Niligombea NEC Na Nimeshindwa Kihalali - Le Mutuz!

Niligombea NEC Na Nimeshindwa Kihalali - Le Mutuz!

Status
Not open for further replies.
Joined
Apr 27, 2006
Posts
26,584
Reaction score
10,466
- Kamati Kuu ya CCM ilinipitisha kugombea NEC Viti 10 Bara, uchaguzi ulifanyika juzi Kizota Dodoma kura zangu hazikutosha, na nimeridhika sana na matokeo: Uchaguzi ulifanyika kihalali na haki na ninakubali kushindwa nitajipanga upya na kujikita tena next time zikitokea nafasi zingine za Chama changu CCM, chama Dume!!

- I am proud na kushika nafasi ya 12, kati ya wagombea 31 ambao wote wengine ni wazoefu wa muda mrefu sana ndani ya CCM, kulinganisha na mimi niliyerudi Bongo Miezi 10 iliyopita, baada ya kuishi Miaka 30 Ulaya na USA, so leo kugombea na miamba hii ya CCM na kushika nafasi ya 12, na kuwapiga wengine 19 it is great honor to me I mean A Luta Continua yaani Mapambano Bado kabisaa yanaendelea, next time tutapigana mpaka kura zitoshe.

- Again, ninakishukuru Chama changu CCM kwa kutoa nafasi kwa kila mwananchi kushiriki kikamilifu bila kubagua wala kuonea, na pia ninawashukuru CCM-WAZAZI kwa kunichagua kuwa Mjumbe wa Baraza Kuu la Taifa na pia kuiwakilisha kwenye Baraza Kuu la UV-CCM Taifa, na kesho kitakuwa ni kikao changu cha pili katika Baraza hapa Dodoma, I am grateful for that!!

- Ndugu zangu milioko nje rudini tujenge taifa letu, hakuna wa kutujengea huku tuje wenyewe, na pia tuchukue fomu za uongozi tujikite huko ndani kuleta mabadiliko badala ya kukaa kulia lia tu bila sababu na huku ni watuwazima na tuna akili timamu, tukazane tuingie wenyewe! KURUDI HOME SIO A DEATH SENTENCE!! HA! HA! HA! HA! HA!


RESPECT MUCH PEOPLE!!


LE MUTUZ - (KING OF ALL SOCIAL NETWORK MEDIA) & MJUMBE BARAZA KUU LA WAZAZI-CCM TAIFA & BARAZA KUU UVCCM TAIFA!!
 
Pole sana mkuu,kwa kusema kweli umejitahidi sana kupambana,lakini ukweli unabaki pale pale kuwa umeshindwa.ushauri wangu kwako ni kuendelea na mapambano bila kuchoka na ifike mahali watoto wa viongozi wa zamani mfahamu kuwa siasa ya Tanzania imebadilika,hivyo majina ya baba na mama zenu hayatowasaidia tena.
 
ingekuwa Busara pia ungeweka na mapungufu yako yaliyokufanya ushindwe kuingia katika hizo kumi bora
 
- I am proud na kushika nafasi ya 12, kati ya wagombea 31 ambao wote wengine ni wazoefu wa muda mrefu sana ndani ya CCM, kulinganisha na mimi niliyerudi Bongo Miezi 10 iliyopita, baada ya kuishi Miaka 30 Ulaya na USA, so leo kugombea na miamba hii ya CCM na kushika nafasi ya 12, na kuwapiga wengine 19 it is great honor to me I mean A Luta Continua yaani Mapambano Bado kabisaa yanaendelea, next time tutapigana mpaka kura zitoshe.
Hivi umesema umeishi miaka 30 US/Europe? Kama ni kweli, sa ndo kitu gani hichi ulichoki-post hapa pamoja na exposure yote hiyo???
 
Le mutuz Amani kwako kiongozi.Huo ndiyo uungwana ukishindwa unakubali matokeo. Diaspora na blog za wananchi ni mpango mzima!
Ha! Ha! Ha!
 
Pole sana mkuu,kwa kusema kweli umejitahidi sana kupambana,lakini ukweli unabaki pale pale kuwa umeshindwa.ushauri wangu kwako ni kuendelea na mapambano bila kuchoka na ifike mahali watoto wa viongozi wa zamani mfahamu kuwa siasa ya Tanzania imebadilika,hivyo majina ya baba na mama zenu hayatowasaidia tena.

- Ohh yeah nimeshindwa kama Chadema wanavyoshindwa Urais toka ianzishwe mpaka leo, maneno ya baba ni too low of argument ni simply waste of my time hata kujibu!!

Le Mutuz!
 
Kauli na taarifa yako inatoa maswali kadhaa hapa,

1) Ainisha majina ya walioshindwa kwa uonevu?,

2) Ainisha majina ya walioshinda kwa hila?

3) Je ni wewe tu ndie umeshindwa kihalali?

NB
Nilishakushauri japo sina haki ya kukushauri kuwa wewe W. J. Malecela siasa si sehemu yako, baki kuwa shabiki tu!
 
- I am proud na kushika nafasi ya 12, kati ya wagombea 31 ambao wote wengine ni wazoefu wa muda mrefu sana ndani ya CCM, kulinganisha na mimi niliyerudi Bongo Miezi 10 iliyopita, baada ya kuishi Miaka 30 Ulaya na USA, so leo kugombea na miamba hii ya CCM na kushika nafasi ya 12, na kuwapiga wengine 19 it is great honor to me I mean A Luta Continua yaani Mapambano Bado kabisaa yanaendelea, next time tutapigana mpaka kura zitoshe.
Na sis tutarudi bbada ya miaka 30...................!! Nafasi za kurithishwazitakapotokea...........!!
 
ingekuwa Busara pia ungeweka na mapungufu yako yaliyokufanya ushindwe kuingia katika hizo kumi bora

- WEll, nimeshindwa kwa sababu walioshinda ni wazoefu wakubwa zaidi yangu ndani ya chama, wameshinda Viongozi wa Taifa wote 10 naamin inajisema yenyewe ni kwa nini nimeshindwa, tatizo sio kushindwa ila ni ulipoangukia ni wapi!!

Le Mutuz!
 
Kauli na taarifa yako inatoa maswali kadhaa hapa,

1) Ainisha majina ya walioshindwa kwa uonevu?,

2) Ainisha majina ya walioshinda kwa hila?

3) Je ni wewe tu ndie umeshindwa kihalali?

NB
Nilishakushauri japo sina haki ya kukushauri kuwa wewe W. J. Malecela siasa si sehemu yako, baki kuwa shabiki tu!

Siasa inahitaji uchaguzi mzuri wa maneno na utumia wa busara kwa kuwalizisha wengi.
 
pole sana lakini mvumilivu hula mbivu na kwa kuwa huchoki kuwa unajaribu kila election kuna siku utashinda
 
Huna mvuto wa kisiasa wewe, wala kura hazitatosha hata siku moja. Miaka 30 umeipoteza ukiwa nje sasa unarudi "kujenga nchi" uzeeni?

Nchi ambayo wazazi wako na ndugu zako wanazidi kuitafuna? Nenda kijijini ukale pensheni ya uzee wewe. Siasa itakupasua kichwa hicho. Utaendelea kuwa mtu wa "i'll do better next time" kama Arsenal!
 
- Ohh yeah nimeshindwa kama Chadema wanavyoshindwa Urais toka ianzishwe mpaka leo, maneno ya baba ni too low of argument ni simply waste of my time hata kujibu!!

Le Mutuz!

Acha kujibu lakini ukweli unajua,hizi ni nyakati za mapambano.Mkuu acha ujeuri hivi jana la baba yako halina mchango wowote kwako katika siasa za CCM?Wewe kama wewe unamchango gani katika siasa za CCM,mpaka watu wakuchague?
 
Baba yako katoswa vibaya, mama yako katoswa vibaya uwt na wewe umechinjiwa baharini vibaya kila kona,hauoni hata aibu kila sehemu wanakukataa,MBULULA wewe una kazi kweli!

- Chadema wameshindwa kila kona na kuishia kuambulia majimbo 46 tu vipi hamuoni aibu kwamba kila kona wanawakataa, well, kesho ninashikiri kwenye kikao cha Baraza Kuu la Taifa Wazazi-CCM so sijakataliwa kila mahali kama Chadema hawajakataliwa kila mahali! ha1 ha1 ha! ha!

Le MutuZ
 
- Ohh kwa hiyo Chadema wanatakiwa kuanzisha chama kingine baada ya kushindwa urais na ubunge kila wakati? Is that right?

Le Biig Shoow!

hata uchaguzi wa DDC Kibisa huwezi kushinda .... kwa hulka hii

umekuja na frustraaa za uchaguzi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom