Nimechapiwa rasmi nikaribisheni team kataa Ndoa!

Nimechapiwa rasmi nikaribisheni team kataa Ndoa!

Kuchochea haraka haraka sio ndio kupeleka moto vizuri anaweza akawa alikua hamuandai na anamchubua kwa huo moto. Sex is an art.
Kimsingi moto mzuri unakuwa ume-balance vyote kuanzia size,speed,ukorogaji nk. Kwa maelezo ya mwamba,alikuwa ana-perform vizuri 😸
 
Japo ni chai ila ishi na paragraph ya mwaisho mkuu. Hatukuja duniani kutesana, ukimdhuru utateseka zaidi. Kwakuwa umejua na amejua kama umejua basi fanya maamuzi ya kistaarabu tu na life litasonga. Kila jambo huja na kupita
 
Nitakuja kuweka wazi kwa watu tunaotumia simu za Android kuna namna ya kuangalia msg za simu zipizofutwa ndani ya 48 hours bila kuinstall application yoyote wala kulipia. Hii ndio njia niliyotumia na ushahidi wa kimazingira mfano dada wa kazi aliemfungulia saa nne usiku, Maana kwakua sikuwepo mimi aliniambia alirudi saa moja nyumbani.
Mkuu tupe ujanja huo tafadhar
 
Kimsingi moto mzuri unakuwa ume-balance vyote kuanzia size,speed,ukorogaji nk. Kwa maelezo ya mwamba,alikuwa ana-perform vizuri 😸
Mwamba alikua anachochea kama speed ya cherehani wakati inaposhona ila bado mamiloo kachapwa nao.

So sex is more than that! Caring Je, alikuwa anamjali? Anamtunza? Anamdekeza? Anamwambia mara kwa mara jinsi anavyompenda? Anampa zawadi? Anatenga muda wa kukaa nae? Akiwa nae anamsikiliza? Na akimsikiliza anamshauri? N.k
 
8k views in less than 24 hours...hili ni janga.
 
Tatizo ulioa mke wa mtu
Mwanamke ambaye hujamtoa bikra huyo sio mke wako mzee
Sisi wazaz wenu tukiwaambia ukweli mnatuona wabaya
Pambaneni na hali zenu sasa vijana wa ovyo
Mkuu umeoa? Kama ndio basi tulia mkuu hujui kesho italeta nini
 
Mwamba alikua anachochea kama speed ya cherehani wakati inaposhona ila bado mamiloo kachapwa nao.

So sex is more than that! Caring Je, alikuwa anamjali? Anamtunza? Anamdekeza? Anamwambia mara kwa mara jinsi anavyompenda? Anampa zawadi? Anatenga muda wa kukaa nae? Akiwa nae anamsikiliza? Na akimsikiliza anamshauri? N.k
Katika maisha halisi hakuna mwanaume wa kufanya mambo yote hayo labda wa kwenye tamthilia na movie.
Maisha sio kuhudumia ndoa na kunyenyekea mwanamke pekee pia kuna kufanyakazi na kujishughulisha ambayo ndio msingi wa hiyo ndoa.
 
Ni hivi simply kabsa kuchit hakuwezi kuisha kamwe, kwanini? Kwasabab mwanaume asilimia kubwa anaoa mwanamke anayemtaka/kumpenda, hiyo ni tofauti kwa mwanamke.
Mwanamke mara nyingi anaolewa na mwanaume ambae hata kama hampendi, lakini awe tu na feelings of being secure!
Mwanamke ni rahisi sana kukubali kuolewa kwa ajili ya kuboresha status yake tu ktk jamii, isomeke nae kaolewa!
Mwanamke yupo tayari kuolewa na mwanaume ambae hampendi ambaye atampa uhakika wa kulala pazuri, kula na kuvaa vizuri!
Kinachotokea ni kwamba anaingia kwenye ndoa for benefits, ukija behind bars ana mwanaume wake anayempenda sana na kumkubali kupitiliza!! Hapo mjomba hata ikipigwa simu saa 8 usk mzigo unatolewa, mbupu zinachapika alafu fureshi tu!
Anamiminiwa za kutosha anakuja kulala nazo kwenye kitanda ulichonunua kwa pesa zako za mkopo wa kausha damu alafu bado poa tu yan!

Kuoa mwanamke bikira, Haimalizi lakini kidog inasaidia inapunguza Tatz la usaliti kwa kiasi kikubwa.
Me mwenyewe shahidi mzee wangu, kuna manzi nilikuw nayo enzi hizo ikatokea hapa kati kila mtu akachukua miatano zake!
Yule mwali alikuw bikira back then ktk mahusiano yetu!
Sasa ona yule manzi kaolewa lakini hachoki kunitafuta mzee! Tena anasema kabisa hawezi kunisahau amejaribu sana lakini anashindwa!
Mm sina time nae coz tayari nina mahusiano yangu, pisi ni kali sana lkn siwez kutoka na mke wa mtu kamwe! Mapenzi yanauma sana wazee sana yani
Pole mkuu
 
Back
Top Bottom