ERTUGRUL BEY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 11,622
- 21,691
Sasa ndugu yangu,ikiwa Yesu hakuaminiwa na miujiza yote hiyo na uzazi wake wa kipekee mpaka yeye akakiri kuna mambo hajayatimiza na hakuaminiwa,,unataka kuniambia roho ataaminiwa na tena haijulikani huwatokea akina nani,na kwanini roho awachague baadhi ya watu?Ndio kulingana na Biblia 1korintho 12:3
Na kwanini neno la mungu au ujumbe wa mungu uwe wa siri namna hiyo yaani kupitia roho
?