welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 2,229
- 4,834
Ndiyo maana wenye roho ndogo wanaua kabisa, Hawa wanawake wenye ajira wamekuwa malaya sana wapo kwenye ndoa kama wamelazimizhwa tu!
Wazee wa posho mlima wamemtwaa mwali wako.Yes hapo hapo Matopeni/vumbini, nimepoteza mke.
Duh pole sana mkuuDogo aisee, una mtoto mmoja, shukuru sana na uondoke, wala usijiulize mara mbili, mwaka 2010 wakati Nina miaka 40 wife alitoka kwenye ndoa, nikasamehe, miaka 7 baadae anatoka Tena na mtu yule yule na wengine wa 4 Tena, nikajuta sana kwa Nini sikumuacha, ondoka!
Mkuu em imagine ilikua ikichomoka wife anairudisha ndani chap yani we imagine tuu.
Duh pole sana mkuu
unatoaje ushauri wa kijinga?Mkuu b4 making hard decision.
Ebu jaribu kuangalia mtoto mtamuathiri kiasi gani baada ya kuachana,coz kama yuko chekechea bado sana ana itaji malezi ya wazazi wawili.
Ushauri.
1,Hili tukio kama ni mara ya kwanza toka muwe kwenye ndoa msamehe,then anza kusoma tabia zake na mienedo.
2,Washilikishe wazazi wenu pande zote mbili ili upate mawazo na ushauli,but ni aibu.na fedheha.
3,Endelea kumuonesha ushilikiano kama ni mzazi mwenzio ili kisudi kujenga kisaikolojia asije fanya maamuzi mabaya kama ya kuji ua au kunywa sumu,coz ni tukio la aibu.
4,Kuhusu tendo la ndoa apo sasa ni changamoto,coz lazma huna uaminifu tena.
Hii situations ni painful sana,but pole mkuu kwa majaribu ya ndoa.
Jifunze namna ya kunywa chai za jf mkuuZungumzia mazingira utusaidie mkuu
Mkuu wengi (hata wewe,) tumeoa malaya ila hatujui tuu. Siku ukijua ndo utajua hata watoto unaowaita wako…kumbe wana baba mwingineWe ulisogeza malaya ndani ukaita mkeo.
Alafu ukute ulipiga magoti kumuoa malaya.
Pole sana
usioe mwanamke toka kijijini ukamleta mjini .Nilimtoa Tarime kinondoni hana miezi mitatu. But sikatai you're right maana imetokea.
Pamoja na kumtimua, mlaji ni kama unampa ushindi wa mezani. Mlaji aundiwe kikosi kazi kwanza, afu baadae mliwa aondoke .Wakuu,
Hii sio Chit Chat wala Jokes bali ni The Most painful Day of my life.
Nimechapiwa mke wangu.
Hii ni baada ya kusafiri, mshikaji kapita na mke wangu Usiku wa Mei Mosi.
Wife katoka job Bandari, kaenda kumegwa kwa mwana akarudishwa saa nne usiku kinondoni.
Picha la kwanza simu ilizimwa mda wote nikaja kuambiwa battery inasumbua baada ya show kuisha.
Nilitulia nikajiridhisha kwa 100% ni tukio la kweli, leo nimemwagia ushahidi mezani kabaki kumsingizia shetani.
Kichwa kinauma ila hatimaye nimekubali ndoa ni wizi wa mchana kweupe. Maana hela nilimpa, show za kibabe ila itoshe kusema huwezi kumridhisha kiumbe aliezaliwa na mwanadamu.
Hapa sijamtimua bado maana nafikiria namna ya ku transition na mtoto huyu wa kindergarten. Ila trust me sitaloweka tena kwake aende tu kwa bwana wake wa Impala Terminals.
Mama yetu Mlezi Mh. Dkt. Gwajima D sitakuangusha tumeaswa sana humu ndani sitanyanyua hata mkono wangu aende tu salama kama alivyokuja salama.
Asithubutu kuacha kufanya maamuzi ya kuachana nae kisa wana mtoto, mtoto atakua tu kwani angekufa mtoto asingeishi?Mnateseka kwasababu ya mtoto ambaye baadae atakuwa na maisha yake??
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Kwa sababu Binadamu hatupangiani maisha na hatuwezi kuwa sawa ki-life styles, kimipango, kimawazo, kiakili, kiupeo, kiutendaji, kiuwezo, kitabia, kimitizamo, kimaamuzi, kihekima na busara.Sasa KWANINI MNAOA??
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Pole sana mkuu hizi ndoa hizi changamoto za kuvumilia n nyingi lakini sio hiyo ya usaliti.Naamini mkuu na nakuelewa. Ndio maana nataka aende kwa Amani.
Borq mimi nilistuka kwa hawa wa kuryaNilimtoa Tarime kinondoni hana miezi mitatu. But sikatai you're right maana imetokea.