The Republican
Senior Member
- Dec 5, 2021
- 174
- 308
Alikaririshwa, kwa namna isiyoweza kufutika moyoni.Kwa lugha nyepesi alikariri sio?
Alikaririshwa, kwa namna isiyoweza kufutika moyoni.Kwa lugha nyepesi alikariri sio?
Si tuoneshe aya hii ya Qur'an inatafasiriwa hivi na Mtume. Moja moja tu, tuone tutafika aya ngappi kila tunavyoendelea na uzi.Mche Allah na Tambua kuwa utahukimiwa kwa ulichokiandika, HADITHI za Bw. Mtume ziko zaidi ya Laki 6, yote ni Maneno yake ikiwekwa katika isnad ya wapokezi, Aya ipi ya Qur'an ambayo Mtume hakuifundisha?
HADITHI zikapangwa kwa madaraja, Sahihi, Hasan, Dhaif, na HADITHI Maudhui. Zote hizi kuondoa aina ya majitu kama ninyi, Leo unasemaje Kuna Aya za Qur'an Mtume hakuzitafsiri? Haya mananeo umeyatoa wapi haya?
Wacha kujiandikia vitu usivyovijua wewe Mwongo. Na followers zisikufanye kuingia katika kufru. Haikusaidii chochote ukiandika kwa matamanio yako isipokuwa utaulizwa na adhabu Kali itawashukia watu wa aina hiyo isipokuwa wakitubia.
Hilo la Mtume kutokujua kusoma maishani mwake mimi sikubaliani nalo, labda hakufundishwa na mtu kusoma kabla ya Utume. Baada ya hapo alijua kusoma na kuandika pia inawezakana.Kwa lugha nyepesi alikaririshwa sio? Kwa kuwa hakujua kusoma
Kwa sasa "physically" anaishi kwenye lango la kuendea dunia zingine kama mlinzi. lakini anaweza kua popote duniani wakati wowote. Mwenyewe anasema, hio siku hizi mnaiita quantum physics.Arsis unaishi wapi
Zaid ibn Thabit ndio mwandishi wa Quran baada ya Muhamad kufariki.Naam Mtume S.A.W aliwateua kundi maalumu la waandishi wa Qur'an nao ni Abdullah Bin Amr Ibn Al As, Muawiyah Ibn Abi Sufyan, Zayd Ibn Thabit na Wengineo.
Inepokewa kutoka kwa Umar R.A kuwa Qur'an ilipokewa/kufundishwa katika Lahaja Sita. (Muslim 818)
Naunga mkono hoja.Leta story mkuu
Si tuoneshe aya hii ya Qur'an inatafasiwa hivi na Mtume. Moja moja tu, tuone tutafika aya ngappi kila tunavyoendelea na uzi.
Adam wapi kaandikwa kua ni mtu wa kwanza ktika Qur'an?
mwaga elimu.
Simba.
Hapana na yeye Aliekuwepo na Mtume alimpa jukumu la kuandika Qur'an tukufu, na ndie aliepewa Usimamizi wa kazi hii baada ya Mtume kufariki na Abu Bakar Siddiq.Zaid ibn Thabit ndio mwandishi wa Quran baada ya Muhamad kufariki.
Allah anasema: (Al-Aaraf 7:157)*"Hilo la Mtume kugtokujua kusoma maishani mwake mimi sikubaliani nalo, labda hakufundishwa na mtu kusoma kabla ya Utume. Baada ya hapo alijua kusoma na kuandika pia inawezakana.
Simba.
Unatoaje hukumu kirahisi namna hii?Ni sahihi unavyosema lkn mwisho wa siku wewe kama wewe inabidi ujitathimini na kujua ipi ni imani ambayo unataka kuwa,mfano huwezi sema naenda kanisani na msikitini,hapo kuna sehemu unaenda kupoteza mda bure tu
Ni wapi imeandikwa hivi?Mfano huwezi fanya ibada za kiislamu kama hujaukubali uislamu,kuna mtu utamsikia ikifika ramadhani nafunga na waislamu wkt yeye hajaukiri uislamu,ina.maana hapo anashinda na njaa bure
OkaySijui hata kama ukatoliki kwa mfano haujabaatizwa sijui ukatoliki wako kama umetimia
Sawa, ni ipi nafasi ya wazazi katika maamuzi yangu juu ya hili katika jambo ambalo nimewarithi wao?Kwahiyo soma dini zote kisha fanya uamuzi sahihi
Ingekua Kiongozi alieuanzisha mwenge Tanzania katokea bagamoyo ningefikiria mara mbili.
Sehemu nyingi tu, wakatoliki wana sherehe yao ya moto. t-Tena sio wakatoliki tu, na makanisa mengine pia.
Simba.
![]()
Washington Cardinal Wilton Gregory presided at the March 30 Easter Vigil at the Cathedral of St. Matthew the Apostle, where people became full members of the Catholic Church as they received the sacraments of Baptism, Confirmation and Eucharist. (Catholic Standard photos by
Wewe ndio hujui ulichokiandika na kama hujui omba kuelimishwa kuliko kujifanya mjuwaji.Mche Allah na Tambua kuwa utahukimiwa kwa ulichokiandika, HADITHI za Bw. Mtume ziko zaidi ya Laki 6, yote ni Maneno yake ikiwekwa katika isnad ya wapokezi, Aya ipi ya Qur'an ambayo Mtume hakuifundisha?
HADITHI zikapangwa kwa madaraja, Sahihi, Hasan, Dhaif, na HADITHI Maudhui. Zote hizi kuondoa aina ya majitu kama ninyi, Leo unasemaje Kuna Aya za Qur'an Mtume hakuzitafsiri? Haya mananeo umeyatoa wapi haya?
Wacha kujiandikia vitu usivyovijua wewe Mwongo. Na followers zisikufanye kuingia katika kufru. Haikusaidii chochote ukiandika kwa matamanio yako isipokuwa utaulizwa na adhabu Kali itawashukia watu wa aina hiyo isipokuwa wakitubia.
Naomba maana ya maneno yaliyoandikwa katika hii peteSi tuoneshe aya hii ya Qur'an inatafasiwa hivi na Mtume. Moja moja tu, tuone tutafika aya ngappi kila tunavyoendelea na uzi.
Adam wapi kaandikwa kua ni mtu wa kwanza ktika Qur'an?
mwaga elimu.
Simba.
Hehehe unachekesha sana Sasa unataka kubishana hata hati ya kiarabu huandiki, utaelewa mafhum ya HADITHI?Wewe ndio hujui ulichokiandika na kama hujui omba kuelimishwa kuliko kujifanya mjuwaji.
Hadithi si maneno yote ya mtume, hadithi ni kitabu kilichofanyiwa research kwa sababu kwenye Quran hakuna biography ya mtume ndio sababu ya kuandikwa vitabu vya sunna vya hadithi na Sila na waandishi wake waliviandika mtume akiwa ameshafariki.
Labda ili uelewe vizuri ni kama unavyoona injili ya Luka kwenye biblia aliandika maisha ya Yesu kwa kuwahoji watu waliokuwepo wakati wa Yesu, au kama unavyoona Absalom Kibanda anaandika kitabu cha maisha ya Lowasa atawahoji watu wote wa karibu akiwemo JK, sasa simple logic huwezi kudanganya umma eti kuandika kitabu cha mtu aliyekufa eti yote ni maneno yake si kweli acha kudanganya watu.
Hivi vitu tunafundishwa na maprofesa waliobobea na tunasoma vitabu sasa wacha mbambamba.
Hapo uliposema nafsi kwa nafsi zinaongea… umemaanisha Nafsi ya Binadamu A inaweza kuwasiliana na Nafsi ya Binadamu B?My Life Experience 02
Unknown creature + Binadamu= Chotara(Djinn/Nafsi/Soul), Hii haionekani kwasababu Baba umbile lake si la ulimwengu huu isipokuwa mama.
Hapa ndio kuna mkanganyiko mkubwa sana ambao binadamu mpaka leo haelewi Djinn(mmezoea kuita jina hili ingawa sio kweli Djinn) ni nani? yupo vipi na anawezaje kujua vitu vingi kuliko binadamu wa kawaida.
Djinn( ingawa sio Djinn kweli) Ni Nafsi, Nafsi haina umbo isipokuwa inaweza ingia kwa kiumbe chochote na muda wowote na kikakaa ndani ya muda mfupi.
Nafsi/Djinn ina nguvu na haina limitations, Ina maarifa mengi na chanzo cha maarifa haya ni kupitia Binadamu, Binadamu ana Mwili + Nafsi + Roho, Djinn anapata maarifa kupitia hii nafsi ya Binadamu ambayo ikiwa kwenye mwili wa binadamu haijitambui mpaka itoke nje ya mwili. Nafsi kwa Nafsi Zinaongea na zina wasiliana na zinapeana taarifa.
Binadamu ni Djinn endapo Nafsi yake ikiwa nje ya mwili.
Elimu hii sijasoma popote pale isipokuwa kutoka kwao wenyewe, Nilizunguka sehemu mbali mbali kwaajili ya kupata habari nusu nusu.
Hadithi zimepokolewa kutoka kwa mtume lini?Hehehe unachekesha sana Sasa unataka kubishana hata hati ya kiarabu huandiki, utaelewa mafhum ya HADITHI?
Inaposemwa Imepokewa kutoka kwa Fulani (rawi wa hadithi), ikapokewa kwa Fulani Amesema Abuu Hurairah Amesema Mtume S.A.W maana yake Unaelewa?
Mtiririko huu kitaalamu unaitwa Isnad, yote kuondoa UCHAFU wa kuzushwa kwa HADITHI mpya.
Muhdditheen (wataalamu wa elimu hii wako wengi) wanaogawa hadithi katika madaraja manne. HADITHI ziko katika madaraja manne
1. Sahihi- isnad yake ni ya nguvu sana na imepokelewa kutoka kwa Mtume S.A.W
2. Hasan, 3. Dhaifu 4. Maudhui.
Hebu niambie ni profesa Gani kakufundisha uongo huyo nipate kumraddi katika publishings zake na awe Discredited?
Kwenye hili Huna ujualo PhD. Tulia.