Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Karibu sana, mwaga elimu isio na upuuzi.
Simba.
Na Ile kauli yako uliyosema kwamba hadithi za mtume zinazotafsiri Quran ni kama 10 tu zilete hzo hadithi unazoamini ndio zimetafsiri Quran haf tukuulize maswali ambayo Quran imeyaeleza yanahitajia hadithi za mtume Muhammad ili uweze kuelewa leta hzo hadithi zako kumi tu ulizozichagua ww tukuoneshe ulivokuwa huna elimu
 
Ww ni jahili ukisema Adam sio binadamu wa mwanzo tuambie ww Nan binadamu wamwanzo na ushahidi unautoa wap usituulize sisi?
Punguza jazaba, elimu haitaki hivyo.

Mimi nani hata niseme hivyo wakati mwenyewe Muumba wetu hajasema kwenye Qur'an yake?

Wewe unaesema adam ni mtu wa kwanza ndio utupe ushahidi umeyatoa wapi hayo mafundisho yako kama Muislam?
Simba.
 
Na Ile kauli yako uliyosema kwamba hadithi za mtume zinazotafsiri Quran ni kama 10 tu zilete hzo hadithi unazoamini ndio zimetafsiri Quran haf tukuulize maswali ambayo Quran imeyaeleza yanahitajia hadithi za mtume Muhammad ili uweze kuelewa leta hzo hadithi zako kumi tu ulizozichagua ww tukuoneshe ulivokuwa huna elimu
10 mpoka 20. Hazizidi hapo. Hazikutafsiri Qur'an ni baadhi ya aya tu, hazizidi hayo, tena hizo ni kwa mujibu wa wana historia ya Kiislam. Sio kwa mujibu wa Mwenyezi Mungu.

Kuna elimu kubwa sana hapo kwa mwenye uelewa.
Simba
 
Ishushwe vipi wakati kwenye kitabu cha Quran kuna Torati, zaburi na injili?
Doktori doktori dah sijui nisemeje

Qur'an kama ilivyo vitabu vingine vya Mungu huwa vinadhibitisha ujumbe wa kabla yake

Mfano taurati ilidhibitisha zaburi,na injili ilidhibitisha taurati na qur'an kwakuwa ni kitabu cha mwisho kinadhitisha hayo yote kwa uchache,usitarajie au kuelewa kwamba kuna vifungu vyote hivyo,,,ntakumpa mfano

Kuna aya katika qur'an inazungumzia juu ya kufunga swaumu ya ramadhani,hapo Allaha anasema mmelazimishwa kufunga swaumu kama ambavyo walilazimishwa umati za nyuma huko

2:183

"Enyi mlio amini! Mmeandikiwa Saumu, kama waliyo andikiwa walio kuwa kabla yenu ili mpate kuchamngu."

Kwahiyo hapo quran imekumbusha kwamba hata huko nyuma katika umati zilizo pita katika vitabu vya mwanzo watu waliambiwa wafunge swaumu

Tuje kwenye swala lingine,kwa nyakati tofauti wakristo na wayahudi kila mmoja alikuwa anwaona wenzake wamepotea na kuhangamia,sasa quran inaelezea hizo habar kudhibitisha hayo yaliyo tokea huko nyuma

2:113

"Na Mayahudi husema: Wakristo hawana lao jambo. Na Wakristo husema: Mayahudi hawana lao jambo. Na ilhali wote wanasoma Kitabu hicho hicho (Biblia). Na kadhaalika walisema wale wasio jua kitu mfano wa kauli yao hii. Basi Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao Siku ya Kiyama katika yale waliyo kuwa wakikhitilafiana."

Kwahiyo mifano iko mingi sana,kuna aya mpaka ambazo zinaeleza namna ambavyo ibada za zamani zilikuwa zinafanyika,,kwenye taurat watu walikuwa wanasujudu kama waislamu,Yesu mwenyewe kuna kipindi alionekana amesujudu

Sijui nyinyi ibada ya kupiga magoti mmeitoa wapi?
 
10 mpoka 20. Hazizidi hapo.
S
Punguza jazaba, elimu haitaki hivyo.

Mimi nani hata niseme hivyo wakati mwenyewe Muumba wetu hajasema kwenye Qur'an yake?

Wewe unaesema adam ni mtu wa kwanza ndio utupe ushahidi umeyatoa wapi hayo mafundisho yako kama Muislam?
Simba.
Punguza jazaba, elimu haitaki hivyo.

Mimi nani hata niseme hivyo wakati mwenyewe Muumba wetu hajasema kwenye Qur'an yake?

Wewe unaesema adam ni mtu wa kwanza ndio utupe ushahidi umeyatoa wapi hayo mafundisho yako kama Muislam?
Simba.
Ww ndoulete ushahidi kwamba Adam sio binadamu wakwanza leta ushahidi na utuambie binadamu wakwanza ni Nan na ushahidi umeutoa wap


Acha janja janja jibu hoja
 
Le
Punguza jazaba, elimu haitaki hivyo.

Mimi nani hata niseme hivyo wakati mwenyewe Muumba wetu hajasema kwenye Qur'an yake?

Wewe unaesema adam ni mtu wa kwanza ndio utupe ushahidi umeyatoa wapi hayo mafundisho yako kama Muislam?
Simba.te
10 mpoka 20. Hazizidi hapo. Hazikutafsiri Qur'an ni baadhi ya aya tu, hazizidi hayo, tena hizo ni kwa mujibu wa wana historia ya Kiislam. Sio kwa mujibu wa Mwenyezi Mungu.

Kuna elimu kubwa sana hapo kwa mwenye uelewa.
Simba
Zilete hzo hadithi,,,,,ukishazileta ndotukuulize maswali ww hujui vingi bado
 
Punguza jazaba, elimu haitaki hivyo.

Mimi nani hata niseme hivyo wakati mwenyewe Muumba wetu hajasema kwenye Qur'an yake?

Wewe unaesema adam ni mtu wa kwanza ndio utupe ushahidi umeyatoa wapi hayo mafundisho yako kama Muislam?
Simba

kisema Adam sio binadamu wa mwanzo tuambie ww Nan binadamu wamwanzo na ushahidi unautoa wap usituulize sisi?

Punguza jazaba, elimu haitaki hivyo.

Mimi nani hata niseme hivyo wakati mwenyewe Muumba wetu hajasema kwenye Qur'an yake?

Wewe unaesema adam ni mtu wa kwanza ndio utupe ushahidi umeyatoa wapi hayo mafundisho yako kama Muislam?
Simba.
Tuambie yupi binadamu wa mwanzo na ushahidi ulete usirukeruke toa elimu ww si unaarsis anaelimu Pana toa elimu
 
10 mpoka 20. Hazizidi hapo. Hazikutafsiri Qur'an ni baadhi ya aya tu, hazizidi hayo, tena hizo ni kwa mujibu wa wana historia ya Kiislam. Sio kwa mujibu wa Mwenyezi Mungu.

Kuna elimu kubwa sana hapo kwa mwenye uelewa.
Simba
Zilete hzo hadithi tukuonyeshe ulivokuwa elimu huna wakat
 
Qur'an iliandikwa ndugu @Dr Matola, lakini Mtume S.A.W aliwaambia maswahaba zake wakisome kile walichokiandika. Ilipofika Khilafa ya Uthman ndio Qur'an ilikusanywa kwa pamoja.

Unaikosea historia ya Qur'an, rejea tena rjea zako.

Qur'an kamili tayari ilikua mioyoni mwa waliohifadhi, ile ya maandishi kwenye ngozi, mifupa, na vinginevyo. Ndio kwa mara ya kwanza zilikusanywa na kufanywa kitabu kimoja na Abubakar Siddiq. Uthman alifanya kazi nyingine kabisa kwenye Qur'an.
Rejea historia ya Qur'an.
Simba.
 
Zilete hzo hadithi zako ulizozichagua haf tukuulize maswali huwezi kuchomoka
Hakuna hadithi nilioichagua, mimi nnimekupa elimu kwa mujibu wa ilivyo, wewe kama unazo zaidi, zilete. Usiwe na haraka, pitia rejea zako.

Usitafute pa kuchomokea, sema Adam mmesoma wa[pi kua ni mtu wa kwanza kuumbwa?
Hawa mmetoa wapi Waislam?

Au wewe huamini kua Qur'an haijasema kua adam ni mtu wa kwanza na kua Hawa hayumo kwenye Qur'an?
Simba.
 
Tupe sadak binadamu wa mwanzo ni Nan na ushahidi umeutoa wap?
Allah hajamtaja kwenye Qur'an, nikupe ushahidi hewa? Kama kamtaja mimi sijaiona hio aya, nipe elimu. Kama na wewe hujaiona ni bitra ukiri kua haipo, ili tukupe elimu, adam wa kwenye Qur'an ni kina nani, kwa maana si mmoja.
Simba.
 
Tuambie yupi binadamu wa mwanzo na ushahidi ulete usirukeruke toa elimu ww si unaarsis anaelimu Pana toa elimu
Kama Allah hajamtaja hata Arsis hatoweza kumtaja. Au huelewi kua Arsis ni mtu au jini kama wewe tu?
Simba.
 
Allah hajamtaja kwenye Qur'an, nikupe ushahidi hewa? Kama kamtaja mimi sijaiona hio aya, nipe elimu. Kama na wewe hujaiona ni bitra ukiri kua haipo, ili tukupe elimu, adam wa kwenye Qur'an ni kina nani, kwa maana si mmoja.
Simba.
Hahahaha toa asa ata ushahidi kwamba walikuwepo binadamu wengine kabla ya Adam hahahaha hii janja janja hahahahaha
 
Tukuulize ww kuswali umejifunzia wap kama sio kupitia hadithi,,,,kuhiji umejifunzia wap kupitia hadithi au Quran imekufundisha namna ya kuswali kama sio hadithi za mtume acha kuwapotosha watu
Nimejifunza kupitia Qur'an na Masheikh wanaoisomesha Qur'an.
 
Si jnukuu mimi si hadithi tu? Kwani huelewi kua hadithi bora ni zilizomo kwenye Qur'an? Kwa mujibu wa Qur'an.
Simba.
Kama hadithi Bora zilizomo kwenye Quran kana kwamba unazipuuza hadithi,, ntakuuliza swali je Quran imekufundisha kwamba adhuhuri utaswali rakaa nne? Umejifunzia wap Hilo kwamba adhuhuri utaswali rakaa 4?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom