Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Sema Ufundishwe, na Huyo Arsis tumfundishe pia.
Ama HADITHI yako ya Alfu ulela ulela nzuri sana.
Ila hupaswi kuzungumza mambo usiyokuwa na elimu nayo.
 
Quran haikuanfikwa wakati wa mtume, na mtume mwenyewe hakujuwa kusoma wala kuandika.

Quran imeandikwa miaka kadhaa mbele baada ya mtume kufariki.
Point yako ni nini boss

Kwamba kwakuwa hakujua kusoma ndio hakusoma qur'an au?

Qur'an imefanywa wepesi kukaririka ndio maana imehifadhiwa moyoni,kwahiyo qur'an iko vifuani mwa waislamu,kwahiyo Mtume alisoma kile ambacho alikihifadhi moyoni,au umekremu kusoma ni.kwenye makaratasi tu?
 
Point yako ni nini boss

Kwamba kwakuwa hakujua kusoma ndio hakusoma qur'an au?

Qur'an imefanywa wepesi kukaririka ndio maana imehifadhiwa moyoni,kwahiyo qur'an iko vifuani mwa waislamu,kwahiyo Mtume alisoma kile ambacho alikihifadhi moyoni,au umekremu kusoma ni.kwenye makaratasi tu?
Hivi wewe unajielewa kweli? mtu asiyejuwa kusoma anasoma vipi?

Kipindi cha mtu Quran haikuwa imeandikwa Quran imeandikwa miaka mingi baada ya kifo cha mtume, hapa nini usichoelewa?
 
Hivi wewe unajielewa kweli? mtu asiyejuwa kusoma anasoma vipi?

Kipindi cha mtu Quran haikuwa imeandikwa Quran imeandikwa miaka mingi baada ya kifo cha mtume, hapa nini usichoelewa?
Qur'an iliandikwa ndugu @Dr Matola, lakini Mtume S.A.W aliwaambia maswahaba zake wakisome kile walichokiandika. Ilipofika Khilafa ya Uthman ndio Qur'an ilikusanywa kwa pamoja.
 
Arsis; Swali zuri sana.

Wanatumia bila kujijua, wamekua "brain washed" na hawaelewi tofauti, kwa sababu wanafata tafsiri. Hivi visa na mafundisho ya biblia yaliingizwa miaka mingi sana kwenye tafsiri za Wur'an sio Qur'an yenyewe. Ilianza baada ya kufa Mtume Muhammad.

Mtume, hakuitafsiri Qur'an, wanamzushia eti katafsiri. Mtume hakuna aya zaidi ya 10 au ishirini ndizo alielezea maana yake. Tafsiri zingine zote ni za kutunga au kugtokea biblia au fantasy za waandishi wa tafsiri, kama alfu lela u lela tu.

Mkiependa kujua zaidi kuhusu historia ya hadithi na kuna majina makubwa ya watu wa hadithi kwenye vitabu vyao wanakiri kuna visa wamevielezea kutokana na biblia, hii ni kwa kutokujua ubora na umuhimu wa Qur'an au kwa kudhani watu wataelewa zaidi wakifanya hivyo. Na wengine ni kwa makusudi kabisa ili wapotoshe ubora wa Qur'an.

Pia mkipenda kujua zaidi elimu ya Qur'an bila kutumia hadithi za kujitungia, ulizeni maswali kama hili, yenye nguvu. Kuna njia nyepesi za kila mmoja wetu kuweza kutambua hii hadithi ya kwe;i au sio hya kweli.

Kama mnakumbuka kuna mtu kaleya mstari juu huko, kaupamba kwa Kiarabu nikamuuliza aya ipi hii? Akajibu hadithi, nikamwabia hadithi ipi hio? Hajajibu tena, sasa ananisoma kwa kunusa nusa tu. Namwambia usofanye hivyo, sio elimu hio. Kama yalikua ni maneno ya mshairi sema tu ni mshairi, kama hujui yametoka wapi na uliyasikia tu, sema hayo nilisikia tu lakini sina elimu nayo yametoka wapi.

Tuytumie hili jukwa kujua mengi sana. Ya dini, ya sayansi, ya ulimwengu. Ya dhahiri na siri za kidunia. Tusowe na jazba kama hatujui kitu au tunas shaka nacho, sisi hatuwezi kujua kila kitu, isipokua tunasema umri huongeza maarifa na busra, nadio elimu yenyewe hio.

Hakuna zaidi ya Allah na mafundisho yake.
Arsis.
Mche Allah na Tambua kuwa utahukimiwa kwa ulichokiandika, HADITHI za Bw. Mtume ziko zaidi ya Laki 6, yote ni Maneno yake ikiwekwa katika isnad ya wapokezi, Aya ipi ya Qur'an ambayo Mtume hakuifundisha?
HADITHI zikapangwa kwa madaraja, Sahihi, Hasan, Dhaif, na HADITHI Maudhui. Zote hizi kuondoa aina ya majitu kama ninyi, Leo unasemaje Kuna Aya za Qur'an Mtume hakuzitafsiri? Haya mananeo umeyatoa wapi haya?
Wacha kujiandikia vitu usivyovijua wewe Mwongo. Na followers zisikufanye kuingia katika kufru. Haikusaidii chochote ukiandika kwa matamanio yako isipokuwa utaulizwa na adhabu Kali itawashukia watu wa aina hiyo isipokuwa wakitubia.
 
Niliyetoa hadithi ni mimi.
Kuna kitu tunatofautiana ili kuendena na mjadala vizuri, Nimeona watu wengi wanajaribu kukujibu kwa maandiko lakini wewe haujibu kwa maandiko hii imekaaje?
Sisi wengine hatutaki hadithi zisizokuwa na ushahidi unasema mara nyingi quran ni kitabu bora sana ila cha ajabu kwenye ujibuji wako wa maswali huweki reference yeyote ya quran au hadithi sasa tutakuamini vipi? Alafu sisi tukijitahidi kuweka wewe unakuja kupinga tu bila kutoa alternative hii sio kanuni ya kielimu.
Elimu ina misingi yake na moja wa msingi wa elimu Ni logic & evidence .
Nilikuuliza swali kuwa umesema adamu wapo wengi sasa kama wapo wengi maana yake adamu yeyote kati ya hao wengi akiwa ndio wa kwanza kuumbwa bado haiondoi ukweli kuwa Adam Ni binadamu wa kwanza maana wote wanaitwa Adam.? Hapo vipi?
Vinginevyo onesha katika quran kama adamu sio binadamu wa kwanza na useme wa kwanza ni nani? Katajwa wapi? Jina lake nani? Limetajwa wapi?
Huyu anaweza kufanya Kufru, tumuusie huenda kawehuka. Kawa Hajielewi. Afanyiwe Ruqya huyu, au apelekwe Mirembe.
 
Iliandikwa na nani?
Naam Mtume S.A.W aliwateua kundi maalumu la waandishi wa Qur'an nao ni Abdullah Bin Amr Ibn Al As, Muawiyah Ibn Abi Sufyan, Zayd Ibn Thabit na Wengineo.
Inepokewa kutoka kwa Umar R.A kuwa Qur'an ilipokewa/kufundishwa katika Lahaja Sita. (Muslim 818)
 
Hivi mtume ana uhakika GANI kuwa yale aliyoyasema ndio yaliyoandikwa ikiwa yeye alikuwa hajui kusoma??
Ukute watu walimuingiza chaka kwahyo kitabu chote ni uongo
Naam Swali zuri, hakukuwa na mtu mmoja aliekiandika kitabu hicho, pia wengine walikihifadhi kwa moyo mioyo Yao.
Na pia ipo ahadi yake Mungu juu ya kukilinda kitabu chake baada ya kwisha kubadilishwa vitabu hapo nyuma, hivyo mambo aliyasimamia yeye mwenyewe Mtume. Na wote katika maswahaba wake ni watu waaminifu mno.
 
Point yako ni nini boss

Kwamba kwakuwa hakujua kusoma ndio hakusoma qur'an au?

Qur'an imefanywa wepesi kukaririka ndio maana imehifadhiwa moyoni,kwahiyo qur'an iko vifuani mwa waislamu,kwahiyo Mtume alisoma kile ambacho alikihifadhi moyoni,au umekremu kusoma ni.kwenye makaratasi tu?
Kwa lugha nyepesi alikaririshwa sio? Kwa kuwa hakujua kusoma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom