Niligombea NEC Na Nimeshindwa Kihalali - Le Mutuz!

Niligombea NEC Na Nimeshindwa Kihalali - Le Mutuz!

Status
Not open for further replies.
wewe hujajijua tu,mtandao ulishakumwaga hata kama ungekiri kushindwa.actually hata kama ningekuwa mie nisingekuchagua maana mtu mzima ila mawazo na akili ya kitoto kitoto tu.angalia wakubwa wenzio wanaishi vip hata ucopy na kupest.
 
- Ohh yeah nimeshindwa kama Chadema wanavyoshindwa Urais toka ianzishwe mpaka leo, maneno ya baba ni too low of argument ni simply waste of my time hata kujibu!!

Le Mutuz!

- Ohh kwa hiyo Chadema wanatakiwa kuanzisha chama kingine baada ya kushindwa urais na ubunge kila wakati? Is that right?

- Chadema wameshindwa kila kona na kuishia kuambulia majimbo 46 tu vipi hamuoni aibu kwamba kila kona wanawakataa, yaani ni MBULULA KWELI, well, kesho ninashikiri kwenye kikao cha Baraza Kuu la Taifa Wazazi-CCM so sijakataliwa kila mahali kama Chadema hawajakataliwa kila mahali! ha1 ha1 ha! ha!
Le Biig Shoow!
hahahaaa ..mods badilisheni title ya thread . naona le mutuz ameamka anaiota chadema kila baada ya sekunde. na huu ni mwanzo tu manake ukiingia ndani ya ccm ndio unapoyaona makali ya chadema. relax bro kukaa nje miaka milion sio kigezo hata sisi tumekaa europe miaka kibao na bado tupo huku . fight for your country narasilimali zake and not for your chama dude.
 
Wameona hauna mchango wowote kabisa, hivi ulitegemea ushinde? Daaah waliona makosa yaliyo fanywa kule kwa wazazi wasi yarudie tena!

Hongera kwa kukubali kushindwa!
 
Serikali imeibiwa million nne tume ya uchunguzi inatumia million 22 kufatilia wizi huo...??
Eboo..!!ndicho chama unachojivunia wewe??
Tunawajua...
Mwisho wenu unakaribia
 
Pole na hongera kwa kuwa muungwana na kukubali kushindwa. Maana wengine kila wakishindwa wao ni uchakachuzi.
 
Le Mutuz,nimekusoma miaka mingi humu na nilikuwa nakuona kama mtu very radical kwenye vitu unavyoamini na kupitia JF umeshiriki ku sensitize mambo mengi tu,hivi harakati zako zote zile mwisho haya ndio mageuzi ya ndani (CCM) uliyoyataka kwa kuishia kugombea vyeo tu? maana sikuoni tena ukikosoa,ukishauri bila soni (kumbuka kumkoma Nyani....) na wewe umekuwa wa kusifia tu Kikada kada!


Tulitegemea utoe changamoto kubwa hasa kwa vijana wa Chama Cha Mapinduzi na si kuishia kugombea uongozi kila kukicha like unatafuta pa kutokea!
 
Hongera LE MUTUZ kwa kuthubutu,, but Jaribu kuangalia ni kwa nini umekuwa wa 12 na hukuingia kwenye 10 bora ili next time ukigombea uingie umejipanga vizuri. Sababu ya uzoefu sana kwa watu waliokushinda haina mshiko sana kwa siasa za sasa especially ndani ya CCM. Kuna other reasons ambazo unatakiwa uzifanyie kazi na ujipange haswaa!:A S 100:
 
- chadema wameshindwa kila kona na kuishia kuambulia majimbo 46 tu vipi hamuoni aibu kwamba kila kona wanawakataa, yaani ni mbulula kweli, well, kesho ninashikiri kwenye kikao cha baraza kuu la taifa wazazi-ccm so sijakataliwa kila mahali kama chadema hawajakataliwa kila mahali! Ha1 ha1 ha! Ha!

Le mutuz
hayo 46 yalikuwa ya nani kabla????mwehu kweli wewe,yaani unanyang'anywa 46 kati ya 100 ulokuwa nayo,then unambeza aliyekunyang'anya hana aibu.ndo maana magamba wanakutosa maana upeo wako bora hata mtoto wa chekechea.
 
- Ohh yeah nimeshindwa kama Chadema wanavyoshindwa Urais toka ianzishwe mpaka leo, maneno ya baba ni too low of argument ni simply waste of my time hata kujibu!!

Le Mutuz!
Kuna watu wanazaliwa na karama ya uongozi, lakini wewe mkuu hicho kitu huna na wala mvuto huna kabisa, bali unajitahidi kuforce kwa kutumia jina la baba yako ambaye na yeye mvuto wake kwa jamii umeshachuja sana. Nashangaa kama huoni shughuli nyingine ya kufanya kuliko kung'ang'ania siasa!
 
Umegundua sababu ya kushindwa? Je, una mipango gani kwa baadaye? Unatarajia kugombea tena?

- Yaap katika miezi 10 niliyoishi bongo toka nirudi nimegombea:-

1- Ubunge EAC - Nimeshindwa
2. Katibu MWenezi na Elimu na Mazingira wa Wazazi Kata Kivukoni - Nikashinda
3. Ujumbe wa CCM Wilaya ya ILALA - Nikashinda
4. Ujumbe wa WAZAZI_CCM Mkoa wa Dar - Nikashinda
5. Katibu MWenezi CCM Mkoa wa Dar - Nikashindwa
6. Ujumbe Baraz la Wazazi-CCM Taifa - Nikashinda
7. NEC Viti 10 Bara - Nimeshindwa

- So haya yote in 10 months, ni supa sana na tupo vizuri sasa ni kutulia na kujipanga tena mapambano bado sana!!


Le Mutuz!!
 
Ah!ah!ah!unataka kuishi kwa jina la baba yako unadhani waTZ wa leo ndio wale wa kipindi kile?...tafuta shughuli nyingine wewe ya kufanya baba yako hana chake ccm,mama yako nae same siku zake zinahaesabika wenye jimbo 2015 walichukue,na wewe nae ndio hivyo huna dira magamba,chadema wanachukua nchi 2015 sijui utatangaza wapi njaa yako maana unataka kulitumia jina la baba yako kukidhi tumbo lako,wabongo watakushikisha adabu mwaka huu.......kacheze unakochezaga na wakina wema sepetu bongo muvi huko
 
- Ohh yeah nimeshindwa kama Chadema wanavyoshindwa Urais toka ianzishwe mpaka leo, maneno ya baba ni too low of argument ni simply waste of my time hata kujibu!!

Le Mutuz!

- WEll, nimeshindwa kwa sababu walioshinda ni wazoefu wakubwa zaidi yangu ndani ya chama, wameshinda Viongozi wa Taifa wote 10 naamin inajisema yenyewe ni kwa nini nimeshindwa, tatizo sio kushindwa ila ni ulipoangukia ni wapi!!

Le Mutuz!

- Chadema wameshindwa kila kona na kuishia kuambulia majimbo 46 tu vipi hamuoni aibu kwamba kila kona wanawakataa, yaani ni MBULULA KWELI, well, kesho ninashikiri kwenye kikao cha Baraza Kuu la Taifa Wazazi-CCM so sijakataliwa kila mahali kama Chadema hawajakataliwa kila mahali! ha1 ha1 ha! ha!

Le MutuZ

-
- I am proud na kushika nafasi ya 12, kati ya wagombea 31 ambao wote wengine ni wazoefu wa muda mrefu sana ndani ya CCM, kulinganisha na mimi niliyerudi
Bongo Miezi 10 iliyopita, baada ya kuishi Miaka 30 Ulaya na USA,


quote_icon.png
By W. J. Malecela - Ohh kwa hiyo Chadema wanatakiwa kuanzisha chama kingine baada ya kushindwa urais na ubunge kila wakati? Is that right?

Le Biig Shoow!

Kwa majibu low kama haya, ningewashangaa sana wajumbe wenye akili CCM wangekupa kura za kutosha.

BTW,

Umesahau nini JF? we si umehamia kwa warembo FB kuuza sura?
 
huyu jamaa huwa simwelewi maana mwili,umri na elimu yake haviendani na uwezo wa akili aliyonayo kichwani.sijui ni mimi pekee ndo simwelewi au la.maana maandishi kwenye social medias ni kama vile mtoto mdogo anayefanya mashindo yaliyotawaliwa na narrow thinking.
 
Nimekushauri mara nyingi lakini husikii. Haiwezekani uchaguliwe kwenye nafasi za juu za uongozi. Wewe bado ni mchanga sana kwenye siasa za nchi yetu! Uliondoka nchini ukatuacha tunapambana na chama cha baba'ako. Leo umerudi, unataka upate utuongoze wakati kuna vijana waliokuwepo kwenye mapambano muda wote. Hiyo haiwezekani. Pole sana. Sasa umekuwa fungu la kukosa!!
 
Le Mutuz!

nakumbuka uliaga jf, mbona waenda mbele na kurudi tena nyuma mkuu.

- Kwa sababu kila nikiondoa mnaanza kunisumbua kila kona kunililia nirudi, nikija mnaaanza kujiakanyaga kanyaga cause hamna hoja ila ninawavumulia tu kuweka mijdala lakini hoja huwa hamna kabisaa!

Le Mutuz!!
 
kwani huchoki tu maana kila siku unagombea tu..................
 
- well, nimeshindwa kwa sababu walioshinda ni wazoefu wakubwa zaidi yangu ndani ya chama, wameshinda viongozi wa taifa wote 10 naamin inajisema yenyewe ni kwa nini nimeshindwa, tatizo sio kushindwa ila ni ulipoangukia ni wapi!!

Le mutuz!
wewe unauzoefu wa mabinti,sasa nakushangaa huko magambani unatafuta nini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom