Msamehe tu,wote wako hivyoWakuu,
Hii sio Chit Chat wala Jokes bali ni The Most painful Day of my life.
Nimechapiwa mke wangu.
Hii ni baada ya kusafiri, mshikaji kapita na mke wangu Usiku wa Mei Mosi.
Wife katoka job Bandari, kaenda kumegwa kwa mwana akarudishwa saa nne usiku kinondoni.
Picha la kwanza simu ilizimwa mda wote nikaja kuambiwa battery inasumbua baada ya show kuisha.
Nilitulia nikajiridhisha kwa 100% ni tukio la kweli, leo nimemwagia ushahidi mezani kabaki kumsingizia shetani.
Kichwa kinauma ila hatimaye nimekubali ndoa ni wizi wa mchana kweupe. Maana hela nilimpa, show za kibabe ila itoshe kusema huwezi kumridhisha kiumbe aliezaliwa na mwanadamu.
Hapa sijamtimua bado maana nafikiria namna ya ku transition na mtoto huyu wa kindergarten. Ila trust me sitaloweka tena kwake aende tu kwa bwana wake wa Impala Terminals.
Mama yetu Mlezi Mh. Dkt. Gwajima D sitakuangusha tumeaswa sana humu ndani sitanyanyua hata mkono wangu aende tu salama kama alivyokuja salama.
Wee hizi kenge mbona zinatukanaga sana zikiwa zina cheat....utasikia mbwa yuke hajui kutomber kama unavyo nitomber bbyWe jamaa unamponza binti wa watu asiye na hatia kubwa hivo
Bro wee amini tuu maana ndio ilishatokea. Wanawake wana fantasy zao kibao sasa sometime wanaogopa kukuambia wewe mume mufanye hivyo wanaenda kufanya na michepsBado sijaamini kwanini kanifanyia hivi.
Wakuu,
Hii sio Chit Chat wala Jokes bali ni The Most painful Day of my life.
Nimechapiwa mke wangu.
Hii ni baada ya kusafiri, mshikaji kapita na mke wangu Usiku wa Mei Mosi.
Wife katoka job Bandari, kaenda kumegwa kwa mwana akarudishwa saa nne usiku kinondoni.
Picha la kwanza simu ilizimwa mda wote nikaja kuambiwa battery inasumbua baada ya show kuisha.
Nilitulia nikajiridhisha kwa 100% ni tukio la kweli, leo nimemwagia ushahidi mezani kabaki kumsingizia shetani.
Kichwa kinauma ila hatimaye nimekubali ndoa ni wizi wa mchana kweupe. Maana hela nilimpa, show za kibabe ila itoshe kusema huwezi kumridhisha kiumbe aliezaliwa na mwanadamu.
Hapa sijamtimua bado maana nafikiria namna ya ku transition na mtoto huyu wa kindergarten. Ila trust me sitaloweka tena kwake aende tu kwa bwana wake wa Impala Terminals.
Mama yetu Mlezi Mh. Dkt. Gwajima D sitakuangusha tumeaswa sana humu ndani sitanyanyua hata mkono wangu aende tu salama kama alivyokuja salama.
Usiumize moyo,ndio wengi wao walivyo.Bado sijaamini kwanini kanifanyia hivi.
Ukimuhoji sana kwanini amefanya hivyo ataanza kukupa lawama na hata kwao anaweza kukupa tuhuma nzito na wewe ndio utaonekana umekosea. Hakikisha jamaa wa pande zote wanajua alichofanya mfukuze leoleo huyo ibilisi.Bado sijaamini kwanini kanifanyia hivi.
Setting > notifications><advanced > notification historyZungumzia mazingira utusaidie mkuu
Mkuuu tuwekeee hiyo mbinu uliyotumia kujua sms zilizofutwa ndani ya saa 48.
Kama umeamua kusema kuhusu mke wako kuchepuka usisite kuweka na Hilo ili umalize yote yaliyomo moyoni mwako.
Tafadhari weka
Majibu ni Ndio mkuu.Pole sana kiongozi, naona ni tatizo kubwa na linahitaji solution kutoka kwa wakubwa...
Binafsi nakushauri yafuatayo
1. Kambla ya hii changamoto ulikuwa unampenda mke wako kwa dhati
2. Je yeye anakupenda kwa dhati na mnashirikina kwenye mipango ya familia?
3. Kama majibu ya hapo juu ni NDIO; nafikiri ujitenge naye kitandani, Ila muache tu akae hapo hata mwezi mmoja
Usidanganyike mkuu.. hata hao wenye bikra wanaliwa sana.. wakishaolewa tu uhuni unaanza.Tatizo ulioa mke wa mtu
Mwanamke ambaye hujamtoa bikra huyo sio mke wako mzee
Sisi wazaz wenu tukiwaambia ukweli mnatuona wabaya
Pambaneni na hali zenu sasa vijana wa ovyo