Niligombea NEC Na Nimeshindwa Kihalali - Le Mutuz!

Niligombea NEC Na Nimeshindwa Kihalali - Le Mutuz!

Status
Not open for further replies.
Tatizo la kuzeeka bila kuwa na familia au kuishi na familia. Huwezi kujijua unakuwa kama majukumu hayabadiliki na kufanya ubongo wako ukuwe. Kwa hali hii, sifikiri kama huyu mtu amepitia challenges za kifamilia.

- At least sijaacha mke wangu na kuiba mke wa mwananchi na kutaka kwua Rais wa jamhuri! ha! ha! ha! ha! ha!

Le Mutuz!!
 
Hivi usipoitaja CHADEMA "jogoo haliwiki"??? Mbona huko juu hapana yeyote aliyejitambulisha kwa chama chake zaidi yako wewe unayejipambanua kuwa mwanachama wa "CHAMA CHENU MAGUMASHI"??? Du! Chadema inakufanya vibaya.,yan usipoitaja hujickii raha kabisa.,kama wewe ni mwanasiasa makini unapaswa uwaze kwa mapana..iwaze Chadema,CUF,NCCR, UDP na vingine vyote na ujipambanue kwa hoja makini..
Jina umerithi kwa baba,
siasa umerithi kwa baba,
Vyeo na nafasi umerithi kwa baba,
HATA UJINGA UTAKUA UMEUTOA HUKOHUKO.
.
nimecheka sana du hii umeua mkuu
 
- Ohh yeah nimeshindwa kama Chadema wanavyoshindwa Urais toka ianzishwe mpaka leo, maneno ya baba ni too low of argument ni simply waste of my time hata kujibu!!

Le Mutuz!
Sasa CHADEMA inaingiaje hapa?wewe mbona unawadhalilisha japo hao wachache waliokupa kura?acha hizo,mbona ndugu zako wana akili nzuri tu?
 
- Chadema wameshindwa kila kona na kuishia kuambulia majimbo 46 tu vipi hamuoni aibu kwamba kila kona wanawakataa, yaani ni MBULULA KWELI, well, kesho ninashikiri kwenye kikao cha Baraza Kuu la Taifa Wazazi-CCM so sijakataliwa kila mahali kama Chadema hawajakataliwa kila mahali! ha1 ha1 ha! ha!

Le MutuZ

kila nafasi inayokatiza mbele yako unagombea. la mutuz, kaza uzi na urais kwa kupitia magamba party 2015 ugombee pia! ahahahahaaa ahahahaaa la baharia mutuz.
 
- Miezi 10 ni michache sana ingawa nimeshaanza na kwenye Blog ambako tunaenda pole pole, otherwise miezi 10 bado ni miodogo sana, lakini as we move on tutafanya sana hayo u;liyoyasema maana tuna projects nyingi ambazo ninategema kwenda nje karibuni kutafuta wawekezaji, kwa vile ni mzoefu wa ughaibuni tutawapata and then tutatoa ajira!!

- Again ninawashukuru sana wwenye matangazo ya biashara kwenye our blog hasa The Delina Group na Uhuruone kwani wananisaidia kutoa ajira ndogo ndogo through the blog na sooon tutaoa ajira za uhakika, thaanks bro hoja yako ni nzito na ni valid sana kulinganisha na wengine na hoja zao za maruhani!!

Vipi ulienda ulaya kwa hela nchi yetu au?

- Seriously, nilienda kwa nauli yangu ndio maana huwa sisumbuliwi na hizi blah! blah! blah! infact hata tikect nilizotumia ninazo mpaka leo! so relax this is the big shoow!

Le Mutuz!!
 
SHINDANA NA LUNDENGA KUWANIA CHEO ALICHO NACHO, MAANA WE NA MABINTI NI DAMU DAMU( kwa hisani ya mwana fa!)

kwa hapa kweli lazima ashinde bila shaka! Alaf ange ungana na huyu mzee angefaa kuitangaza nchi yetu zaidi!
 

Hivi unajua kuwa umetukana watu hapo? Ndio heshima na hekima uliyofundishwa na wazazi wako? Au ndio ulichojifunza Ulaya/USA miaka 30? Au kwa kuwa wewe Mkurugenzi wa JF basi matusi halali?

SHAME ON YOU

- ha! ha! ha! sijwahi kuwa Mkurugenzi wa JF, ila mimi ni Mkurugenzi wa kampuni yangu ya Agapeo Company INc. ambayo imesajiliwa na Brela tayari na imeshaanza kazi toka miezi miwili iliyopita so relax!!

Le Mutuz!!
 
Mkuu achana na siasa sasa tafuta shughuli nyingine ya kufanya,unaonaje ukaanzisha NGO ya kusaidia kusamamia chaguzi mbalimbali katika vyama vya siasa na chaguzi za kitaifa??
sio lazima uwe mwanasiasa kusaidia kujenga taifa letu
 
- Yaap katika miezi 10 niliyoishi bongo toka nirudi nimegombea:-

1- Ubunge EAC - Nimeshindwa
2. Katibu MWenezi na Elimu na Mazingira wa Wazazi Kata Kivukoni - Nikashinda
3. Ujumbe wa CCM Wilaya ya ILALA - Nikashinda
4. Ujumbe wa WAZAZI_CCM Mkoa wa Dar - Nikashinda
5. Katibu MWenezi CCM Mkoa wa Dar - Nikashindwa
6. Ujumbe Baraz la Wazazi-CCM Taifa - Nikashinda
7. NEC Viti 10 Bara - Nimeshindwa

- So haya yote in 10 months, ni supa sana na tupo vizuri sasa ni kutulia na kujipanga tena mapambano bado sana!!


Le Mutuz!!



Ni PM mawasiliano yako niombe hata msaada.
 
- Ile Short-Pants ilikuwa ni USD $ 150.00 kwenye Marcys Times Square, made by Kevin Clain so ni kubwa yao sana you know!! ha! ha1 ha! ha! ha! ha!, kumbe uliona my special interview kwenye Red Capet ya Miss Redds 2012, saafi sana si unajua ukwia Big Celeb ni ya kawaida sana hayo!! ha! ha! ha! ha!


Le Mutuz!!

Le Mutuz!

Da jamaa kama ndo upo kwenye mature age vile
 
Hivi huyo anae kulilia ni nani huyo?
Sidhani kama ni mzima kichwani kwake!

Najua wana kulilia ukapige nao picha wala si kuja jf!

- Kwa sababu kila nikiondoa mnaanza kunisumbua kila kona kunililia nirudi, nikija mnaaanza kujiakanyaga kanyaga cause hamna hoja ila ninawavumulia tu kuweka mijdala lakini hoja huwa hamna kabisaa!

Le Mutuz!!
 
[B said:
Facebook: William Malecela on Saturday, June 4, 2011 at 8:13am[/B]]

@ NEW YORK CITY-USA: Nimeshitushwa sana na habari za CCM kuwaita Mapacha Watatu eti kwa mahojiano!, I mean mahojiano ya nini? Wananchi wa hili taifa tumechoshwa sana na hivi viini macho. Ni CCM wenyewe walio-raise the bar kwa kutangaza kujivua magambas na ni CCM iliyotangaza kuwaondoa kwenye NEC yake na CC, as a member of CCM I was incouraged na the news kwamba CCM ipo njiani kuwafukuza chama kabisa, sasa tena tunaposikia habari za mahojiano inaleta utatanishi! Mahojiano ya nini! mbona walishawaweka pembeni kwenye nafasi muhimu sana za ndani ya chama bila mahojiano? I mean sasa ni wakati wa CCM kutangaza kwamba imewafukuza tayari au ikubali kwamba haina huo ubavu!

- I mean nothing personal, na sio kwamba kufukuzwa kwa hao mapacha watatu kutaondoa matatizo ya wananchi kwa siku moja, lakini tunategemea kwamba wakishavuliwa uanachama wa CCM, ifuatie kuwapeleka kwenye mkono wa SHERIA!. Tanzania tunasumbuliwa sana na tatizo moja tu nalo ni hatuna RESPECT KWA THE RULE OF LAW OF OUR LAND!, ndio maana hata huku majuuuu wengi wetu tunaishi kwa taabu sana maana hatujui kuishi kwa kuheshimu sheria. Hawa mapacha watatu wakikiwapelekwa kwenye sheria, ni kwamba sasa unafungua milango ya wanasiasa wahalifu wote nchini kupelekwa kwenye sheria na wananchi kuanza kuheshimu sheria kwanza za Jamhuri, hatimaye wataheshimu sheria za makazini mpaka sheria za familia majumbani mwao, I mean Wa-Tanzania we are too corrupt tunahitaji kuanzia somewhere na hapa kwenye mapacha watatu ndio penyewe sana, So CCM it is either now, or forget it! and Never!

- CCM the burden is on us na wakati ni sasa, either tufanye kweli au tunyamaze, lakini habari za mahojiano maana yake ni kwamba somebody is not sure kama hawa waondolewe au la! Tunasema hivi sio tu wafukuzwe chama, isipokuwa wafikishwe kwenye SHERIA, na wengine wote wenye tuhuma za wizi wa mali zetu za umma na kodi zetu wananchi, ninasema mali zao zote zingekua frozen now na serikali, mpaka watakapothibitisha kwamba kwa miaka mitano ya uwaziri mtu unaweza kuwa Billionea na kuanza kusomesha watoto nje, na kununua magari ya kifahari pamoja na kuwa na hisa kila mahali kwenye makampuni makubwa na kujenga majumba ya ajabu. Ni muhimu sana kuwepo na Legal Facts ili haki zao watuhumiwa zisikiukwe, I mean we are not asking for a Mob Justice, au blind Justice! hapana tunataka Fairness Justice!

- So! CCM the time is up, either wafukuzeni chama SASA hawa Chenge, Rostam na Lowassa, au nyamazeni turudie tulipokuwa siku zote yaani kama kawaida, tusubirie kuwa chama cha Upinzani 2015, kama KANU. Na CCM let me tell you this, siku tutakapoishia kua upande wa pili wa the glass, ndio imetoka haitakuja kurudi tena! Uliza UNIP kule Zambia!

MUCH RESPECT! & MUNGU AIBRIKI TANZANIA!

William Malecela @ New York City, US..

Huyu sasa ndiye The Le Mutuz kipindi hicho akiwa bado na akili timamu!
 
- ha! ha! ha! sijwahi kuwa Mkurugenzi wa JF, ila mimi ni Mkurugenzi wa kampuni yangu ya Agapeo Company INc. ambayo imesajiliwa na Brela tayari na imeshaanza kazi toka miezi miwili iliyopita so relax!!

Le Mutuz!!

Hapo kitambo ulituambia wewe ni Director. Sorry kwa kukuita Mkurugenzi. Nevertheless NAOMBA utujibu je kwako ni sawa kutukana watu kwa kuwaita MBURULA au hujui maana yake?
 
Eeh hivi hii jumuia ya wazazi ndio nini na ina mchango gani kwa taifa?au kua kiongozi huko then what does one gain careerwise?
Ila kaka, 30yrs in Europe/America coming back for uongozi jumia ya wazazi, sjui katibu wa shina..haaaaa are you really serious?? with the invistment tena ya goodwill tu alio kutengenezea mzee wako bongo plus the 30 years abroad m sure wala siasa uchwara isingekupotezea muda..but anyway that u Le biiig Show...super kiongozi wa wazazi....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom