TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,763
- 4,046
Sawa mkuu nakubaliana na wewe kwamba mtu mwenye miaka 22 anaweza akawa na busara kuliko mtu mzima,lakini kwenye hoja yangu ya msingi nilijikita kwenye tabia za rika.Napenda nikuakikishie huyu jamaa ana miaka 51,taarifa hizi nilizipata kwenye CV yake iliyowekwa wazi wakati anagombea ujumbe wa kamati ya wazazi.Kwa kifupi huyu jamaa ni mzee ingawa anajifanya kijana!hapa umewatukana baadhi ya vijana, wife wangu ana miaka 20 lakini busara zake na anavyo'behave ni sawa na mtu aliyeishi miaka 50. still bado nataka mtu wa kuniaminisha kweli km le mutuz ana 50......loh!