Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Yesu alikua ana sali au vipi?
Simba.
Kwa maono yangu, dini inabeba utamaduni pia, Yesu alifuata utamaduni wa ukoo wake akasali kwenye sinagogi la Wayahudi ijapokuwa mafundisho yake yakitofautiana nao hadi wakampiga na kumfukuza LAKINI hakuanzisha dhehebu lake bali alibaki kuifundisha kweli.
Imani ndio itamuokoa mtu na sio dini.
 
Allah sio Mungu mkuu bali Allah ni jini Subiani.Najua wengi mtapinga lakini huu ndo ukweli hii ni siri nzito saaana iliyofichwa bila kusahau mtume Muhammad yuko kuzimu anateseka,sababu alishindwa kumkiri Yesu kuwa mwokozi wake.
 
Jukwaa la wazi linasaidia wengi, kama mimi sina majibu wapo wajuzi zaidi yangu JF.

Mafno mtu anauliza PM nilifukuzwa chuo kwa kukosa nidhamu, kwa mtazamo wangiu, jukwaa la wazi anaweza kupata majibu kwa wenye ujuzi na hilo. Mimi chuo kikuu chenyewe sijasoma, nimeishia form IV, nakiona kwa mbali tu.

Lazima wana taratibu zao za kusikiliza matatizo na kuyatatua.
Simba.
Walifikiri upo apa tafuta wateja ,kumbe sivyo , upo sahii sana why mtu akufuate gizani wakati kwa hiari yako umeamua kuja public
 
Vionjo vya Arsis 5-5

nilivyokutanishwa na majini ya Kingazija (Comoros) na Kipemba Kojani.


Alipoondoka Jini 1 nikakaa nikajifikiria niende au nisiende kwa Arsis, nikaamua niende, linalowezekana leo lisingoje kesho.

Nikampigia kijana mshikaji nikampa dili ya kupeleka gari Upanga nikamwambia ukiningoja sehemu nitakupitia turiudi wote, aua ukirudi mwenyewe sawa. Nikamwambia akimaliza huko anipigie anicheki niko wapi, niakua mitaa sio mbali na Upanga.

Nikatoka nikaitoa gari ya Dokta nje, kijana akaja nikamkabidhi aipeleke, nikampigia Dokta, nikahisi kama alikua usingizini, nikamueleza, akanishukuru akasema alikua anafikiria asubuhi atakwendaje kwenye kazi zako. Nikamwabia usijali, akikufikishia huyo kijana nipigie hata saa ngai unijulishe, na alichelewa ikipita lisaa limoja kuaniza sasa nijulishe. Akasema sawa.

Mimi nikaondoka kuelekea kwa Arsis. Kufika langni oshen roodi, kama kawaida nikaita akaja kwa sauti tu.

Arsis: Vipi hali, Simba?
Mimi: Sio poa.
Arsis; Huku anacheka, nimeona babu yako kakupatia mchumba mpya. Unasemaje.
Mimi: Arsis sipo hapa kwa kufanyiana utani, nimekuja hapa nikuulize vitu.
Arsis: Unafikiri natania, hio ndio fikira za babu yako. haya uliza.

Mimi: Arsis, majini wako wamenielezea mengi kuhusu huyo Dokta na mazee Ali lakini kuna mengine wamenambia nikuulize wewe.
Arsis; Nafahamu, kuna vitu hawajui, uliza tu Sumba.
Mimi; Nani huyu Dokta?
Arsis: huyo ni Dokta kweli ytena Daktari bungwa amesoma Urusi, Japan, Australia na ameishi sana Uingereza, kweli ameolewa na madakatari wawili zamni, mmoja ndio mume wake wa kwanza na ni dokta mkubwa sana Tanzania. Huyo wa pili aliolewa kama hasira tu alipoachika na mumewe wa kwanza, Huyo wa pili mtu wa kwenu anga, walikutana walikua wanafanya kazi pamoja. lakini wameachana pia. Ngumu sana huyo kukaa na mume. Ana mengi sana.
Mimi ; Hilo ndio swali langu, kwanini hakai na mume?

Arsis: Huyoi ana mtu alimpoenda sana lakini huyo mtu sio kiwiliwili ni nafsi tu. Ni binadam alaieuliwa lakini nafsi yake haijaingia kwenye umauti.
Mimi: hapo unanichanganya Arsis.
Arsis: naahamu, kwa kua hauna elimu ya majini. Majini wengi sana ni nafsi za watu. Huyo kija n wa Kiarabu ni katika waliouliwa wakati wa mapinduzi Unguja, alidhulumiwa maisha yake, nafsi ipo hai lakini mwilli umekufa na umezikwa kwenye mashimo ya halaiki, Ni kijana wazazi wake walikua kwenye baraza la Sultan lakini hawakua serikalini ni washauri tu. nafsi yake ikawa inatembea tembea sana mpaka leo, huko Unguja, hususan sehemu alipomuona mara ya kwanza Dokta, na maeneo ya nyumbani kwao huyo kijana, karibu ya forishani kwenye majumba ya matajiri siku hizo. Alipomuona Dokta, siku hizo mwanafunzi sekondari, akampenda ndio akawa hatoki kwa Dokta.
Mimi: hatoki vipi?
Arsis: Yupo nae karibu na akamuoa kivuli chake, kwa sababu hawezi kumuoa mwili wake, mpaka sasa anaamini ni mkwe na aana wivu sana hataki mwili wa Dokta uolewe au utembee na mwanamme wengine, akiokewa akitemnbea na wanaume wengine, huyo kijana anatuma rafiki zaake wa kijini wahuni wanamtesa sana Dokta, mpaka imefikia hapendi kabisa wanaume. Kwa bahati mbaya sana mpka akajatribu usagaji lakini hakuupenda akaachana nao kabisa. Alifanya lajini kwa muda tu, alikua na mwanamke wa kibindam mmoja Zanzibar, akaachaa nae kwa ajili ya huyo kijana, alimtesa sana huyoi mwanamke na marafiki zake, ytule mwanamke akaamkimbia Dokta. hataki hata kusikia sauti yake, anamuogopa kabisa.

Huyu wa pili wa hapa hapa Dar, huyu muhunimuhuni sana, huytu hatraki mapenzi ya kweli anatagfuta pesa tu, ni rafiki yake Dokta, lakini hata yeye sio masagaji wa kweli ni muhuni tu, ndio akapna huyu hana mume na mzuei hivi labda msagaji, akaanza kumjribu waksagana ndio wakaanza hivyo, yule anajua jua ni juhuni sana. Dokta nae alihjifunza funza kwa yule wa Unguja, sasa mara moja wakawa wakikuta wanasgana. Lakini haikuchukua muda, Dokta akawa anajichukia kufanya huo uchafu akaacha kabisa, miaka mingi sana sasa. Alikua anaogopa binti yake anakua halafu amuone vile mamake, analala chumba kimoja narafiki yake. Dokta akajifikiria sana akamuomba Mwenyezi Mungu akamuondoshe ahyo kabisa. Akasema boira hayo majini ya ndotoni kuliko huu ushenzi.

Maana yule kijana anakuja kuingiliana nae kwa kivuli, hio ndio inakua ndoto tu. Umeelewa?

Mimi: Inaingia akailini lakini sijaelewa vizuri.
Arsis" Sio lazima uelewe kila kitu mara moja, utaelewa tru kidogo kidogo. Dunia iina siri nyingi sana.

Mimi: sasa hao majini wa kwao hawajauia hio hali ya kuingiwa na jini wa Unguja na hawa wanawake wasagaji?
Arsis: Majini ya kibuki ya ukoo wale hayaingilii kabisa mambi yake binafsi, wenyewe hao vibuki wapo wasagaji wapo mashoiga, hawaingiliaa maisha ya mtu binafsi, wao yao ni starehem kuvaa vizuri, kula vizurui, kua na pesa na kujionesha tu. Wanapenda sa harusi na misiba. Ni majini wasio na akli labda wale waliojaaliwa kutoka kizani. Wana mila za ajabu sana haoi Simba.

Hao hua wanaalikana kulewa tu ili kumkaribisha binadamu mwenye kibuki. Bila pombe hapo yule boinadam hakubaliwi. Na ukiwakubalki hao ukiwapa mapombe wanajuana wenyewe kama ile jini yenu ya Simba. Kila kitu utaona inakwenda vizuri.

Mimi: sasa yeye kwanini wanamtesa?
rsis: Wale kibuki wanaubaguzi sana, wapo ukoo wa baba yake na wapo ukoo wa mama yake, kila mmoja anataka kujionesha nani zaidi. Halafu wote koo hizo wanakubaliana kitu kimoja, kua huyu ni wa kwao halafu mpaka leo hajaolewa kwa ada yao ya harusi.

Mimi ; Ndio nini hiyo?

Arsis: Muoe wewe utajua ndio nini hiyo.
Mimi: Arsis sitaki utani, mi simtaki kumuoa kabisa.

Arsis: usikasirike ni mwanamke mzuri na ataemuoa akifanya ada yao ya Kingazija, atafaidi sana na yule nafsi ya jini haitamsumbua tena si uliambiwa wana mikataba yao?

Mimi; Siiji, hio ndio nilitaka kukuuliza.

Arsis; Nafsi wamekubaliana na hawa kibuki wasiingiliane na hiyo nafsi haiwei kumuoa huyu ibaki hukohuko imeoana na kivuli la sivyo ikimuingilia sana huyiu mwanamke maboi yake ya kibdamu inakua hio nafsi inawatia matatani hao binadam wengine. inaoatuma kupitia majini washenzi. Nfasi hizo zinaonana Arsis, kama wewe unavyonana na miili ya wengine. Hmuingilini mmbo yenu. Ni hivyo hivyo kwa nafasi na zinawea kua na mahusianoi kama nyinyi mlio na miili, hakuna togfauti.
Mimi: sasa wewe Arsis unamsaidia vipi?
Arsis: kana tunataka kuingia makubaliano na majini wakubwa wa vile viujini vya Mzee Ali viondoke x)visimfatefate kabisa. Ndio tunataka wewe umsindikiz Kojani, ipo safari karibu sana.
Mimi: kwani mimi")?

Arsis: kwa sababu wewe ukiwepo huko na yeye anakua kaona mtu mwingine anemfahamu anaiukua hana wasiwasi sana. Hawa(ezi kwenda peke yake, na mambo yaliomtokea kwa marafiki zake, sasa hivi anaogopa hata kua na rafiki wa karibu mwanamme au mwanamke, kapitia mengi sana huyo Dokta, kama isingekua majini hya kwao kumlinda na wachawi, sasa hivi huyo wehu au matrehemu.
Mimi; kwanini?
Arsis: huyo mumewe wa pili alikua na mke, huyo mwanamke akaanza kumrpga kwa kila aina ya waganga na wachawi lakini amtokeo yake huyu Dokta hajadhurika kashurika mumewe na yeye, lakini walishaacha yule mwanamke akamini iau amemshinda huyu kwa aganga wake. Hajijui masiki ya Mungu. N huyu Dokta alikua anota ota anafanyiwwa uchawi lakini alikua anaona ndoto tu hizo. Ni mamboi mengi lakini cha muhimu, sasa anahitaji aolewe, ndio njia ya kumsaidia na arudishe furaha na amani yake asiogope tena binadam wenzie. Na hio ni rahisi sana. Kwanza waondoke vijini vya Mzee Ali, muongo tu tapeli yule. Mimi nashauri kabla hujaenda Pemba nenda Unguja ukaonane na mkubwa wa vibuki vya upoanda wa babake, ukiend tu pale watajua umefata nini na hawatamvumbua tena, sisi tutakua tayari tunfanya mikataba nao. Lakini mimi nataka uende ukaione dunia, siku mbili tu inakutosha. Ukaone na sherehe yao ya pombe, lakini huyu atakua ytauari hataki hio sherehe, akiifanya huko basi kataka mwenyewe tu sio vibuki. Fanyta uende huko.

Mim: msiniinginze kwenye mamboi yenu, sitaki vita na majini.
Arsis; hakuna jini duniani anaeweza kufanya vita na wewe, akiona hio ete tu wanakimbia mbali sana na wanakuheshimu sana, Madini ya hio pete sio ya kawaida hata Mafalme wa kijini wanayatak hawayapati. Wafalme akijini wakiipayta hio peyte ulioivaa wapo tayari kukyufanya tajiri mkubwa duniani, wao wanachotaka ni hicho kito na hio chuma iliochnganywa hapo, waiyeyusha hio hawajali muhuri uliopo hapo, watan)vunja nia za mwasiliano tulizoiwekea, itakua saa watafanya mawasilano na watu wanaotaka wao, na sana ni watu hatari na wenye nguvu duniani. Simba kwa sasa inatisha, lazima uende Unguja, vipi mimi sijui, mimi nakushairi tu nenda ili urudishea maisha ya mtu huyu muhimu sanakwenye hadhi yake.
Mimi; Ana umuhimu gani?
Atsis: huyo dakatariamesoma sana na ana ubunifu sana kwenye kazi yake, ndio maana hata Wazungu wanamtaka duniani huko, huyo sasa hivu yupo Tanzania lakini amaeajiriwa na chuo kikubwa cha Wamarekani, unafikri watamuajiri mtu hovyo hovyo? Sasa kanini asiajiriwe na Srerikali ya tanzania ikawa fanida kwa Watanzania? Fikiri hilo, isiache hizo safari mbi na ya tatu itakua ngazija, ukaone ada ya harusi za wangazzija labada itakujia hamu ya kuoia mngazija.
Mimi: Arsis; kwaheri.
Arsis; kwaheri huku anacheka.

mimi nikaondoka pel kufika kwenye gari nikatazama zi,mu yangu nikakuta yule dokta alinipigia muda si mrefu kama dakika kumi nyuma na yile kijana kama nusu saa nyuma. Nikaanza na Dokta, nikampigia hata haikuita mata)ra mbili aka[pokea.
Dokta: Hello, Simba? Nilikupigia kukujulisha tari imeletwa, Ahgsante sana. Sasa hivi nipo fresh kabisa, imekua viuri nilichukua wale kuku pale hivi nawala sasa hivi, nimeipenda juisi yao.
Mimi: Okay poa, hakuna shida, si umeshapajua pale?
Dokta; Napajua pale siku nyingi lakini ndio mpaka niende na wenzangu. Lakini nilikua sijawahi kunywa hii jiuisi yake, nilikua naagiza soda tu.
Mimi: Nikahisi kama anahamu ya kuongea zaidi, nikamkatiz; Sawa Dokta, mradi gari imefika salama na wewe upo salama tuombeane dua tu.
Dokta; Kuna kitu nilitaka kukuuliza kuhusu Mzee Ali.
Mimi: Dokta naendesha sasa hivi nimesimama kuona miss call yako, tu tuongee kesho, samahani.
Dokta: Bila samahani, nitakupigia kesho, niasmehe sana.
Mimi; No problrm ahsante.

Tukaagana pale nikampigia mshikaji aliepeleka gari.

Mshikaji: Hoyaa Simba, mimi nishaondoka s)muda mregfu nimempa gari yule dada, nilitamani anikaribishe ndani, yupo bomba kishenzi. Nitum tana kwake.
Mimi; Ushafika ilala?
Mshikaji: bado natumiampesa alionipa, yule dada ana poesa ndefu sio njaa njaa kama wewe.
Mimi: Unatumia peke yako? Nambi uko wapi na mimi nije.
Mshikaji: Wewe hupawezi hapa tunapotumia sisi nipo kariakoo, wewe nenda tu tutaonana mitaani.
Mimi: kariakoo sehemu gani mimi ndio nakaribia mitaa ya Kariakoo.
Mshikaji: Unapjua Pajero bar? ndio nipoa hapa na mipashkuna ya Kariakoo inaimba taarabu.
Mimi: Mshikaji mpaka unajimwaga hivyo, itakua mshiko mrefu basi?
Mshikaji: Bia za kuzugia ninazo leo lakini za ofa ndio sina au utapiata uniachie kitu?
Mimi; Sipajui wala sipiti kwenye ma bar.
Mshgikaji: Wewe usiingie, piata nje mimi nitatoka?
Mimi: Ipo wapi kwnai, akanielekeza.
Mimi; Pole, sana hapo umeumizwa, napajua sasa. Sipiti njia hio, mimi nipo Mtaa wa Lindi sasa naelekea nyumbani. Tuwasilane kesho unipe michapo ya Pajero, kuna moja hilo halitoki hapo linaitwa Nusura, jeupe kama toto kla kigiriki.
Mshikaji; Yupo hapa na mabwana zake anawachuna na mashoga zake kibao. Sijui kapata shamba gani la kutokea wapi sijui limaitwa haruna, linatumia hilo kama halina akili vizuri, sijui jambazi hili. Tushapigwa raundi tatu bar nzima hii na hilo jamaa.
Mimi: kwaheri utanipa michapo kesho.
Mshkaji: Hakuna noma, nitume kwa yule Dada saa yoyote hata nimpelekee ndizi za sokoni kwa pesa zangu, sitaki usafiri wala unilipe kitu, ile ndio mi dada ya kujuana nayo si hii ya Pajero, inanuka mibia.
Mimi; kwaheri, nikakata simu, nikajua huyo kishalewa, hanyamazi.
Simba.
...5.6
Vionjo vya Arsis 5-6

nilivyokutanishwa na majini ya Kingazija (Comoros) na Kipemba Kojani.


Nikaendelea na safari yangu huku nacheka kwenye gari, huyu mshikji wangu pale mtaani, tunajuana tangu wadogo, nyumbani kwetu anaingia kama kwao, Mama anamfahamu na Baba ndio swahiba yake kweli, naona watu wa ndumu wote. Maana baba akitaka kucheka huwa anampigia "njoo tunywe kahawa:, atampiga story mzee pale, atakunywa kahawa, bi mkubwa nae akija huyo mshikaji lazima aondoke na zawadi, yoyote ile.

Kufika njiani, nikaingia kukoga nimemkuta wife bado ananisubiri;
Wife; leo hujala kabisa, nimekuwekea chips na kuku za barafaa na juisi yake, hata mimi sijala nilikua nakungoja tule wote. Nina njaa.

Hii "nina njaa" ya wife wangu ilikua ni "code word" fulani hivi. Nikamuelewa, nikamwabia hata mimi nina njaa kukushinda wewe weka tule. Akacheka, akasema ngoja nikupashie moto. Tukala tukamaliza, kila mtu hoi, mapema nikapigiwa simu na mama.

Mama; Nyie mtalala mpaka saa ngapi?

Mama alikua na jambo lake la mapema anaweza kukuamsha hata alafajiri akakuuliza mtalala mpaka saa ngapi? Kutazama saa ilikua kweli tumechelewa sana, saa mbii imepita kidogo.
Mimi; Nakuja.

Nikaingia kukoga faster, wife nae akawa kishaamka, nikavaa nikatoka uani, kwenye kahawa, nikamkuta mshikaji leo anapiga kahawa, mama yupo jikoni.

Mama; Jamaa yako huyo anakungoja, nikaona nikuamshe labda mmeagana, umechelewa kulala.
Mim;: Vipi mwamba, ndio unaingia kutoka pajero nini? naona uso umevimba.
Mshikaji: kama ulikuepo, sijafika nyumbani, na kule kwetu sasa hivi hapakaliki, si unajua chumba changu cha uani, wote mule ndani kazi zao wanafanyia uani, ikifika kumi na moja alfajiri kule hapalaliki. ndio nikasema nikuwahi Simba, ukienda gereji twende wote nikatafute gari ambalo haliondoki nilale ndani, kule poa sana.

Huyu mshikaji ilikua ndio kazi yake kuja kuvizia wateja wanaopiga simu magari yao yakachukuliwe au wapelekewe. Yeye ndio wa kwanza kupigiwa simu na Mzee afanye kazi hio.
Mimi; Poa , kakoge basi ubadili utanikuta hapa, utaenda juso limeumuka namna hio?
Mshikaji; Nilikua nakuwahi tu, maana mlinzi anasema dingi kishaondoka. Kama unanisubiri mie kukoga na kubadili, faster tu, ngoja nipige kahawa ya bi mkubwa kwanza.

Tukawa tunakunywa kahawa huku ananipa visa vya kukesha bar.

Mshikaji; Bi Mkubwa, nilikwambia siku nyingi hutaki kunisikiliza ushauri wangu. Hii kahawa na hivi visheti, pika kwa wingi vya biashara, mimi nifungue meza ya kahawa hapo msikitini, lazima tutajirike, hakuna kama hii kahawa yako dunia nzima, hivi visheti ndio usiseme, vinayayuka mdomoni kama pipi.

Mie nikajua hizo gia za kumtoa upepo mama, nikawa najichekea kimoyomoyo.
Mama; Si uje nikufundishe ufanye mwenyewe, mimi nitaweza kahawa na visheti vya biashara, kupika vingi sio sawa na hivi kidogo.
Mshikaji; Inategemea na mkono wa mtu, si watu wanapika kahawa na visheti, lakini haviwi kama hivi. Tena bi mkubwa naomba nitilie kwenye mfuko leo nakwenda kushinda gereji, siondoki kule.
Mimi; Hoyaa kakoge, mimi nitakuacha hapa.
Mshikaji; Bi mubwa basi ndio kama hivyo, narudi dakika sifuri

Kweli haijapita nusu saa karudi, yupo smart ananukia sabuni na uso kidogo umekunjuka.
Tukapiga kahawa Bi mkubwa akampa mfuko wa visheti.
Mshikaji; Sasa mwamba tunaweza kwenda, hii hata nikikaa mpaka usiku, sihitaji mivyakula ya tabata.

Tukaondoka, kufika gereji ndani tukaachana mimi nilikua na kazi moja ndogo ya kumalizia tu, haikuchukua hata nusu saa. Nikaenda zangu dukani kwangu, kuzuga ziuga, mara simu ikaingia ya Dokta. baada ya kusalimiana pale.
Dokta" nawezza kukuuliza? jana ulinambia nikuulize leo. Una wakati wa kuongea kidogo?
Mimi; Sema.
Dokta: nataka kufahamu ulienda kwa Mzee Ali una matatizo yako? Au mnafahamiana, ndugu, marafiki> Maana nisije nikauliza maswali yakakukera.
Mimi: hapana, kama nilivyokwambia jana, nimejulishwa tu na Sheikh... wa Unguja.
Dokta: kwa hio unakwenda mara kwa mara?
Mimi: hapoana, jana ndio mara ya kwanza kabisa.
Dokta; Mimi nina matatizo miaka mingi, nilijulish kwake na huyo Sheikh... wa Unguja ndio nakwenda kwake marama kwa mara karibia mwaka sasa, lakini naona hali haiishi.
Mimi: Pole sana.
Dokta; sasa juzi kabla sijaenda ile jana akanambiua muhimu sana tukitaka kulimaliza hilo tatizo, yeye kishaongea na Sheikh..., kwanza anitapishe vitiu nilivyomeszeshwa kiuchawi, halafu niende Unguja nikawaone wataaalam wa kibuki, niwape ada yao watulizane. Kisha yyeye mwezi ujao anakua na mwaka koga wao Kojani, wanakuja watu kutoka dunia nzima, mwaka koga wao ni wa kuagua watu tu, wenye matatizo ya majini na uchawi, hakuna kingine. Kanambia siku hio majini wote wa Kikojani na Pemba wanaitwa hapo, Kojani yote wanakua hapo na wageni wa kutoka kila sehemu dunia, wanachinjwa ng'ombe vinatengezwa vyano kila namna watu waliochaguliwa wenye majini, ndio wanapeleka vyano baharini maji ya kuza mutu, wakishatoa hivyo vyano basi kila mwenye sihoiri, au jini la kichawi mwilini mwake linakamatwa na kuondolewa kabisa, ukitoka Kojani unakua mzima kabisa, kama litabaki ni t()ruhani tu nalo litakua limeshasema ada zake na litatulizana maisha. Sasa ndio nilikua nauliza kama na wewe una matatizo uytakua unalijua hilo?


Mimi: hapana silijui hilo kabisa, ndio kwanza nalisikia kwako.
Dokta: sasa mimi naogopa kwenda peke yangu huko Pemba ndio nikasema kama unalijua hilo basi itakua afadhali tutakua wote?
Mimi: yaani upo tayari kwenda Pemba?
Dokta: kwanza wwekeend hii mimi nakwenda Unguja, kuhusu hilo la Kibuki, nimeshaongea na Sheikh... wa Unguja, kasema yeye anamjua bibi mmoja yuko huko Fuoni ndio kazi zake na kanipa nimeongea nae, hata mimi kumbe namfahamu, lakini nilikua sijui kama anafanya mambi hayo ya Kibuki. Ni maarufu sana huyo Unguja, ni mngazija mwenzangu na wangazija wote tunajuana.
Mimi: Nasikia wangazija wote ndugu.
Dokta; kweli, tumeoleana sana.
Mimi: Sina safari ya kwenda Pemba wala siijui, mimi sina matatizo hayo.
Dokta: sawa basi, wacha niende Unguja kwanazza, maana Unguja nipo nytumbani sina wasiwasi.
Mimi; Okay poa, safari njema.
Dokta: Ahsante niombee dua napata tabu sana. hysa mambi yasikie tu kwa wengine, yasikukute.
Mimi: kuyafatilia sana nayona ni mbaya pia. Zidisha ibada.
Dokta: Acha niende, nipo kazini, tutaongea nikirudi nyumbani jioni.
Mimi; haya kwaheti, u-yatakuondokea tu.
Dokta: Aaamiin.

Nikatoka zangu ofisini nikakaa gereji. Baadae baadae nikamuona mshikjai kisha lala pombe zishamtoka kichwani kaingia bafu ya gereji kakoga, kanifata.
Mshikaji; Twende kwa dingi tukanwe kahawa yakee maana dingi kahawa ya nyumbani, kichwa kinikae sawa.
Mimi; Ngoja yule mzee kahawa yake unatafuta ugomvi, mimi nimechukua yangu, hii lakini sio ya bi mkubwa hii yangu.
Mshikaji: Hizo zitakua baba mmoja mama mmoja si nyumba hiohio, iko wapi tunywe kichwa kifungke?+Mimi; Ipo kwenye gari langu, ufunguo upo dukani, waambi wakupe, njoo na kapu lake lota kuna kikombe changu changu mule.
Mshikaji; Mambi si hayo bwana, mradi kuna kapu basi kunamemngiu huo, faster tu mwanangu.

Akaenda akaleta kahawa akacheki ndani ya kapu, akakuta hakuna zaidi ya chupa ya kahawa na chupoa ya mbili za maji ya kawaida.
Mshikaji; Basi nikaju kapu halikosi vilosoloso.

Tukawa tunapiga kahawa na visheti vyake alivyoewa asubuhi.
Mshikaji; Eeeh bwana yule dada, gari lake tunaleta lini gereji kulifanyia service, unajua lina misi misi.
Mimi; Nikacheka. Mbona unafosi sana mambo ya yule dada umekiona nini ambacho mimi sijakiona?
Mshikaji: Ile ngoma matawi ile, sio ngoma ya kitoto ile. Wewe kumfikishia tu kuzama ndani pochi kachimoa noti bila kuhesabu, na mimi nikaona noma kuhesabu paalepale nikazisonda mfukoni hivyo hivyo alivyonikunjia. Kufika mbele mwanagu kusebau, sijaamini, elfu 50. Nikaona huyu dada kakose anini au unamdai pesa za gereji ndio kachanganya humohumo? kama ndio hivyo utanisamehe tu mshoikaji, pajero nuksi.

Mimi: Hatumdai kitu, kakkutunuku.
Mshikaji: Wala si uongo, maana ile tsheti siliovaa jana na dangarizi sio mtumba ile, aliniletea bi mkubwa alivyotoka Dubai, si unakumbuka mwanangu. Siku nikivaa zile zina kisimati ile mbaya.
Mimi; Nikacheka.
Mshikaji; Usicheke simba, hii miguo ya mtumba minuksi ya watu tunaivagaa, hapa gereje hukuti mtu ambae hajavaa nguo ya mtumba akchubuliwa vidole na spana. Ukimona mtu kadindoikewa na jeki, ukimcheki kavaa nguo ya mtumba. Mie mshikaji hata hili ovaroli, hili mzee kanipa jipya kabisa kwenye mfuko wake, unakumbuka aliwaleytea mafundi waote humu ya kijani, sisi mabosi tukapewa hizi nyeupe.
Mimi; Kumbe mwenzangu ni bosi, mimi sikupewa kabisa?
Mshikaji: Sasa wewe unafikiri kai yangu hapa kuna bosi juu yangu? Mimi ndio bosi kitengo changu, muulize Dingi kama huelewi hilo. Mimi Bosi mkubwa sana hapa. Tena hoyaa usikiri utani kuhusu misi lile gari. Unajua wewe huelewi kitu, cheza na waya tu hizo za magari, mimi mzee ananambia mimi ndio tester wa magari hapa, haitengenezzwi gari bila mimi kuitesti, au huji hilo?
Mimi; najua mwanagu.
Mshikaji; Sasa kama wewe huwezi kumwabia yule mteja gari lake lina misi, nimwambie dingi aniruhusu nimwambie mwenyewe, si nilipoendesha nililona lina misi, kwa mbali. Yule itakua kile kigari ananunuja mafuta ya vidimu, uchagfu mtupu, lazima ailete hapa apewe somo na mzee la kutunza gari lake. Tena namwambia mzee amwambie, ile gari kila tarehe ya setrvice naifata mwenyewe upoanga bure, na naikosha mimi bure ndani na nje?
Mimi; kwanini yote hayo?
Mshoikaji; lazima nijiweke karibu na yule dada kwa nja yoyote ile. kile kifaa cha kimataifa. uemuona anavyocheka wewe? Utapenda acheke, jana alicheka sana nilipompelekea gari, nilimwabiai lako limenitia njaa lina nukia kuku wa barafaa". Akacheka sana, kuzama kwenye pochi nikaw tajiri mimi. Yule hunambii kitu mshikaji, unajua mimi mpaka leo sijaoa? Sasa nimepata mke nilekua namgoja, usinitilie kauzibe. Ngoja nende kwa mzee nikamwambie habari ya misi.

Mimi; haya bot)ra uende maana itakua stiri ni hio kuytwa kucha.

Akaondoka, mimi nikaona ngoja niasikilize vituko kwa mzee, maana wakiongea huwa wanaongea kibangibangi wite wawili. Nikamfta nyuma. Ile kugfika tu kwa mzee. Akamsalimia pale.
Mshikaji: mzee kama hakuna gari ya kutesti leo, jana nimeteti gari ile ilikua nyumbani pale alinipa mwanangu haoa kuipeleka upanga, ina bonge la misi, itamtesa yule dada. Mie namba zake ninazo lakini siwezi kuongea na mteja bila idhini hyako, nwamaabia huyu fundi waya, hanielewi.
Mzee: gari inamisi au yule mwenye gari?
Mshikaji; Mzee ile gari kwanaza kuipeleka imenitia njaa, ilikua inanukia kuku wa barafaa kishenzi. Saa sijui ile harufu ya kuku ndio inafanya misi? Unajua Mzee si vziruri, kurudisha gari ya mteja namna ile, hata kama imekuja harufu, inatakiwa ikitpoka kwetu hapa, inukie ma eya freshener ya kisasa sio kuku wa barafaa.
Mzee: kweli hilo, wacha utani ina misi kweli?
Mshikaji; Mzee huniamini testa wako?
Mzee mwambie huyo bwana akikuruhusu umpigie mpigie tu.
Mimi: Mimi hainihusu kitu ile gari haikutoka gereji hapa. Msiniingize mimi, kama ina tatizo lala umeme nambieni.
Mzee; Unazo namba zake za simu?
Mshikaji: ndio, alinopa mwaanngu hapa ile nimpigie anaielekeze niifikishe wapi?
Mzee: kama kweli ina misi mjulishe tu, hawa wanawake anaweza kutembea nayo mpaka ikamzimikia njiani. Tana labda hajui kama ndio kazi zetu.
Mimi: anajua kua tunagerejei nilimwabia jana wakati tunakula nae kwa Barafaa.
Mshikaji: basi hata usiniite na mimi kwa barafaa, ningekuja fasta tu.
Mzee: Wewe mpigie tu mwambie kuhusu misi ya gari lake, tena mpigie hapahapa usimletee maneno mengi, maana wewe ukianza kuongea hunyamazi.

Mshikaja akaanza kupiga simu, simu yake inabonge la spika na sisi tunasikia wazi kaboisa upande wa pili haina siri kabisa.
Dokta: Hello nani?
Mshikaji: Mimi niliekuletea gari lako jana, Salam aleku.
Dokta" Alekum salaam.
Mshikaji; Unajua dada jana nilipokua nakuletea gari nilijua linatoka gereji yetu lakini mzee kanambia halikutoka huku kwetu, niliona lina misi hilo. Unajua mimi ndio testa mkuu wa magari hapa gereji, gari kama ina matatizo nikiirusha kwa mteja lazima nimjulishe.
Dokta; Hata mimi nalihisi halipo sawa nikiliendesha muda mrefu saa nyingine kama linastuka stuka. Tatizo itakua nini?
Mshikaji: Sina uhakika lakini nilivyoona mimi hilo, inaweza ku mafuta machafu mankonunua, kama linazibaziba mafiuta yakichezachez humo au yakiwa kidogo. Hilo dada inatakiwa lid)safishe tanki na njia yaote ya mafuta, tuweke mafuta safi kabisa halafu tulitesti tutajua ni mafita au kuna kingine zaidi.
Dokta; Inachukua siku ngpi hio kazi?
Mshikaji: Siku moja tu dada lakini ongea na mzee hapa yeye ndio fundi mkuu, mimi tester tu sio fundi. Huyu hapa,

Akamsukumia zsmu mzee. Kitu ambacho mzee hapendi kabisa lakini akshindwa kusema akaipokea simu.
Mzee: Halo?
Dokta: Salaama alaikum, huyo kijana ananambia gari langu lina matatizzo na mimi nahisi ni kweli. Eti nikileleta kwenu litachukua muda gani kutengeneza?
Mzee; Kwanza lifike hapa ndani ya masaa mawili gtutakua tumeshaju atatizo ndio tutakwambia muda gani.
Dokta: Okay, mimi nasafiri Ijumaa jioni, naweza kulileta, lakini Jumapili usiku nitalitaka ili nipate usafiri wa kazini.
Mshikaji: Mzee mwambie wala asililete mie nitalifata na kama anaenda eyapoti au stendi ubungo mimi nitampekea na hiyohiyo gari halafu nitaileta gereji
Alikua anaongea kwa sauti makusudi yule dada asikie.
Mzee: umemsikia Dokta?
Dokta; Nimemsikia, mie naondi)ka na boti itakua vizuri atanishusha bandarini halafu yeye aondoke na gari, inabidi aje Ijumaa saa tisa hapa kwangu alipoileta gari.
Mshikaji; Poa poa nimesikia, kumbe ni Dokta eeh?
Mzee; sawa mama, atakuja Ijumaa. Kwaheri.
Mshikaji" mzee sasa sipati hata kahawa kikombe kiomoja? Si unaoan, huyu alikua haamini, mwambie mimi bonge la testa. Ananizarau kwa kua tupo kijiw kimoja mtaani, mzee mwambie huyu mwanao, wakati yeye anapoiga kitabu mimi tayari nacheze magari hapa gereji.
Mzee: ondokeni hapa, mimi na kazi zangu.

Tukatoka na mshikaji.

Mshikaji; mwanangu hata usinambie kumbe lile toto daktari? Sasa si unaona bwana, nikilioa liele tunapata Dokta wetu mtaani.
Mimi; Utamuhamisha Upanga umelte Ilala?
mshikaji; Yule anahami ahuku, tena chumba changu kilekile, sio nyumba ya kuoanga ile, yeye si anakaa nyumba msajili zile, namwambia achana nazo njoo tuanze masisha sote.
Mimi;Kama ananmumewe?
Mshikaji: kwani waganga kazi yao nini, si namwendea kwa mganga aachwe na mumewe.
Mimi; Hio sasa )dhambi.
Mshikaji: dhmbi kupenda? Mie simuaribii maisha yeke, tunakata mti tunapanda mti.
Mimi: Si mpaka akubali?
Mshikaji: Kuna mzee wa Kinyamewi huyo nimeambiwa anaitwa toboatobo, huyo hakuna aliloliweza. Namfata huyo tu, hachomoi yule, si umasikia anavyoongea na mimi? Yule kishaniona kwa jicho la mahaba.
Mimi: Si nenda nae Unguja na boti (nilikua najua mshiikaji anaogopa kweli bahari).
Mshikaji: huko poa tu, mwache aende kwa biti, ninhgejua mapema ningefanya mpango wa ndege kwani bei mbya kwenda Unguja hapo, nimemkopa hata mzee nikapanda kishada tu. Yanini miboti, watu wanatapikiana hovyo humo.
Mimi: wacha ndoto za ganja.
Mshikaji: Wewe ndio tatizo lako toka uache ganja, kila kitu unaona ni ganja tu. Au bado unachoma kisirisiri wewe, bangi za kuvutia chooni ndio zinatia uchizi, shauri lako.
Mimi; Nenda kalale hujalala swa wewe, acha nende zangu nyumbani nika[umzike mapema leo.
Mshikaji" poa mwanangu, mimi siondoki hapa jioni leo, nataka kuomgea na zmee mambo ya maana, wewe hayakuhusu.
Mimi; Poa, kwaheri, nikajua nikiongea nae ataunganisha siondoki na ilikua saa saba tayari.

Nikaingia kwa mzee nikamuaga. Nikaondoka zangu.
Simba.
...5.7
 
Walifikiri upo apa tafuta wateja ,kumbe sivyo , upo sahii sana why mtu akufuate gizani wakati kwa hiari yako umeamua kuja public
Tusiwalaumu sana, mtu akiwa na shida anaona kama kapata suluhisho tayari. Mimi nawaambia ukiwa na tatizo njoo hapa pa wazi, kuna wengi inaweza kua suluhisho kwao pia, na kuna wengi wanajua zaidi yangu. Mimi sio mganga.
Simba.
 
Hebu iache stori iendelee ili tuisome na kujua mbichi na mbivu.
Mtoa mada anaeleza alichokutana nacho na sio anavyosema yeye. Yaani maelezo anayosimulia sio maneno yake bali alivyosimuliwa na kuona baada ya kufumbuliwa macho.
Kama ni mtu wa Imani unatakiwa kusoma kwa umakini ili kujua kinacho endelea nje ya Imani yako ili upate maarifa ya kuimarisha Imani yako.
Nadhani umenielewa.
Arsis kiboko, mpaka wewe umetulizana kama unanyolewa.
 
Vionjo vya Arsis 5-6

nilivyokutanishwa na majini ya Kingazija (Comoros) na Kipemba Kojani.


Nikaendelea na safari yangu huku nacheka kwenye gari, huyu mshikji wangu pale mtaani, yunajuana tangu wadogo, nyumbani kwetu anaingia kama kwao, Mama anamfahamu na Baba ndio swahiba yake kweli, naona watu wa ndumu wote. Maana baba akigtaka kucheka huwa anampoigia "njoo tunywe kahawa:, atampiga story mzee pale, atakunywa kahawa, bi mkubwa nae akija huyo mshikaji lazima aondoke na zawadi, yoyo te ile.

Kufika njiani, nikaingia kukoga nimemkuta wife bado ananisubiri;
Wife; leo hujala kabisa, nimekuwekea chips na kuku za barafaa na juisi yake, hata mimi sijala nilikua nakungoja tule wote. Nina njaa.

Hihi "nina njaa" ya wife wangu ilikua ni "code word" fulani hivi. Nikamuelewa, nikamwabia hata mimi nina njaa kukushinda wewe weka tule. Akacheka, aksema ngoja nikupashie moto. Tukala tukamaliza, kila mtu hoi, mapema nikapigiwa simu mama.

Mama: Nyie mtalala mpaka saa ngapi?

Mama alikua na jambo lake la mapema anaewweza kukuamsha hata alafajiri akakuuliza mtalala mpaka saa ndapi? Kutazama saa ilikua kweli tumechelewa sana, saa mbi imepita kidogo.
Mimi: Nakuja.

Nikaingia kukoga faster, wife nae akawa kishaamka, nikavaa nikatoka uani, kwenye kahawa, nikamkuta mshikaji leo anapiga kahawa, mama yupo jikoni.

Mama; Jamaa yako huyo ankungoja, nikaona nikuamshe labda mmeagana, umechelewa kulala.
Mimi: Vipi mwamba, ndio unaingia kutoka pajero nini? naona uso umevimba.
Mshikaji: kama ulikuepo, sijafika nyumbani, na kule kwetu sasa hivi hapalaliki, si unajua chumba changiu cha uani, ndiio wote mule ndani kazi zao wanafanyia uani, ikifika kumi na moja alfajiri kule hapalaliki. ndio nikasema nikuwahi Simba, ukienda gereji twende wote nikatafute gari ambalo haliondoki nilale ndani, kule poa sana.

Huyu mshikaji ilikua ndio kazi yake kuja kuvizia wateja wanaopiga simu magari yao yakachukuliwe au wapelekewe. Yeye ndio wa kwanza kupigiwa simu na Mzee afanye kazi hio.
Mimi; Poa , kakoge basi ubadili utanikuta hapa, utaenda juso limeumuka namna hio?
<shikaji: Nilikua nakuwahi tu, maana mlinzi anasema dingi kishaondoka. Kama unainisubiri, mie kukoga na kubadili faster tu, ngoja nipige kahawa ya bi mkbwa kwanza.

Tukawa tunakunwa kahawa huku ananipa visa vya kukesha bar.

Mshikaji: Bi Mkubwa, nilikwambia siku nyingi hutaki kunisikiliza ushauri wangu. Hii kahawa na hivi visheti, pika kwa wingi vyua biashara mimi nifungue meza ya kahawa hapo msikitini, laima tiugtajirike, hakuna kama hii kahawa yako dunia nzima, hivi visheti ndio usiseme, vinayayuka mdomoni kama pipi.

Mie nikajua hizo gia za kumtoa upepo mama, noikawa najichekea kimoyomoyo.
Mama: Si uje noikudundishe ufanya mwenyewe, mimi nitaweza kahawa na visheti vya biashara, kupika nyingi sio sawa na hizi kidogo.
Mshikaji; Inategemea na mk0no wa mtu, si watu wanapika kahawa na viusheti, lakini haviwi kama hivi. Tena bi mkubwa naomba nitilie kwenye mfuko le0 nakwenda kushinda gereji, siondoki kule.
Mimi: Hoyaa kakoge, mimi nitakuacha hapa.
Mshikaji: Bi mubw basi ndio kama hivyo, narudi dakia sifuri

Kweli haijapita nusu saa karusi, you smart ananukia sabuni na uso kidogo umekunjuka.
Tukapiga kahawa Bi mkubwa akampa mfyuko wa visheti.
Mshikaji: Sasa mwamaba tunaweza kwenda, hii hata nikikaa mpaka usiku, sihitaji mivyaku;la ya tabata kule.

Tukaondoka, kufika gereji ndani tukaachana mimi nilikua na kazi moja ndogo ya kumalizia tu, haikuchukua hata nusu saa. Nikaenda zangu dukani kwangu, kuzuga ziuga, mara simu ikaingia ya Dokta. baada ya kusalimiana pale.
Dokta" nawezza kukuuliza? jana ulinambia nikuulize leo. Una wakati wa kuongea kidogo?
Mimi; Sema.
Dokta: nataka kufahamu ulienda kwa Mzee Ali una matatizo yako? Au mnafahamiana, ndugu, marafiki> Maana nisije nikauliza maswali yakakukera.
Mimi: hapana, kama nilivyokwambia jana, nimejulishwa tu na Sheikh... wa Unguja.
Dokta: kwa hio unakwenda mara kwa mara?
Mimi: hapoana, jana ndio mara ya kwanza kabisa.
Dokta; Mimi nina matatizo miaka mingi, nilijulish kwake na huyo Sheikh... wa Unguja ndio nakwenda kwake marama kwa mara karibia mwaka sasa, lakini naona hali haiishi.
Mimi: Pole sana.
Dokta; sasa juzi kabla sijaenda ile jana akanambiua muhimu sana tukitaka kulimaliza hilo tatizo, yeye kishaongea na Sheikh..., kwanza anitapishe vitiu nilivyomeszeshwa kiuchawi, halafu niende Unguja nikawaone wataaalam wa kibuki, niwape ada yao watulizane. Kisha yyeye mwezi ujao anakua na mwaka koga wao Kojani, wanakuja watu kutoka dunia nzima, mwaka koga wao ni wa kuagua watu tu, wenye matatizo ya majini na uchawi, hakuna kingine. Kanambia siku hio majini wote wa Kikojani na Pemba wanaitwa hapo, Kojani yote wanakua hapo na wageni wa kutoka kila sehemu dunia, wanachinjwa ng'ombe vinatengezwa vyano kila namna watu waliochaguliwa wenye majini, ndio wanapeleka vyano baharini maji ya kuza mutu, wakishatoa hivyo vyano basi kila mwenye sihoiri, au jini la kichawi mwilini mwake linakamatwa na kuondolewa kabisa, ukitoka Kojani unakua mzima kabisa, kama litabaki ni t()ruhani tu nalo litakua limeshasema ada zake na litatulizana maisha. Sasa ndio nilikua nauliza kama na wewe una matatizo uytakua unalijua hilo?


Mimi: hapana silijui hilo kabisa, ndio kwanza nalisikia kwako.
Dokta: sasa mimi naogopa kwenda peke yangu huko Pemba ndio nikasema kama unalijua hilo basi itakua afadhali tutakua wote?
Mimi: yaani upo tayari kwenda Pemba?
Dokta: kwanza wwekeend hii mimi nakwenda Unguja, kuhusu hilo la Kibuki, nimeshaongea na Sheikh... wa Unguja, kasema yeye anamjua bibi mmoja yuko huko Fuoni ndio kazi zake na kanipa nimeongea nae, hata mimi kumbe namfahamu, lakini nilikua sijui kama anafanya mambi hayo ya Kibuki. Ni maarufu sana huyo Unguja, ni mngazija mwenzangu na wangazija wote tunajuana.
Mimi: Nasikia wangazija wote ndugu.
Dokta; kweli, tumeoleana sana.
Mimi: Sina safari ya kwenda Pemba wala siijui, mimi sina matatizo hayo.
Dokta: sawa basi, wacha niende Unguja kwanazza, maana Unguja nipo nytumbani sina wasiwasi.
Mimi; Okay poa, safari njema.
Dokta: Ahsante niombee dua napata tabu sana. hysa mambi yasikie tu kwa wengine, yasikukute.
Mimi: kuyafatilia sana nayona ni mbaya pia. Zidisha ibada.
Dokta: Acha niende, nipo kazini, tutaongea nikirudi nyumbani jioni.
Mimi; haya kwaheti, u-yatakuondokea tu.
Dokta: Aaamiin.

Nikatoka zangu ofisini nikakaa gereji. Baadae baadae nikamuona mshikjai kisha lala pombe zishamtoka kichwani kaingia bafu ya gereji kakoga, kanifata.
Mshikaji; Twende kwa dingi tukanwe kahawa yakee maana dingi kahawa ya nyumbani, kichwa kinikae sawa.
Mimi; Ngoja yule mzee kahawa yake unatafuta ugomvi, mimi nimechukua yangu, hii lakini sio ya bi mkubwa hii yangu.
Mshikaji: Hizo zitakua baba mmoja mama mmoja si nyumba hiohio, iko wapi tunywe kichwa kifungke?+Mimi; Ipo kwenye gari langu, ufunguo upo dukani, waambi wakupe, njoo na kapu lake lota kuna kikombe changu changu mule.
Mshikaji; Mambi si hayo bwana, mradi kuna kapu basi kunamemngiu huo, faster tu mwanangu.

Akaenda akaleta kahawa akacheki ndani ya kapu, akakuta hakuna zaidi ya chupa ya kahawa na chupoa ya mbili za maji ya kawaida.
Mshikaji; Basi nikaju kapu halikosi vilosoloso.

Tukawa tunapiga kahawa na visheti vyake alivyoewa asubuhi.
Mshikaji; Eeeh bwana yule dada, gari lake tunaleta lini gereji kulifanyia service, unajua lina misi misi.
Mimi; Nikacheka. Mbona unafosi sana mambo ya yule dada umekiona nini ambacho mimi sijakiona?
Mshikaji: Ile ngoma matawi ile, sio ngoma ya kitoto ile. Wewe kumfikishia tu kuzama ndani pochi kachimoa noti bila kuhesabu, na mimi nikaona noma kuhesabu paalepale nikazisonda mfukoni hivyo hivyo alivyonikunjia. Kufika mbele mwanagu kusebau, sijaamini, elfu 50. Nikaona huyu dada kakose anini au unamdai pesa za gereji ndio kachanganya humohumo? kama ndio hivyo utanisamehe tu mshoikaji, pajero nuksi.

Mimi: Hatumdai kitu, kakkutunuku.
Mshikaji: Wala si uongo, maana ile tsheti siliovaa jana na dangarizi sio mtumba ile, aliniletea bi mkubwa alivyotoka Dubai, si unakumbuka mwanangu. Siku nikivaa zile zina kisimati ile mbaya.
Mimi; Nikacheka.
Mshikaji; Usicheke simba, hii miguo ya mtumba minuksi ya watu tunaivagaa, hapa gereje hukuti mtu ambae hajavaa nguo ya mtumba akchubuliwa vidole na spana. Ukimona mtu kadindoikewa na jeki, ukimcheki kavaa nguo ya mtumba. Mie mshikaji hata hili ovaroli, hili mzee kanipa jipya kabisa kwenye mfuko wake, unakumbuka aliwaleytea mafundi waote humu ya kijani, sisi mabosi tukapewa hizi nyeupe.
Mimi; Kumbe mwenzangu ni bosi, mimi sikupewa kabisa?
Mshikaji: Sasa wewe unafikiri kai yangu hapa kuna bosi juu yangu? Mimi ndio bosi kitengo changu, muulize Dingi kama huelewi hilo. Mimi Bosi mkubwa sana hapa. Tena hoyaa usikiri utani kuhusu misi lile gari. Unajua wewe huelewi kitu, cheza na waya tu hizo za magari, mimi mzee ananambia mimi ndio tester wa magari hapa, haitengenezzwi gari bila mimi kuitesti, au huji hilo?
Mimi; najua mwanagu.
Mshikaji; Sasa kama wewe huwezi kumwabia yule mteja gari lake lina misi, nimwambie dingi aniruhusu nimwambie mwenyewe, si nilipoendesha nililona lina misi, kwa mbali. Yule itakua kile kigari ananunuja mafuta ya vidimu, uchagfu mtupu, lazima ailete hapa apewe somo na mzee la kutunza gari lake. Tena namwambia mzee amwambie, ile gari kila tarehe ya setrvice naifata mwenyewe upoanga bure, na naikosha mimi bure ndani na nje?
Mimi; kwanini yote hayo?
Mshoikaji; lazima nijiweke karibu na yule dada kwa nja yoyote ile. kile kifaa cha kimataifa. uemuona anavyocheka wewe? Utapenda acheke, jana alicheka sana nilipompelekea gari, nilimwabiai lako limenitia njaa lina nukia kuku wa barafaa". Akacheka sana, kuzama kwenye pochi nikaw tajiri mimi. Yule hunambii kitu mshikaji, unajua mimi mpaka leo sijaoa? Sasa nimepata mke nilekua namgoja, usinitilie kauzibe. Ngoja nende kwa mzee nikamwambie habari ya misi.

Mimi; haya bot)ra uende maana itakua stiri ni hio kuytwa kucha.

Akaondoka, mimi nikaona ngoja niasikilize vituko kwa mzee, maana wakiongea huwa wanaongea kibangibangi wite wawili. Nikamfta nyuma. Ile kugfika tu kwa mzee. Akamsalimia pale.
Mshikaji: mzee kama hakuna gari ya kutesti leo, jana nimeteti gari ile ilikua nyumbani pale alinipa mwanangu haoa kuipeleka upanga, ina bonge la misi, itamtesa yule dada. Mie namba zake ninazo lakini siwezi kuongea na mteja bila idhini hyako, nwamaabia huyu fundi waya, hanielewi.
Mzee: gari inamisi au yule mwenye gari?
Mshikaji; Mzee ile gari kwanaza kuipeleka imenitia njaa, ilikua inanukia kuku wa barafaa kishenzi. Saa sijui ile harufu ya kuku ndio inafanya misi? Unajua Mzee si vziruri, kurudisha gari ya mteja namna ile, hata kama imekuja harufu, inatakiwa ikitpoka kwetu hapa, inukie ma eya freshener ya kisasa sio kuku wa barafaa.
Mzee: kweli hilo, wacha utani ina misi kweli?
Mshikaji; Mzee huniamini testa wako?
Mzee mwambie huyo bwana akikuruhusu umpigie mpigie tu.
Mimi: Mimi hainihusu kitu ile gari haikutoka gereji hapa. Msiniingize mimi, kama ina tatizo lala umeme nambieni.
Mzee; Unazo namba zake za simu?
Mshikaji: ndio, alinopa mwaanngu hapa ile nimpigie anaielekeze niifikishe wapi?
Mzee: kama kweli ina misi mjulishe tu, hawa wanawake anaweza kutembea nayo mpaka ikamzimikia njiani. Tana labda hajui kama ndio kazi zetu.
Mimi: anajua kua tunagerejei nilimwabia jana wakati tunakula nae kwa Barafaa.
Mshikaji: basi hata usiniite na mimi kwa barafaa, ningekuja fasta tu.
Mzee: Wewe mpigie tu mwambie kuhusu misi ya gari lake, tena mpigie hapahapa usimletee maneno mengi, maana wewe ukianza kuongea hunyamazi.

Mshikaja akaanza kupiga simu, simu yake inabonge la spika na sisi tunasikia wazi kaboisa upande wa pili haina siri kabisa.
Dokta: Hello nani?
Mshikaji: Mimi niliekuletea gari lako jana, Salam aleku.
Dokta" Alekum salaam.
Mshikaji; Unajua dada jana nilipokua nakuletea gari nilijua linatoka gereji yetu lakini mzee kanambia halikutoka huku kwetu, niliona lina misi hilo. Unajua mimi ndio testa mkuu wa magari hapa gereji, gari kama ina matatizo nikiirusha kwa mteja lazima nimjulishe.
Dokta; Hata mimi nalihisi halipo sawa nikiliendesha muda mrefu saa nyingine kama linastuka stuka. Tatizo itakua nini?
Mshikaji: Sina uhakika lakini nilivyoona mimi hilo, inaweza ku mafuta machafu mankonunua, kama linazibaziba mafiuta yakichezachez humo au yakiwa kidogo. Hilo dada inatakiwa lid)safishe tanki na njia yaote ya mafuta, tuweke mafuta safi kabisa halafu tulitesti tutajua ni mafita au kuna kingine zaidi.
Dokta; Inachukua siku ngpi hio kazi?
Mshikaji: Siku moja tu dada lakini ongea na mzee hapa yeye ndio fundi mkuu, mimi tester tu sio fundi. Huyu hapa,

Akamsukumia zsmu mzee. Kitu ambacho mzee hapendi kabisa lakini akshindwa kusema akaipokea simu.
Mzee: Halo?
Dokta: Salaama alaikum, huyo kijana ananambia gari langu lina matatizzo na mimi nahisi ni kweli. Eti nikileleta kwenu litachukua muda gani kutengeneza?
Mzee; Kwanza lifike hapa ndani ya masaa mawili gtutakua tumeshaju atatizo ndio tutakwambia muda gani.
Dokta: Okay, mimi nasafiri Ijumaa jioni, naweza kulileta, lakini Jumapili usiku nitalitaka ili nipate usafiri wa kazini.
Mshikaji: Mzee mwambie wala asililete mie nitalifata na kama anaenda eyapoti au stendi ubungo mimi nitampekea na hiyohiyo gari halafu nitaileta gereji
Alikua anaongea kwa sauti makusudi yule dada asikie.
Mzee: umemsikia Dokta?
Dokta; Nimemsikia, mie naondi)ka na boti itakua vizuri atanishusha bandarini halafu yeye aondoke na gari, inabidi aje Ijumaa saa tisa hapa kwangu alipoileta gari.
Mshikaji; Poa poa nimesikia, kumbe ni Dokta eeh?
Mzee; sawa mama, atakuja Ijumaa. Kwaheri.
Mshikaji" mzee sasa sipati hata kahawa kikombe kiomoja? Si unaoan, huyu alikua haamini, mwambie mimi bonge la testa. Ananizarau kwa kua tupo kijiw kimoja mtaani, mzee mwambie huyu mwanao, wakati yeye anapoiga kitabu mimi tayari nacheze magari hapa gereji.
Mzee: ondokeni hapa, mimi na kazi zangu.

Tukatoka na mshikaji.

Mshikaji; mwanangu hata usinambie kumbe lile toto daktari? Sasa si unaona bwana, nikilioa liele tunapata Dokta wetu mtaani.
Mimi; Utamuhamisha Upanga umelte Ilala?
mshikaji; Yule anahami ahuku, tena chumba changu kilekile, sio nyumba ya kuoanga ile, yeye si anakaa nyumba msajili zile, namwambia achana nazo njoo tuanze masisha sote.
Mimi;Kama ananmumewe?
Mshikaji: kwani waganga kazi yao nini, si namwendea kwa mganga aachwe na mumewe.
Mimi; Hio sasa )dhambi.
Mshikaji: dhmbi kupenda? Mie simuaribii maisha yeke, tunakata mti tunapanda mti.
Mimi: Si mpaka akubali?
Mshikaji: Kuna mzee wa Kinyamewi huyo nimeambiwa anaitwa toboatobo, huyo hakuna aliloliweza. Namfata huyo tu, hachomoi yule, si umasikia anavyoongea na mimi? Yule kishaniona kwa jicho la mahaba.
Mimi: Si nenda nae Unguja na boti (nilikua najua mshiikaji anaogopa kweli bahari).
Mshikaji: huko poa tu, mwache aende kwa biti, ninhgejua mapema ningefanya mpango wa ndege kwani bei mbya kwenda Unguja hapo, nimemkopa hata mzee nikapanda kishada tu. Yanini miboti, watu wanatapikiana hovyo humo.
Mimi: wacha ndoto za ganja.
Mshikaji: Wewe ndio tatizo lako toka uache ganja, kila kitu unaona ni ganja tu. Au bado unachoma kisirisiri wewe, bangi za kuvutia chooni ndio zinatia uchizi, shauri lako.
Mimi; Nenda kalale hujalala swa wewe, acha nende zangu nyumbani nika[umzike mapema leo.
Mshikaji" poa mwanangu, mimi siondoki hapa jioni leo, nataka kuomgea na zmee mambo ya maana, wewe hayakuhusu.
Mimi; Poa, kwaheri, nikajua nikiongea nae ataunganisha siondoki na ilikua saa saba tayari.

Nikaingia kwa mzee nikamuaga. Nikaondoka zangu.
Simba.
...5.7
Vionjo vya Arsis 5-7

nilivyokutanishwa na majini ya Kingazija (Comoros) na Kipemba Kojani.


Njiani Babu akanioiagia simu. Tukasalimiana.
Mimi; babu naendesha sikawii, nikifika nyumbani nakupigia.
Babu; Okay. No problem.

Nilipofika nyumbani sikuchelewa nikampigia Babu. Baada ya kusalimiana.
Babu; kakupigia simu Sheikh...
Mimi; Hapana hajanipigia, kwema?
Babu; kwema Simba, basi atakupigia maana msikilize mwenyewe kwana za sitaki kutia langu kabla hujaongea nae.
Mimi: kuna nini babu, salama lakini?
Babu: Salama, mbona una wasiwasi Simba?
Mimi; Babu wasiwaasi wa nini ni we nao?
Babu: Basi ongea kwanaza na Sheikh... mkimaliza nipo hewani.
Mimi; Poa.

Nikakoga nikaingia kujipumzisha kidogpo kabla ya kula.
Wife: Husikii njaa? Chakula tayri, huku anacheka cheka.
Mimi: Njaa nasikia, napumzika kidogo halafu nipakulie nile, usiniache nikalala maana bilichoka naweza kuamkaa usiku.
Wife, oay, basi Simba, ungeamka ukala kwanza halafu hata ukilala si kitu. Njoo darling tena leo kapika mama mwenyewe, bahato umewahi mapema au alikujulisha?
Mimi: hapana, nipe dakika 15 tu nakuja, kuna simu naingojea, wewe tayarisha kabisa.
Wife: Ngoja nimwambie maza atayarishe mwenyewe maana akaipika vbyakula anasema hagta kupakua vina staili yake sio vinapakuliwa tu.
Mimi: Vyako je?
Wife akacheka, akanambia wewe pakua vyangu staili upendayo, vyako mwenyewe tena?

Nikaseka, mara simu ikaita, nakuja kula mke wangu usijali gtayarisheni. Kupokea ni Sheikh wa Unguja. Tukasalimiana pale.
Sheikh: Simba, kuna ombi nimeongea na babu yako kanambia niongee na wewe.
Mimi; Mimi tena, kuna nini?
Sheikh: yule binti miomuona kwa Mzee Ali, mambi ya amjini haya, Mzee Ali kamwambia aje Unguja kwa aneyaweza majini yua kibuki, haya majini ya kikwao yule binti ya Kina)gazija. Mimi nikaongea nae nikaongea na huyo bibi anaeyajulia kwa ada za kikwao kingazija hapa Unguja, wamepanga shughuli yake ifanyike Jumamosi, yule binti kishatuma pesa za chano na pia vitu vingine kasema atakjuja navyo mwenyewe kugtoka Dar siku ya ijumaa boyti ya mwisho. Nilipomjulisha babu yako kasema nikwambie na wewe uje kujionea tu. Hakuna kazi hyako wala ya babu yako, isipokua babu yako kasema kama ulivyoenda Kwa Mzee Ali kujione uja)e na hapa kujionea. Lakini kama utakuja, njoo Alhamisi, kuna mwanzagu kijana mweznzi akupeleke ukaionea hizo mitaa hata ukitaka kukiutana na huyo bibi na mumewe, ni waty maarufu sana hapa Unguja, ni vizri ukajuana nao tu. Hilo ni ombi la babu yaki nikwambie.
Sheikh... Ukija nijulishe mapema, utakua mgeni wangu hapa nyumbani, ukija mapema itakua vizuri ili upate kuiona Unguja, nahiona haujiaitembea.
Mimi: Poa nimekuelewa nitakujulisha kama nitakuja au siji.

Tukaagana, ile nafika kwenye chakula bi mkubwa ananipakulia, simu ya babu ikaja, niliacha simu chumbani, mke wangu kaniletea. Babu huyo, nimeshaijibu wewe ingea tu. Mkumbuke babau yangu ndio babu yake mke wangu, sisi ni watito wa mjomba na shangazi. Nikipokw simu, tukasalimiana na abu pale.

