Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,908
- 7,751
Kwa majibu low kama haya, ningewashangaa sana wajumbe wenye akili CCM wangekupa kura za kutosha.
BTW,
Umesahau nini JF? we si umehamia kwa warembo FB kuuza sura?
Na kule fb alizinguana na wanatanuru la mashuzi aka tanuru la fikra mgando akaaga