewe atasex lakini kwa kutegea hisia za mwamba huyo mchapaji mwanamke akichepuki kirahisi bro.
Hakika mkuu uwe tu na moyo wa chuma kipindi hikiUsaliti ni dhambi yakuua ndoa mkuu.
Naomba huyu tusafirishe mkuu, wenyewe hatuwezi kuyamaliza lazima wazazi wake na wangu washirikishwe kumbuka huyu hakuwa demu ni Mke na nimezaa nae .Yani hapo ndo utakuwa mchezo wao mwanamke ukimfuma tu ndo anakuwa malaya hujawahi ona
Alafu kunaile tabia ya wanaume unamfuma unapiga mikelele watu wote wanajua hapo unautangazia uma mwanaume huwa tunaitana kama ameenda na huyu mi nitamshindwa.
Yaongeen ndan kama unazika au unasafrisha ..
monitor aje anikusanyie
Hakuna hoja ya kumtetea msaliti, hapa wengi watapita kimya kimya kama wanatoa heshima za mwisho kwa marehemu.Wanawake wa jf mje tumtetee mwenzetu naona mnapita kimya kimya 🤗,..daah ila pole sana kaka