Babuj: umepigiwa simu eeh?
Mimi: Ndio bbu nimeongea na Sheikh... lakini sijmuelewa, mamboi yao wao anasema wewe umemwaboia anambie na mimi niwepo.
Babu: Ndio, mimi alikua ananielezea tu kinachoendelea, nikamwabia itkua vizuri na wewe ukayaone ya vibuki, utastarehe sana. Ningekua kijana ninhgekuja, nayajua mimi.
Mimi: Ssa mi niyaone kwanini babu? Mimi kai zangu zinasimama nikiondoka huku.
Babu; Hio Simba ni katika kujenga maarifa, wewe nenda tu kama mtalii, kwani kuna tatizo gani? Unguja yenyewe wewe huijui.
Mimi: Nimefika Unguja babu, umesahau?
Babu: hujaitembea wewe, nenda ukaione Unguja ya kweli, tena ukitaka kustarehe usifikie kwa hyo Sheikh, fikia hoteli moja nzuri ya kitaklii, kwani ukilipa siku tatu kama mtalii utakosa nini?
Mimi: babu unaongelea pesa nyingi hapo, si mchezo hoteli za kigtalii.
Babu: Kwa Mgtanzania wala usiogope wana bei yao, mimi babu hyako nikienda nakaa hogteli za kigtalii, igtakua wewe kijana?
Mimi: babu wewe unazo.
Babu: tena umenikumbusha kuna kijana manager wa hiteli moja alikuja kutafuta kinga wanamt)rogaroga sana huko kazini kwao, Bakora akampa majani ya kujikinga, mambo yake sasa hicvi swafi haoti oti hovyo gtena, ngoija niongee nae nimwabie akatagfutie hoteli nzuri iukae wiki moj, utulizane huko. Kazi haziishi.
Babu: Sina uwezo huo.
Babu; Wewe usijali, hoteli na chkula cha hoteli niachie mimi, najua la kufanya, wewe chukua pesa zako za matumizi jiktie na toiketi zako tu.
Mimi; Nitafikiria, nitakujibu.
Babu; hakuna muda, leo Humanne, kesho maizia mambo yako hapo, Alhamisi uondoke. Maana mimi nikikata simu yako nampoigia huyo manager wa hoteli, ni kija wa Kijunguja mspomi huyo, ukimuona utampenda, ni kija na smart sana. Kwaheri.

Babu akakagta simu hakunipa hata mufda wa kupinga.

Nikawekewa chakula nikwambia wife, unamsikia babu yako, Wife, kanambia kabla hajakwambia weew, safari ya Unguja hio. Mimi huko mume wangu sina hamu hata ya kwenda, toka kisa cha yule mtoto, hawanioni ng'oo.
Mimi; kani huku hakuna wachawi?
Wife; kumenitisha tu.
Mama; kama unakwenda Unguja kutembea nikupe zawadi za rafiki zangu, hlafu nitakuandikia vitu vya kuninunulia huko uniletee.
Wife: Na mimi Simba kuna vitu nataka kutokea huko.
Mimi: Ongeeni na babu kuhusu hizo shopping zenu, mwabieni mimi nimewaambia.
Mama: Usiogope vitu vyangu nakupoa mwenyewe pesa zangiu kabla hujaondoka.
Wife: Na mimi maaa mpe za vitu vya kwangu. Vyangu atakoma ubishi, vya bei si mchezo.
Mama: mwambie babako, mimi sina pesa. Si huyu mumeo akununulie, kazi anafanya poesa anapeleka wapi?
Mimi; Mhasibu wangu yeye huyo, anajua zipo au hamna na bajeti za matrumizi anapanga yeye. "like mother like daughter".
Mama; sasa kama hajapanga bajeti mkeo apange nani? Zikishafika kwake ndio inabidi ujue balance tu na matumizi yanaendaje, usidhani ni zako tena, wanaume nyinyi wachumaji, sisi watumiaji.
Mimi; Hakuna shida, mradi mnanipa pesa zenu niwaletee vitu, wala msiwe na shaka, nawaletea hata Unguja nzima mkiitaka.

Wakacheka, mama akachomokea, "mnajikaanga kwa mafuta yenu wenyewe.

Nikaondoka zangu baada ya kula nikapiga kahawa uaoni nikaenda kujipumzisha,
Simba.
...5.8
 

Yesu Ajaribiwa Na Shetani​

4 Kisha Yesu, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akarudi kutoka Yordani akaongozwa hadi jangwani. Alikaa huko jangwani siku arobaini 2 akijaribiwa na shetani. Siku zote hizo hakula cho chote , kwa hiyo baada ya muda huo aliona njaa.

3 Shetani akamwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, amuru jiwe hili liwe mkate.”

4 Yesu akamjibu, “Imeandikwa katika maandiko, ‘mtu haishi kwa chakula tu.’ ”

5 Kisha shetani akamchukua hadi juu ya mlima mrefu akamwo nyesha kwa mara moja milki zote za dunia. 6-7 Akamwambia, “Uki piga magoti na kuniabudu, nitakupa uwezo juu ya milki zote hizi na fahari yake; maana ni zangu na ninaweza kumpa ye yote nita kaye.” 8 Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mwabudu Bwana Mungu wako na kumtumikia yeye peke yake.’ ”

9-11 Ndipo shetani akamfikisha Yerusalemu, akampand isha juu ya mnara wa Hekalu, akamwambia: “Kama wewe ndiwe Mwana wa Mungu, jitupe chini kwani imeandikwa, ‘Mungu ataamrisha mal aika wake wakulinde

12 Yesu akamwambia, “Pia imeandikwa, ‘Usimjaribu Bwana Mungu wako.’ ”

Mungu wako.’ ”​

13 Basi Shetani alipomaliza majaribu yote, akamwacha Yesu kwa muda.
Vipengele 5,9-11 inaonesha ni jinsi gani shetani ni kiumbe chenye nguvu zaidi na kwa maoni yangu shetani alikuwepo tangu Dunia inaumbwa ila yesu amezaliwa shetani akimwona.

Ukisoma bibilia vizuri utakuja kujua kuwa mambo yote mazuli na mabaya yanafanywa na mungu
ISAYA 45-7
Sijaandika "kunawa" nimeandika kutawadha.
Kwanini ubadili maneno?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Achana nao hao kunguni watakusumbua tu, ... ,..
 
Allah sio Mungu mkuu bali Allah ni jini Subiani.Najua wengi mtapinga lakini huu ndo ukweli hii ni siri nzito saaana iliyofichwa bila kusahau mtume Muhammad yuko kuzimu anateseka,sababu alishindwa kumkiri Yesu kuwa mwokozi wake.
Ww unanunua ugomvi jombaa,
Vp kuhusu wabudha, wahindu je, Jainism vp, taonism ya Japan vp, vp sikism hizo zote ni dini ambazo watu wanaziamin,
#Je na hao wote watachokwa mote??#
Bila kusahau confuasm ya china n.k
 
Kwa uelewa mdogo wakati waislam wanaona na wakristo ukristo si ulishakuepo ambao ulikua mzuri tu haya mafundisho mengine yaliyokuja haiondoi kuwa ukristo ulikua umesimama na ulikua imara haya mengine ni uelewa watu...misheni ya Yesu sio kuubiri utatu bali ni kuacha dhambi kubatizwa na kuamini yesu kristo alikufa na akafufuka baaasi! Hayo mengine uwezi ukasemq Yesu ni Mungu kama Hauongozwi na Roho mtakatifu kukiri icho
Asante,kwahiyo ukiwa na roho mtakatifu ndio anakuongoza uamini Yesu ni Mungu?
 
Allah sio Mungu mkuu bali Allah ni jini Subiani.Najua wengi mtapinga lakini huu ndo ukweli hii ni siri nzito saaana iliyofichwa bila kusahau mtume Muhammad yuko kuzimu anateseka,sababu alishindwa kumkiri Yesu kuwa mwokozi wake.
Unaleta vichekesho barazani.

Kununisti toka lini mmeanza kujifundisha mambo ya Mungu?
 
Last supper au kalamu ya mwisho kabla ya kusurubiwa Yesu aliwaosha miguu wanafunzi wake wote, sijui kama ndio kutawadha au vipi lakini leo hii retual aliyofanya Yesu makanisa yote Katolico ikiwemo Rc na ukoo wote wa katoliki wanafanya kitendo hiki makanisani wiki ya pasaka.

Kama huku ni kutawadha basi hata makanisani mpaka leo tunatawadha mara moja kwa mwaka.
Kuna maandiko yako nimeyasahau katika taurat nadhan walikuwa wanatia udhu kabla ya kusali,ngoja nitayatafuta inshallah
 
Umekuja kueneza dini ya Mtume huna mpya rafiki yangu, kwenye Biblia tuliaswa siku ya mwisho ya ulimwengu mtakuja na mambo mengi ikiwa ya haya ya kupotosha...

Yesu arudi tu kuwaangamiza ninyi na Majini yenu, Ameni.
Ataanza na wewe unaye muabudu kaa tayar,atakuja kuvunja na misalaba pia,mjipange mapema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom