Lidafo
JF-Expert Member
- Sep 26, 2019
- 981
- 2,252
Mimi nipo kwenye Adamu kwanza vipi niende kwa Hawa aliyakuwa hatujahitimisha kuhusu Adam, Twende taratibu tummalize Adam.Arsis; Hio ndio dalil yako kua Adam ndio mtu wa kwanza? Umeitumia wapi hio akili yako ukapata jibu hilo? Au umebuni wewe kwa akili yako na hauna dalil?
Kumbuka na kuna swali la Hawa umemtoa wapi, au wewe haupo kwenye Hawa? Upo kwenye Adam tu?
Maeleo yako ya "kibubusa" ni porojo zako tu, hayapo kielimu. Unaanza kuleta jazba, kwenye elimu.
Arsis.
Kama maelezeo yangu ni ya kibubusa basi nataraji unifafanulie tena kwa ushahidi maana umesema waislamu sisi ni the most bogus hatuielwei qur an sasa nina maswali kwako
1. Nii aya gani hatuielwei na kivipi? fafanua.
2. Nimetoa aya baqarah 2:30 Unasema maelezo yangu ni yakibubusa lakini mimi nimetumia quran basi naomaba aya inayosema adam sio mtu wa kwanza katika quran.
3.Mimi siwezi leta jazba katika ilmu ndio maana nipo hapa hakuna mahali nimetumia lugha mbaya nadhani katika quote zote nilizo ku-quote,Asante.