Niligombea NEC Na Nimeshindwa Kihalali - Le Mutuz!

Niligombea NEC Na Nimeshindwa Kihalali - Le Mutuz!

Status
Not open for further replies.
NIMECHEKA HADI BASI!

Nini kinakufanya uamini karudi na mtaji mkubwa wa kuweza kutoa ajira mkuu??
Tausi Mzalendo kuishi kwingi ni kuoana mengi; miak 30 ughaibuni urudi bila wazo la kumkomboa mtanzania kimaskini hainiingii akilini. Ukifuatilia sana wafanya biashara na wajasiriamali wengi kwanza ya kujiajiri waliajiriwa wakajifunza kwa waajiri wao mwishowe wakaanzisha shughuli zao, mimi ni mmojawapo; inawezekana kweli 30 years utoke kapa bila hata wazo la mradi wa fast food?
 
Last edited by a moderator:
Hivi umesema umeishi miaka 30 US/Europe? Kama ni kweli, sa ndo kitu gani hichi ulichoki-post hapa pamoja na exposure yote hiyo???


Sio wote wanaokwenda abroad wanapata uelewa au
kuwa na elimu kutokana na mazingira ya wenzetu

walivyosonga mbele au exposure..... Like William.... ndio kawa kituko.... kiroja...!!!

Wengine wanskuwa wajinga zaidi akienda nje...

William aibu tupu.... anaandika hadi miaka aliyokaa nje....

Bila kujua... anajiaibisha buree..... WHY..?? sbb MTU ALIYEKAA NJE ANGEKUJA NA MAWAZO POSITIVE, KAPATA NA KAONA MAZURI MAENDELEO YA KUIGA
HIVYO NI RAHISI WATU ALIOKUTA HUKU YY AWE MFANO.... BADALA YAKE YY NA ANTI EZEKIEL, Wema & other nasty stuff ndio anapiga nao mapicha of which yy hata haendani nao..... His ways of life kwa nje tu hafai kuigwa...... Tabia hafai kuigwa.... Not creative.... to dull.... Schooled but not educated...... So he is still kilaza......CALLING HIMSELF FAMOUS WILLIAM....!!! Is this guy famous au ...!!! Kondoo ni kondooo ...!!!

I believe KONDOOO HUZAA KONDOO.....

Sungura huzaa sungura.....
 
Yaani hili jamaa kweli ubongo umeungana na utumbo mkubwa!!!Umeona Uchaguzi wa NEC umeisha ndo umerudi JF au ndo mbinu uliyokuwa umepewa na washauri wako wa kisiasa?Una haja ya kujipanga upya kwa ku-format ubongo wako kama kweli bado una ndoto za kisiasa.
 
- Chadema wameshindwa kila kona na kuishia kuambulia majimbo 46 tu vipi hamuoni aibu kwamba kila kona wanawakataa, well, kesho ninashikiri kwenye kikao cha Baraza Kuu la Taifa Wazazi-CCM so sijakataliwa kila mahali kama Chadema hawajakataliwa kila mahali! ha1 ha1 ha! ha!

Le MutuZ

Hauwezi kujilinganisha na CHADEMA hata kidogo,
CCM ni wachafuzi ktk chaguzi zote toka 1995, tumeyaona na kuyasikia toka kwa wanaCCM wenyewe, yaliyotokea ktk uchaguzi wao wa ndani wa CCM uliyopita, kila kona ya nchi na jumuiya zao matatizo ya hila, matumizi ya rushwa, fitna etc, yote ni yao CCM as Party. binafsi ww ni muathirika (Mama, Chairperson-UWT na NEC) ktk uchafu huo ktk chaguzi za CCM zilizoisha.
Ilifikia hatua CCM-Chairman ana lalama kama wananchi wa kawaida.....,


Kuchaguliwa Ujumbe kwa mabaraza ya Jumuiya za Wazazi-CCM na UV-CCM, is nothing kw level na exposure ya mtu aliyeishi Europe na US for 30 yrs.
 
Kila la heri,lkn zile picha zako noma,karibu bongo tutakufwatilia,kuwa kama Januari au Mnyika kwa Upole na busara.sina uhakika lkn nakuona kama unaendekeza Anasa.
 
Ah!ah!ah!unataka kuishi kwa jina la baba yako unadhani waTZ wa leo ndio wale wa kipindi kile?...tafuta shughuli nyingine wewe ya kufanya baba yako hana chake ccm,mama yako nae same siku zake zinahaesabika wenye jimbo 2015 walichukue,na wewe nae ndio hivyo huna dira magamba,chadema wanachukua nchi 2015 sijui utatangaza wapi njaa yako maana unataka kulitumia jina la baba yako kukidhi tumbo lako,wabongo watakushikisha adabu mwaka huu.......kacheze unakochezaga na wakina wema sepetu bongo muvi huko



:smile: :smile:
 
le totoz in da house...aisee akina wema sepetu, irene uwoya na totoz zingine zinasemaje...achana na siasa unapigwa chini kila siku tuongelee totoz najua that's what ur gd at :happy:
 
Looh! Jamaa ana moyo mgumu huyu. amekaa miaka 30 nje ya nchi amerudi amegombea kura hazikutosha bado anasema atagombea tena uchaguzi ujao hivi atakuwa na umri gani? Na zisipotosha tena? Atakuwa anatafuta nini?
 
- Chadema wameshindwa kila kona na kuishia kuambulia majimbo 46 tu vipi hamuoni aibu kwamba kila kona wanawakataa, well, kesho ninashikiri kwenye kikao cha Baraza Kuu la Taifa Wazazi-CCM so sijakataliwa kila mahali kama Chadema hawajakataliwa kila mahali! ha1 ha1 ha! ha!

Le MutuZ
Kilazaaaaaaa........!
Tupa kuleeeeeeeeeee!
 
- Ohh yeah nimeshindwa kama Chadema wanavyoshindwa Urais toka ianzishwe mpaka leo, maneno ya baba ni too low of argument ni simply waste of my time hata kujibu!!

Le Mutuz![/QUOTE
nyinyiem ilishakufa na kuzikwa bado arobaini,endelea kupiga picha na mademu,hakafu blog yako ni kama gazeti la udaku.
 
CV yake mara nyingi ameeleza Marekani alisoma community college ambayo hutoa associate degree, kwa elimu ya Tanzania ni sawa na advanced Diploma. Hizi degree alizoanika hapa sitashangaa usanii na uchakachuaji ulizoeleka CCM.
32348_4820843478200_1475254971_n.jpg


Nakuwa na wasiwasi ha hii CV, kama mtu una hizo kuolifikesheni, kwa nini uhangaike na chaguzi za chama au ubunge EA? Mbona jeshi la polisi kila mara linatuma wataalamu wake Marekani kwenye vikozi vifupi na visemina. Kama mtu aliamua kurudi nchini kusaidia kujenga Taifa kama anavyodai yeye, kwa nini asitumie utaalamu wake huo kusaidia jeshi la polisi au kufundisha CCP Moshi ili kuongeza wataalamu ku-deal na crime Tanzania ambayo imeongezeka kwa kiwango kikubwa?

I guess kulitumikia Taifa ni sharti uwe na kacheo ndani ya chama, naomba kusahihishwa.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kafie mbali unajipa moyo. Kushindwa ni kushindwa. sijui sasahivi utagombea nini?
 
32348_4820843478200_1475254971_n.jpg


Nakuwa na wasiwasi ha hii CV, kama mtu una hizo kuolifikesheni, kwa nini uhangaike na chaguzi za chama au ubunge EA? Mbona jeshi la polisi kila mara linatuma wataalamu wake Marekani kwenye vikozi vifupi na visemina. Kama mtu aliamua kurudi nchini kusaidia kujenga Taifa kama anavyodai yeye, kwa nini asitumie utaalamu wake huo kusaidia jeshi la polisi au kufundisha CCP Moshi ili kuongeza wataalamu ku-deal na crime Tanzania ambayo imeongezeka kwa kiwango kikubwa?

I guess kulitumikia Taifa ni sharti uwe na kacheo ndani ya chama, naomba kusahihishwa.

Yan hana working Experience yeyote ile
hebu atutajie na Vyuo alivyosoma, isjie kuwa ni Dizain akina Mulugo
 
- Thaanks people unajua ndio kwanza nimerudi Bongo baada ya jana kukesha kwenye kikao cha Baraza la Wazazi Taifa, the next itajkuwa kushiriki kwenye kikao Cha Baraza la Wazazi UVCCM Taifa ambako mimi ni Mjumbe hapa Dar, and then Jumapili tutakuwa na mapokezi makubwa kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa, kwa Mkoa wa Dar!

- Nawashukuru waote mliochangia hii mada naona wote mko very positive meaning kwamba Le Mutuz tunakubalika sana sio huko mtaani tu, yaani hata huku kwa Great Thinkers supa sana nimesoma kidogo comments zenu yaani tunakubalika sana kumbe humu, and I knew that maana huwi The King Of All Social Network MEdia kihivi hivi tu, lazima ukubalike na JF kwenye Great Thinkers kwanza, Page karibu 20, in just 20 hours, I mean what else can I ask from Great Thinkers,

- Kumbe ndio maana nikiondoka kunakuwa na vilio sana vya kyniomba nirudi, powa nipo kwenye hii thread kama vipi will take some questions,

RESPECT PEOPLE!1

LE MUTU!!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Yan hana working Experience yeyote ile
hebu atutajie na Vyuo alivyosoma, isjie kuwa ni Dizain akina Mulugo

- Nimesoma Westchester College & Lehman College in USA na Atwerpen School of Marine Engineering in Belgium, nimefanaya intern UN New York, na kazi nimefanya New York Sterycircle Company!! na pia nimefanyia kazi CMB Company ya Belgium na Hongkong!

Le Mutuz!
 
Sio wote wanaokwenda abroad wanapata uelewa au
kuwa na elimu kutokana na mazingira ya wenzetu

walivyosonga mbele au exposure..... Like William.... ndio kawa kituko.... kiroja...!!!

Wengine wanskuwa wajinga zaidi akienda nje...

William aibu tupu.... anaandika hadi miaka aliyokaa nje....

Bila kujua... anajiaibisha buree..... WHY..?? sbb MTU ALIYEKAA NJE ANGEKUJA NA MAWAZO POSITIVE, KAPATA NA KAONA MAZURI MAENDELEO YA KUIGA
HIVYO NI RAHISI WATU ALIOKUTA HUKU YY AWE MFANO.... BADALA YAKE YY NA ANTI EZEKIEL, Wema & other nasty stuff ndio anapiga nao mapicha of which yy hata haendani nao..... His ways of life kwa nje tu hafai kuigwa...... Tabia hafai kuigwa.... Not creative.... to dull.... Schooled but not educated...... So he is still kilaza......CALLING HIMSELF FAMOUS WILLIAM....!!! Is this guy famous au ...!!! Kondoo ni kondooo ...!!!

I believe KONDOOO HUZAA KONDOO.....

Sungura huzaa sungura.....

- Lakini kiongozi anayeiba mke wa mtu ndiye anafaaa kuwa Rais wa JAmhuri, sawa bana!!

Le Mutuz!!
 
Bwaha ahahahaha. Nashindwa kuchangia humu kwa uhuru.

Mzee nakubali wewe ni king kwenye hizi social media. Ulikuwepo, upo na utakuwepo. Tatizo naona vijana walianza ushabiki wa mitandao miaka miwili iliyopita ndo hawakutambui.

Hawajui ulianza long time toka enzi za nyenzi.com mpaka bcs.com.

All the best mkuu. CHASE your dreams!

Wabongo ndivyo tulivyo!
 
- Lakini kiongozi anayeiba mke wa mtu ndiye anafaaa kuwa Rais wa JAmhuri, sawa bana!!

Le Mutuz!!
Tatizo lako ni akili za samaki mlizonazo viongoz na wanachama wa ccm kwa hyo sikushangai unavyojibu hoja humu .Mtu ambaye anajifahamu na muelewa mambo yanavyoenda hapa nchini hawezi kutoa pointi kama hizo kwa taifa ambalo ufisadi unawafanya watanzania wa daraja la chini kukosa mahitaj muhimu kama miundo mbinu fursa sawa ya kielimu na changamoto nyingi za taifa.Unajisifu kukaa marekani miaka 30 lakini huna tofauti yoyote ya kimtazamo juu ya uchumi wetu.Umerudi ukaanza kutafuta vyeo ili kuendelea kuwadhulumu watanzania kupitia ccm.Kujivunia usomi wako na ubingwa wa media si lolote kwa watanzania bali ni aibu kwako.
 
- Nimesoma Westchester College & Lehman College in USA na Atwerpen School of Marine Engineering in Belgium, nimefanaya intern UN New York, na kazi nimefanya New York Sterycircle Company!! na pia nimefanyia kazi CMB Company ya Belgium na Hongkong!

Le Mutuz!

Westchester college haipo USA, ila ipo Westchester county college au huitwa community college ambavyo hutoa wahitimu wa certificate na associate degree elimu ambayo kwa tanzania unaweza kulinganisha na deploma au certificate. Westchest ni county iliyoko kaskazini ya jiji la NY, ni kupandisha kidogo tu toka vile vitongoji vya vijana wa born city waanzilishi wa miondoka ya Ragge aka wana Bron..... Mara kadhaa umeonyesha kwenye CV yako kwamba ulisoma community college iliyoko westchester ni nje kidogo tu ya jiji la NY ambako kulikuwa na nyumba ya balozi wa Tanzania kwa Umoja wa Mataifa nadhani wameitelekeza siku hizi na kununua nyingine. Hivi vyuo vingine vimemea kwa ajili ya kugombea nafasi chamani?

Hivi vyuo vingine vya Marekani naone vimeongezeka safari hii ulipoandaa CV ya kugombea nafasi chama cha mapinduzi. Inaweza kutia shaka kidogo na degree ulizoanika hapa kwenye CV yako wakati awali hukuweka kitu kama hicho kwenye CV yako. Kwangu mimi CV haina maana kwa mtu iwepo uwezo wake hana. Cha msingi uwezo ndio chanda cha dhahabu, kwani wengi wana elimu lakini wameishia kuhangaika kama mimi huku wakikodolea utitiri wa vyeti vyao vya uhitimu walivyovitundika majumbani na kuwa kama magazeti ya kuziba nyufa ukutani (to paper the cracks).
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom