Nimechapiwa rasmi nikaribisheni team kataa Ndoa!

Nimechapiwa rasmi nikaribisheni team kataa Ndoa!

Pole kwa yaliyokukuta
Nianze kwa kusema hivi kabla hujamfukuza Je wewe hujawahi kucheat?
Na kama umewahi muombe msamaha kabla hujamfukuza, baada ya hapo utamfukuza.
Asante nawasalisha

Kinachofanya watu wanaachana baada ya Usaliti ni Kukosekana kwa Uaminifu.

Kunasababu gani kuishi ndani na mtu hamuaminiani?

Mara 100 muachane kila mtu akajitafute upya.
 
Sema hukuwa na kifua, huyo ulivyogunndua na ushahidi unao ungejifanya km hakuna kinaçhoendelea na ungekaa nae km miezi kadhaa ukimsoma hakuna Raha km ukamjua msaliti wako wakati yeye hajui km umejua, baada ya hapo ungekuja kubaini, labda hata na wewe una makosa, ujue kujifariji Kwa kuwatafutia Hela Hawa wanawake na kitunza familia tu, sio kigezo Cha kujitamba Kwa mwanamke kuwa unampa kila kitu, mwanamke wako usipomjua anataka Nini kwako siku zote utaishia kusema ni MALAYA, sijui hatosheki,
Kumbe kuna sehemu unafeli, sisi WANAUME wengi tunajidanganya sana pale tunapojaali familia zetu Kwa kuwapa mahitaji Yao, na kumbe Kuna kitu huwa tunasahau, najua ni ngumu kujigawa pande zote lkn, mwanamke ana muda flani anahitaji uwepo wako, maneno Yako,shoo ya kibabe na vinginevyo, tunaishia kulaumu sana wanawake lkn tujichunguze na kuwasoma wanawake zetu!

Ushauri wangu, huyo mwanamke unataka kumwacha, nakuhakikishia ataenda kuwa WIFE material Kwa mwañaume atakaempata kwakuwa ameshaona hasara na kujifunza UBAYA wa kucheza RAFU!
 
Waliomjua Mungu zaidi kuliko wewe, Yesu, Petrol na wengine HAWAKUOA.

Waliona kazi ya kumtumikia Mungu na Mwanamke HAVIENDANI.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Acha uwoga wa maisha wewe, changamoto zozote ni sehemu ya maisha na hivyo ndivyo dunia ilivyo.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌

0231115_49.jpg
 
Wakuu,

Hii sio Chit Chat wala Jokes bali ni The Most painful Day of my life.

Nimechapiwa mke wangu.

Hii ni baada ya kusafiri, mshikaji kapita na mke wangu Usiku wa Mei Mosi.

Wife katoka job Bandari, kaenda kumegwa kwa mwana akarudishwa saa nne usiku kinondoni.

Picha la kwanza simu ilizimwa mda wote nikaja kuambiwa battery inasumbua baada ya show kuisha.

Nilitulia nikajiridhisha kwa 100% ni tukio la kweli, leo nimemwagia ushahidi mezani kabaki kumsingizia shetani.

Kichwa kinauma ila hatimaye nimekubali ndoa ni wizi wa mchana kweupe. Maana hela nilimpa, show za kibabe ila itoshe kusema huwezi kumridhisha kiumbe aliezaliwa na mwanadamu.

Hapa sijamtimua bado maana nafikiria namna ya ku transition na mtoto huyu wa kindergarten. Ila trust me sitaloweka tena kwake aende tu kwa bwana wake wa Impala Terminals.

Mama yetu Mlezi Mh. Dkt. Gwajima D sitakuangusha tumeaswa sana humu ndani sitanyanyua hata mkono wangu aende tu salama kama alivyokuja salama.
Painful,🥱🥱🥱
 
Acha uwoga wa maisha wewe, changamoto zozote ni sehemu ya maisha na hivyo ndivyo dunia ilivyo.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
1. Kugongew@
2. Kulea mtoto sio wako
3. Kudhulumiwa mali

Hizi ndio changamoto unazosemea?

Sasa mbona zote hizi ZINAEPUKIKA.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Usije kwasasa nikiandika, ntakua na copy na kupaste kwenu. Sijaiandaa bado hiyo process.
Pole kwa yaliyokukuta pia nina experience kidogo kwenye hili, ushauri wangu huo utaratibu usiuweke popote PM wala hapa usimfundishe mtu yeyote, you will soon get healed.

Asante.
 
1. Kugongew@
2. Kulea mtoto sio wako
3. Kudhulumiwa mali

Hizi ndio changamoto unazosemea?

Sasa mbona zote hizi ZINAEPUKIKA.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Jichanganye sasa ndipo utaelewa kwanini uliambiwa uishi na Ke kwa akili.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom