Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Hehehe unachekesha sana Sasa unataka kubishana hata hati ya kiarabu huandiki, utaelewa mafhum ya HADITHI?
Inaposemwa Imepokewa kutoka kwa Fulani (rawi wa hadithi), ikapokewa kwa Fulani Amesema Abuu Hurairah Amesema Mtume S.A.W maana yake Unaelewa?
Mtiririko huu kitaalamu unaitwa Isnad, yote kuondoa UCHAFU wa kuzushwa kwa HADITHI mpya.
Muhdditheen (wataalamu wa elimu hii wako wengi) wanaogawa hadithi katika madaraja manne. HADITHI ziko katika madaraja manne
1. Sahihi- isnad yake ni ya nguvu sana na imepokelewa kutoka kwa Mtume S.A.W
2. Hasan, 3. Dhaifu 4. Maudhui.
Hebu niambie ni profesa Gani kakufundisha uongo huyo nipate kumraddi katika publishings zake na awe Discredited?
Kwenye hili Huna ujualo PhD. Tulia.
Wewe ndio hujui ulichokiandika na kama hujui omba kuelimishwa kuliko kujifanya mjuwaji.

Hadithi si maneno yote ya mtume, hadithi ni kitabu kilichofanyiwa research kwa sababu kwenye Quran hakuna biography ya mtume ndio sababu ya kuandikwa vitabu vya sunna vya hadithi na Sila na waandishi wake waliviandika mtume akiwa ameshafariki.

Labda ili uelewe vizuri ni kama unavyoona injili ya Luka kwenye biblia aliandika maisha ya Yesu kwa kuwahoji watu waliokuwepo wakati wa Yesu, au kama unavyoona Absalom Kibanda anaandika kitabu cha maisha ya Lowasa atawahoji watu wote wa karibu akiwemo JK, sasa simple logic huwezi kudanganya umma eti kuandika kitabu cha mtu aliyekufa eti yote ni maneno yake si kweli acha kudanganya watu.

Hivi vitu tunafundishwa na maprofesa waliobobea na tunasoma vitabu sasa wacha mbambamba.
Kama hii ni PhD tumekwisha, hebu chutama.
Halafu twende kwa hoja Mimi nakuwekea HADITHI na ayats,
Matola, Mambo matatu ndio governing engine ya Uislamu.
1. Qur'an
2. Hadithi An nabawi
3. Ijmai ya Maulamaa katika Ijtihaad zao.
 
Kama hii ni PhD tumekwisha, hebu chutama.
Halafu twende kwa hoja Mimi nakuwekea HADITHI na ayats,
Matola, Mambo matatu ndio governing engine ya Uislamu.
1. Qur'an
2. Hadithi An nabawi
3. Ijmai ya Maulamaa katika Ijtihaad zao.
Hivi Unaelewa maana Amesema Mtume wa Allah Rehma na Amani ziwe juu yake kuwa Swalini kama mulivyoniona Mimi nikiswali.
صلوى كما رأيتموني أصلي.
Haya ni Maneno ya Mtume.
Jua kutofautisha kati ya HADITHI na Sira.
HADITHI ni Maneno au vitendo vya Mtume wakati wa uhai wake.
Sira, maisha yake Mtume kwa ujumla kuanzia kuzaliwa kwake (ukoo wake ambao ni zao la Ismail), kukua kwake hadi kufariki kwake. Jifunze tofauti ya hivi vitu viwili.
Halafu hakuna mwislamu anaekaririshwa kadri mtu anavyoingia ndani katika elimu ndivyo anavyojua fani Mbali Mbali zote kumuwezesha kuijua dini.
 
Hadithi zimepokolewa kutoka kwa mtume lini?

Waislamu wengi wanakariri Quran tu madrasat bila kusoma Islamic knoledge na historia ya Uislamu, tatizo lake ndio hili hata uelimishwe vipi huwezi kuelewa.

Tena mbaya zaidi waislamu wamejikita kusoma Biblia wakati Quran yenyewe wengi hamuijui wala hata hadithi hujui ni kitu gani wala hujui kwa nini viliandikwa vitabu vya hadithi.
Hahaha Aisee, nilitaka kukuita Stupid lakini acha kwanza.
Matola elimu ni bahari lakini kamwe usipinge vitu usivyovijua.
 
Hivi Unaelewa maana Amesema Mtume wa Allah Rehma na Amani ziwe juu yake kuwa Swalini kama mulivyoniona Mimi nikiswali.
صلوى كما رأيتموني أصلي.
Haya ni Maneno ya Mtume.
Jua kutofautisha kati ya HADITHI na Sira.
HADITHI ni Maneno au vitendo vya Mtume wakati wa uhai wake.
Sira, maisha yake Mtume kwa ujumla kuanzia kuzaliwa kwake (ukoo wake ambao ni zao la Ismail), kukua kwake hadi kufariki kwake. Jifunze tofauti ya hivi vitu viwili.
Halafu hakuna mwislamu anaekaririshwa kadri mtu anavyoingia ndani katika elimu ndivyo anavyojua fani Mbali Mbali zote kumuwezesha kuijua dini.
Labda wewe anaweza kukuelewa, nimejaribu kumuelewesha haelewi kitu na wala hajui madhuni ya kuandikwa hivyo vitabu vya hadithi na Sira ni nini.

Nimempa mpaka mfano wa injili ya Luka ameandika maisha ya Yesu wa kuwahoji watu walioishi na Yesu ili anielewe lakini amekaza fuvu tu.
 
Unatoaje hukumu kirahisi namna hii?

Imeandikwa wapi hii?


Ni wapi imeandikwa hivi?

Maandiko si yanasema hukumu ya mtu ni kati ya mtu na Mungu wake?


Okay

Sawa, ni ipi nafasi ya wazazi katika maamuzi yangu juu ya hili katika jambo ambalo nimewarithi wao?

Kwa mujibu wa maandiko Kama yapo.
Boss

Uislamu una nguzo tano ambazo ndio zinaufanya uislamu katika jengo madhubuti

Nguzo ya kwanza ni shahada nayo ni kukiri kwamba hapana mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allah na Mtume ni mjumbe wake

Hapo ndio umeingia katika uislamu rasmi,sasa ibada zote zitakubaliwa iwapo umekidhi vigezo hivi,,mfano mdogo tu ili uwe dereva si itabidi uwe na leseni ndio utatambuliwa kama dereva au sio,kwahiyo ili uwe muislamu basi uikubali hii imani kwa kutoa shahada,,sasa kama hujakubali uislamu je ibada yako itakuwa na maana gani?

Pili wazazi wako hawana mamlaka juu ya nini wewe unataka kuamini kisheria,maadam ni mtu mzima unajielewa hilo ni jukumu lako,ni kabila peke yake na wazazi ndio huwezi kuwabadilisha
 
Labda wewe anaweza kukuelewa, nimejaribu kumuelewesha haelewi kitu na wala hajui madhuni ya kuandikwa hivyo vitabu vya hadithi na Sira ni nini.

Nimempa mpaka mfano wa injili ya Luka ameandika maisha ya Yesu wa kuwahoji watu walioishi na Yesu ili anielewe lakini amekaza fuvu tu.
Kwa hiyo HADITHI ni Biography si ndio?
Yaweza kuwa na ukweli kiasi chake lakini Professor atakaekufundisha hivi (Professor Post September 11) labda awe ni katika watu wajuzi (Maulamaa).
Vingi unashindwa kuelewa Lakini HADITHI ni Kauli, au matendo ya Mtume S.A.W na Waliomuona Mtume walikuwa ni maswahaba nao walieleza yote ambayo aliyafanya S.A.W nitafute inbox na nitakupa darasa huru, lisilo na mabadiliko ya kiitikadi, wewe ni Dr. Unaelewa ninachokiandika in between the lines.
 
"وَإِذْ قَالَ رَبُّكَ لِلْمَلَائِكَةِ إِنِّي جَاعِلٌ فِي الْأَرْضِ خَلِيفَةً" {البقرة:30}
الله بيده، ونفخ فيك من روحه، وأمر الملائكة، فسجدوا لك، وأسكنك الجنة، ألا تشفع لنا؟
Hapa sina haja hata ya kumwita Arsis kujibu, u mwepesi sana. tatizo lako moja u mvivu wa kusoma, hupitii uzi. nakushauri usome some uzi kwanza.
Unachamnganya maneno yako na aya, ingawa huweki vizuri reference, lakini haijalishi kitu.. Tutakuweka sawa kwa kuchambua mojamoja, tuanze na hio ambayoi ni Baqara 2:30 tena umeikatiza hukuiweka kamili. Hayo nilioweka rangi nyekundu sio maneno ya hio aya. Usipotshe watu.

Ki[pande chako hicho wapi hapo kinapoonesha Adam ni mtu wa kwanza? Kwa kukufahamisha tu, mwenzako hio aya juu huko, kaleta aya kamili tukamuuliza, wapi hapo kuna Adam kua ni mtu wa kwanza?

Ukijibu hilo nitaingia nikusambatratishe ya chini ya hapo, usiwe na haraka, kidogodo ndio mwendo.

Hiyo aya ya Qur'an 2:30 kamili ni hii hapo chini, na tafsiri yake kwa mujibu wa Sheikh Muhsin Barwan, sio mimi:
2_30.gif

30. Na pale Mola wako Mlezi alipo waambia Malaika:Mimi nitamweka katika ardhi Khalifa (mfwatizi), wakasema: Utaweka humoatakaye fanya uharibifu humo na kumwaga damu, hali sisi tunakutakasa kwasifa zako na tunakutaja kwa utakatifu wako? Akasema: Hakika Mimi nayajuamsiyo yajua.30

kwanini uliikatiza aya, kwa ajili ya kupotosha, au vipi?
Simba.
 
Hivi wewe unajielewa kweli? mtu asiyejuwa kusoma anasoma vipi?

Kipindi cha mtu Quran haikuwa imeandikwa Quran imeandikwa miaka mingi baada ya kifo cha mtume, hapa nini usichoelewa?
Wewe doktori wa wapi usiyeelewa lkn,,je qur'an kwa mara ya kwanza ilishushwa kwa nani?
Tuanzie hapa kwanza?

Au kwa kukusaidia zaidi maana mnajiita madoktori kumbe hamna kitu,,qur'an iko mfano wa mashairi ambayo yanakaririka kwa wepesi sana,,sasa tuje kwenye wimbo wa taifa kwa mfano,je wakati tunajifunza huo wimbo na mashairi yake tuliandikiwa ubaoni au tulikaririshwa tu,haya baada ya kuukariri nikikwambia tusomee huo wimbo je utashindwa kuuimba au kutamka mashairi yake.

Kama hujaelewa hapa karudishe hiyo shahada ya udoktori kwa chuo husika coz haustahili kuwa nayo
 
Huyu Arsis ni nani...🤔 (Najiuliza sana hiki kitu sipati jibu)
Maana kuna kitu anaficha ambacho hata huyu mleta mada hakifaham!!!
Ni Kweli sikatai Arsis anaelim kubwa ndio, anajua mengi ndio,,,, ila Kuna kitu anaficha kuhusu yeye!!!

Pia ni kama vile anaasili mbili,,,, mwanzo wake haukuwa mzuri, huenda hakuwa mchamungu hapo kabla🤔
Ila anamfaham Allah kwa uharisia mkubwa kuliko sisi 🤝
Hii elim yake kaitoa wapi🤔🤔🤔🤔🤔

Kwasababu kwa daraj yake hii alipaswa kuwa mchamungu level ya kimalaika......... Ila mbona yeye hayupo hvyo🤔

(Kwasababu elim ili iwe na manufaa kwa mtu, lazima ujue chimbuko lake ni wapi...... Sasa Arsis ni kweli elim yake ni nzuri na kubwa lakini chimbuko lake lisipotambulika elim yake inakuwa sio salama hata kidogo🤔🤔🤔🤔🤔

Maana Ibiris pia anaelim tena kubwa sana.... (Najaribu tu kuwaza
 
Huyu Arsis ni nani...🤔 (Najiuliza sana hiki kitu sipati jibu)
Maana kuna kitu anaficha ambacho hata huyu mleta mada hakifaham!!!
Ni Kweli sikatai Arsis anaelim kubwa ndio, anajua mengi ndio,,,, ila Kuna kitu anaficha kuhusu yeye!!!

Pia ni kama vile anaasili mbili,,,, mwanzo wake haukuwa mzuri, huenda hakuwa mchamungu hapo kabla🤔
Ila anamfaham Allah kwa uharisia mkubwa kuliko sisi 🤝
Hii elim yake kaitoa wapi🤔🤔🤔🤔🤔

Kwasababu kwa daraj yake hii alipaswa kuwa mchamungu level ya kimalaika......... Ila mbona yeye hayupo hvyo🤔

(Kwasababu elim ili iwe na manufaa kwa mtu, lazima ujue chimbuko lake ni wapi...... Sasa Arsis ni kweli elim yake ni nzuri na kubwa lakini chimbuko lake lisipotambulika elim yake inakuwa sio salama hata kidogo🤔🤔🤔🤔🤔

Maana Ibiris pia anaelim tena kubwa sana.... (Najaribu tu kuwaza
Umewaza vizur sana,,huyu asifanywe kuwa ni nabii wa Mungu mkaweka imani ya anacho kisema kuwa ndio sahihi

Tuendelee kujifunza
 
" إِذْ قَالَ رَبُّكَ لِلْمَلَائِكَةِ إِنِّي خَالِقٌ بَشَرًا مِنْ طِينٍ" {ص:711}. Aya zote hizi zimemuelekea Adam A.S
Haya basi Allah akisema ENYI Wana Wa Adطِينٍ" {ص:71am (Qur'an 7:27) una linguine la kubisha ewe Jaahil?
Nakuchambua tena kama karanga. Maana unachanganya sana, nakushauri weka aya au hadithi zako moja moja tu, usiwe na haraka.

Hio { ص:711
Ina maana gani? Sijaiona hio kwenye Qur'an.

Zingine hapo sikuelewi kabisa. Njoo na aya moja moja, usijichanganye.

upo kwenye kupeana elimu, usiwe na haraka.
Simba.
 
Huyu Arsis ni nani...🤔 (Najiuliza sana hiki kitu sipati jibu)
Maana kuna kitu anaficha ambacho hata huyu mleta mada hakifaham!!!
Ni Kweli sikatai Arsis anaelim kubwa ndio, anajua mengi ndio,,,, ila Kuna kitu anaficha kuhusu yeye!!!

Pia ni kama vile anaasili mbili,,,, mwanzo wake haukuwa mzuri, huenda hakuwa mchamungu hapo kabla🤔
Ila anamfaham Allah kwa uharisia mkubwa kuliko sisi 🤝
Hii elim yake kaitoa wapi🤔🤔🤔🤔🤔

Kwasababu kwa daraj yake hii alipaswa kuwa mchamungu level ya kimalaika......... Ila mbona yeye hayupo hvyo🤔

(Kwasababu elim ili iwe na manufaa kwa mtu, lazima ujue chimbuko lake ni wapi...... Sasa Arsis ni kweli elim yake ni nzuri na kubwa lakini chimbuko lake lisipotambulika elim yake inakuwa sio salama hata kidogo🤔🤔🤔🤔🤔

Maana Ibiris pia anaelim tena kubwa sana.... (Najaribu tu kuwaza
Umewaza vizur sana,,huyu asifanywe kuwa ni nabii wa Mungu mkaweka imani ya anacho kisema kuwa ndio sahihi

Tuendelee kujifu
Huu upuuzi bado unaendelea
Poleni sana
Unajua hata kichaa katika maneno mia hukosi kumi mazuri,,,kwahiyo watch and learn
 
Umewaza vizur sana,,huyu asifanywe kuwa ni nabii wa Mungu mkaweka imani ya anacho kisema kuwa ndio sahihi

Tuendelee kujifunza
Arsis sio Nabii wala sio mtume. Unaifahamu tofauti ya Nabii na Rasul?
Simba.
 
Huyu Arsis ni nani...🤔 (Najiuliza sana hiki kitu sipati jibu)
Maana kuna kitu anaficha ambacho hata huyu mleta mada hakifaham!!!
Ni Kweli sikatai Arsis anaelim kubwa ndio, anajua mengi ndio,,,, ila Kuna kitu anaficha kuhusu yeye!!!

Pia ni kama vile anaasili mbili,,,, mwanzo wake haukuwa mzuri, huenda hakuwa mchamungu hapo kabla🤔
Ila anamfaham Allah kwa uharisia mkubwa kuliko sisi 🤝
Hii elim yake kaitoa wapi🤔🤔🤔🤔🤔

Kwasababu kwa daraj yake hii alipaswa kuwa mchamungu level ya kimalaika......... Ila mbona yeye hayupo hvyo🤔

(Kwasababu elim ili iwe na manufaa kwa mtu, lazima ujue chimbuko lake ni wapi...... Sasa Arsis ni kweli elim yake ni nzuri na kubwa lakini chimbuko lake lisipotambulika elim yake inakuwa sio salama hata kidogo🤔🤔🤔🤔🤔

Maana Ibiris pia anaelim tena kubwa sana.... (Najaribu tu kuwaza
Arsis ni mtu kama wewe au kwa maana ya kutokujuana na kutokuonana hapa JF anakua ni jini kama wewe.

Ni chochote apendacho kua anakua kwa mujibu wake. lakini sio iblisi wala shetani, yeye anapigana na mashetani na yupo hapa kutoa elimu watu waelewe wanachokisoma na kukiongea.
Simba.
 
Arsis ni mtu kama au kwa maana yakutokujuan hapa wala kuonana hapa JGF ni jini kama wewe.

Ni chochote apendacho kua anakua kwa mujibu wake. lakini sio iblisi wala shetani, yeye anapigana na mashetani na yupo hapa kutoa elimu watu waelewe wanachokisoma na kukiongea.
Simba.
Tukuulize ww kuswali umejifunzia wap kama sio kupitia hadithi,,,,kuhiji umejifunzia wap kupitia hadithi au Quran imekufundisha namna ya kuswali kama sio hadithi za mtume acha kuwapotosha watu
 
Arsis ni mtu kama wewe au kwa maana ya kutokujuana na kutokuonana hapa JF anakua ni jini kama wewe.

Ni chochote apendacho kua anakua kwa mujibu wake. lakini sio iblisi wala shetani, yeye anapigana na mashetani na yupo hapa kutoa elimu watu waelewe wanachokisoma na kukiongea.
Simba.
Ww umetuambia Adam sio binadamu wakwanza tuambie binadamu wakwanza alikuwa Nan na utoe uthibisho kwakupitia Quran au hadithi za mtume usirukeruke
 
Umewaza vizur sana,,huyu asifanywe kuwa ni nabii wa Mungu mkaweka imani ya anacho kisema kuwa ndio sahihi

Tuendelee kujifu

Unajua hata kichaa katika maneno mia hukosi kumi mazuri,,,kwahiyo watch and learn
Ichaa ni maradhi kama mardhi mengine yoyote haimaanisha kua kichaa hana akili.

Hata mitume waliambiwa vichaa kwa wale ambao hawakutaka kuwaelewa.
Simba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom