teh teh teh,mtu wa miaka 50,akili za miaka 22,awe mgombea urais.Kweli umri si tija!le mutuz for 2015 president candidate
- Le Mutuz ni Le Biig Shoow! Le Baharia! Le Big Shoow!! ha! ha! ha! ha! ha! yaani supa sana!!
Le Mutuz!!
- Unaa maana wale mabebs wa ukweee!! ha! ha! ha! ha! ha! ha! yaani umenivunja mbaavu bro mabebs wa ukweeee! that is wasap!!
Le Mutuz!!
Siamini kama kuna mtu anaweza kukulilia urudi hapa kijana.
Ile bukta yako ya kwenye miss tanzania ni Savco ama Gangwe Mob wear??
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
LE MUTUZ - (KING OF ALL SOCIAL NETWORK MEDIA) & MJUMBE BARAZA KUU LA WAZAZI-CCM TAIFA & BARAZA KUU UVCCM TAIFA!!
51 kama sijakosea,jamaa ameshazeeka,lakini anabehave kama kijana(Mzee kijana)!teh teh teh!wewe mjamaa how old are you aisee?
- Chadema wameshindwa kila kona na kuishia kuambulia majimbo 46 tu vipi hamuoni aibu kwamba kila kona wanawakataa, yaani ni MBULULA KWELI, well, kesho ninashikiri kwenye kikao cha Baraza Kuu la Taifa Wazazi-CCM so sijakataliwa kila mahali kama Chadema hawajakataliwa kila mahali! ha1 ha1 ha! ha!
Le MutuZ
- Ile Short-Pants ilikuwa ni USD $ 150.00 kwenye Marcys Times Square, made by Kevin Clain so ni kubwa yao sana you know!! ha! ha1 ha! ha! ha! ha!, kumbe uliona my special interview kwenye Red Capet ya Miss Redds 2012, saafi sana si unajua ukwia Big Celeb ni ya kawaida sana hayo!! ha! ha! ha! ha!
Le Mutuz!!
Le Mutuz!
- I know fungu la kukosa kama Chadema na kuishia maandamano kila siku! ha! ha! ha! ha! ha! ha!
Le Mutuz!!
@W.J. Malecela miaka 30 iliyosema umekaa nje utakuwa umejifunza mengi na kujikusanyia mtaji wa kutosha; kwa kuonyesha uzalendo wako kwa nchii hadi leo hii toka urudi umewaajiri vijana wangapi kwa ubunifu wako uliojifunza huko Ulaya na Amarika?
51 kama sijakosea,jamaa ameshazeeka,lakini anabehave kama kijana(Mzee kijana)!teh teh teh!
wataje hapa wanaokulilia urudi kufuta mzizi wa fitna kama kweli wewe ni muungwana- Kwa sababu kila nikiondoa mnaanza kunisumbua kila kona kunililia nirudi, nikija mnaaanza kujiakanyaga kanyaga cause hamna hoja ila ninawavumulia tu kuweka mijdala lakini hoja huwa hamna kabisaa!
Le Mutuz!!
- Chadema wameshindwa kila kona na kuishia kuambulia majimbo 46 tu vipi hamuoni aibu kwamba kila kona wanawakataa, yaani ni MBULULA KWELI, well, kesho ninashikiri kwenye kikao cha Baraza Kuu la Taifa Wazazi-CCM so sijakataliwa kila mahali kama Chadema hawajakataliwa kila mahali! ha1 ha1 ha! ha!
Le MutuZ
- Chadema wameshindwa kila kona na kuishia kuambulia majimbo 46 tu vipi hamuoni aibu kwamba kila kona wanawakataa, yaani ni MBULULA KWELI, well, kesho ninashikiri kwenye kikao cha Baraza Kuu la Taifa Wazazi-CCM so sijakataliwa kila mahali kama Chadema hawajakataliwa kila mahali! ha1 ha1 ha! ha!
Le MutuZ
Nielewesheni tafadhali.. Anamaanisha nini huyu jamaa anavyosema yeye ni King of all social network media..? Sitaki kuhukumu kabla cijapata maana halisi ya alichomaanisha..
arifu unaongea kama ka tineja hivi ndio maana nikakuuliza umri wako maana nikiangalia mwili wako na unasema umeishi usa 30yrs nikawa siamini......- Ungeanza kusema umri wako kwaanza kama ni tija wka Taifa, haalafu useme Dr. Slaa ana umri gani na Mbowe kama vipi au? ha! ha! ha! ha! ha! ha!
Le Mutuz!!
Mkuu wangu MMJ,
Heshima mbele, huyu mama anahitaji kujibu maswali under oath, ukweli ni kwamba ni muongo, kwa sababau haiwezekani waziri mzima akasaini barua toka kwa Gavana, inayo-release hela zote hizo za walipa kodi, bila ya utafiti wa kutosha kufanywa na yeye binafsi au wasaidizi wake, kama hakufanya hivyo basi hafai na anatakiwa kutoka, kama angekuwa mkweli angesema kwa public au cabinet the minute alipogundua kuwa amedanganywa na Gavana, kuliko kusema baada ya Gavana kuondoka na ripoti kutolewa, huyu mama simuamini kabisaa mkuu tena ni afadhali angenyamaza kuliko kutoa vitu kama hivi, atoke tu!
- Miezi 10 ni michache sana ingawa nimeshaanza na kwenye Blog ambako tunaenda pole pole, otherwise miezi 10 bado ni miodogo sana, lakini as we move on tutafanya sana hayo u;liyoyasema maana tuna projects nyingi ambazo ninategema kwenda nje karibuni kutafuta wawekezaji, kwa vile ni mzoefu wa ughaibuni tutawapata and then tutatoa ajira!!
- Again ninawashukuru sana wwenye matangazo ya biashara kwenye our blog hasa The Delina Group na Uhuruone kwani wananisaidia kutoa ajira ndogo ndogo through the blog na sooon tutaoa ajira za uhakika, thaanks bro hoja yako ni nzito na ni valid sana kulinganisha na wengine na hoja zao za maruhani!!
Vipi ulienda ulaya kwa hela nchi yetu au?