Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Hapa mimi nina swali kwenye hoja ya kwanza ya Jini.

Kama jini ni kiumbe cha Allah wameumbwa ili wamuabudu Allah, je majini wanatumia kitabu gani?

Je majini ni dini gani?

Je majini wanaswali wapi?

Je kuna ukweli wowote kwamba kuna binadamu wanatengeneza majini na kuyafuga na kuyatuma?

Naomba na Arsis atie neno kwenye haya maswali yangu yanayonitatiza.

Asante.
Hili wala halina haja ya kujibiwa na Arsis.

Majini ni kama unavyoona watu tu, wapo wa kila dini, kila kabiala, wapo wanyama wa kijini.

Wapo anaosali misikitini, makanisani, mahindu, mabudha, wasio sali kabisa, wenye kuamini Mungu na wasioamini mungu.
Simba.
 
Hili jaribu halikua katika mwili bali katika roho,
shetani ni roho, na yesu alikua katika roho mawazo ya uovu wa shetani katika roho yalikua yanamjaribu yesu katika roho. Hapa ndio zile dhambi tunazozitenda kwa kuwaza kama tunaposhindwa kuzuia mawazo yetu kuanzia zinaa,kudharau nk
 
Nakupata vyema sana mkuu, nina swali sasa utamtambuaje huyu jini ni mwema maana kigezo cha kukutendea mazuri hakutoshi kuwa bayana ya nia iliyojificha.

Na imeelezwa huko juu kuwa moja ya sifa zao kubwa ni uongo. Kama tujuavyo muongo haaminiki.
Muhimu ni kua usiwaabudu na kushirikiana nao kwenye uovu. Kuna mashetani kati yao.
Simba.
 
Visa vya Arsis Viko Wapi Simba!!
Vipo vinakuja, nina shughuli nyingine za kufanya, ukiona kimya ujue nimetingwa na mengine. Leo nimepandisha sana kisa asubuhi.
Umeishi post namba ngapi Nikaanzie hapo.
Simba.
 
Hili jaribu halikua katika mwili bali katika roho,
shetani ni roho, na yesu alikua katika roho mawazo ya uovu wa shetani katika roho yalikua yanamjaribu yesu katika roho. Hapa ndio zile dhambi tunazozitenda kwa kuwaza kama tunaposhindwa kuzuia mawazo yetu kuanzia zinaa,kudharau nk
Kwa mujibu wa uislamu hakika Allah ametusamehe wanadamu kwa yale tunayoyawaza mpaka tuyatekeleze kwa vitendo

Just imagine huwa tunawaza mambo mangapi ya ajabu?

Na imeenda mbele zaidi,lau mwanadamu alikuwa akiwaza kufanya ovu ana asilifanye basi huandikiwa jema moja na lau akalifanya basi huandikiwa baya moja

Na lau aliwaza kufanya jema na asilifanye lkn kwa nia yake tu atapata jema moja na lau akalifanya hilo jema moja huandikiwa mema kumi mpaka mia saba na zaidi itategemea na nia yake madhubuti

Hayo ni mafundisho ya uislamu

Asante
 
Clear Mbwai mbwai tu, simba hataki masiara na dm , apa simba kanyooka kama rula yani
Jukwaa la wazi linasaidia wengi, kama mimi sina majibu wapo wajuzi zaidi yangu JF.

Mafno mtu anauliza PM nilifukuzwa chuo kwa kukosa nidhamu, kwa mtazamo wangiu, jukwaa la wazi anaweza kupata majibu kwa wenye ujuzi na hilo. Mimi chuo kikuu chenyewe sijasoma, nimeishia form IV, nakiona kwa mbali tu.

Lazima wana taratibu zao za kusikiliza matatizo na kuyatatua.
Simba.
 
Kwa mujibu wa uislamu hakika Allah ametusamehe wanadamu kwa yale tunayoyawaza mpaka tuyatekeleze kwa vitendo

Just imagine huwa tunawaza mambo mangapi ya ajabu?

Na imeenda mbele zaidi,lau mwanadamu alikuwa akiwaza kufanya ovu ana asilifanye basi huandikiwa jema moja na lau akalifanya basi huandikiwa baya moja

Na lau aliwaza kufanya jema na asilifanye lkn kwa nia yake tu atapata jema moja na lau akalifanya hilo jema moja huandikiwa mema kumi mpaka mia saba na zaidi itategemea na nia yake madhubuti

Hayo ni mafundisho ya uislamu

Asante
Nimeelewa vizuri kiongozi kwa upande wa Kiislamu,shukrani sana
 
Haya ni maneno yako, Biblia haisemi hivi.

Inachosema Biblia Yesu alipelekwa jangwani na Mungu mwenyewe ili ajaribiwe na Ibilisi na alifunga usiku na mchana kwa siku 40, na huu ulikuwa ni mtihani wake kutoka kwa Mungu.

Habari za jini umezitowa wapi?
Hapo ndipo huwa nachokaga na porojo zenu,mungu kampeleka yesu kwa iblis akajaribiwe,hlf unamalizia kwa kusema alipewa mtihani kutoka kwa mungu
Je wakati huo Yesu ni mungu au sio mungu
Naomba msinijibu hizo porojo zenu tafadhali

Asante
 
Hapo ndipo huwa nachokaga na porojo zenu,mungu kampeleka yesu kwa iblis akajaribiwe,hlf unamalizia kwa kusema alipewa mtihani kutoka kwa mungu
Je wakati huo Yesu ni mungu au sio mungu
Naomba msinijibu hizo porojo zenu tafadhali

Asante
Umeuliza swali acha wajibu kwa uelewa wao, kama hutaki kujibiwa kwanini umeuliza?

Au sijakuelewa?
Simba.
 
Hapo ndipo huwa nachokaga na porojo zenu,mungu kampeleka yesu kwa iblis akajaribiwe,hlf unamalizia kwa kusema alipewa mtihani kutoka kwa mungu
Je wakati huo Yesu ni mungu au sio mungu
Naomba msinijibu hizo porojo zenu tafadhali

Asante
Hapa lazima ujibiwe, msingi wa mapokeo ya Ukristo ni utatu mtakatifu hii ndio walikaa Nicea kupitisha.

Kwa upeo wangu wa kusoma maandiko yupo Mungu baba na Yesu ni chosen one hata Quran inathibitisha hili kwa kumtaja Yesu kama mtume wa daraja la juu kabisa na yuhai yupo mbinguni na Allah, huyu ndio ninayemfuata mimi.
 
Hapa lazima ujibiwe, msingi wa mapokeo ya Ukristo ni utatu mtakatifu hii ndio walikaa Nicea kupitisha.

Kwa upeo wangu wa kusoma maandiko yupo Mungu baba na Yesu ni chosen one hata Quran inathibitisha hili kwa kumtaja Yesu kama mtume wa daraja la juu kabisa na yuhai yupo mbinguni na Allah, huyu ndio ninayemfuata mimi.
Huwa sipendi porojo
Asante
 
Huwa sipendi porojo,nimewapa wazo wajitafakari imani yao
Wewe bado maamuma kwenye kitabu chako kimoja tu Quran ndio sembuse vitabu 66 vya Biblia una uwezo wa kuvielewa?

Kwani Mashia na Sunni msimamo wenu ni mmoja kwenye Uislamu?

Ndio hapa mnafundishwa ilmu mjifunze uislamu kwa kutumia Quran na siyo kudandia Biblia yenye vitabu 66, kama kitabu kimoja tu cha Quran kinakuchanganya je utaviweza vitabu 66 vya Biblia?

Kuna kitabu kama cha Ufunuo wa Yohana kinatakiwa kusomwa na watu inteligence tu kimejaa code language.
 
Wewe bado maamuma kwenye kitabu chako kimoja tu Quran ndio sembuse vitabu 66 vya Biblia una uwezo wa kuvielewa?

Kwani Mashia na Sunni msimamo wenu ni mmoja kwenye Uislamu?

Ndio hapa mnafundishwa ilmu mjifunze uislamu kwa kutumia Quran na siyo kudandia Biblia yenye vitabu 66, kama kitabu kimoja tu cha Quran kinakuchanganya je utaviweza vitabu 66 vya Biblia?

Kuna kitabu kama cha Ufunuo wa Yohana kinatakiwa kusomwa na watu inteligence tu kimejaa code language.
Si kwamba nashindwa kufanya mjadala na wewe laa,ila utanipa porojo zako nyingi sana

Hitilafu za waislamu hazipo katika mambo ya kiibada zaidi ila katika uelewa wa baadhi ya mambo,tutatofautiana mwandamo wa mwezi.lkn wote tunafunga ramadhani,wote tunaswali swala tano,wote tunamwamini Allah na mambo mengi ambayo ndio msingi wa dini

Sasa nyie picha linaanza hajulikani mungu wa.kweli ni nani

Usinipotezee mda wangu

Asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom