Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,430
- 108,589
Samahani nisome upya, hamjanijibu kwa ukamilifu wake, naomba maswali yangu yote yajibiwe, nimeuliza hivi......Tumeshajibu.
Simba.
Hapa mimi nina swali kwenye hoja ya kwanza ya Jini.
Kama jini ni kiumbe cha Allah wameumbwa ili wamuabudu Allah, je majini wanatumia kitabu gani?
Je majini ni dini gani?
Je majini wanaswali wapi?
Je kuna ukweli wowote kwamba kuna binadamu wanatengeneza majini na kuyafuga na kuyatuma?
Naomba na Arsis atie neno kwenye haya maswali yangu yanayonitatiza