NkumbiSon
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 2,526
- 3,563
Hizo porojo zinatolewa na wasiorejea Maandiko.Hapo ndipo huwa nachokaga na porojo zenu,mungu kampeleka yesu kwa iblis akajaribiwe,hlf unamalizia kwa kusema alipewa mtihani kutoka kwa mungu
Je wakati huo Yesu ni mungu au sio mungu
Naomba msinijibu hizo porojo zenu tafadhali
Asante
Yesu mwenyewe alisema anaenda kwa Baba kuyaandaa Makao.
Kwahiyo zisikuchoshe kama hazipo ktk Biblia, ila Mtambue Yesu kwa sifa zake na kwa Upekee wake tuu juu ya yeye ni nani? Biblia ina majibu yasio na Utata kabisa.