Niligombea NEC Na Nimeshindwa Kihalali - Le Mutuz!

Niligombea NEC Na Nimeshindwa Kihalali - Le Mutuz!

Status
Not open for further replies.
bwaha ahahahaha. Nashindwa kuchangia humu kwa uhuru.

Mzee nakubali wewe ni king kwenye hizi social media. Ulikuwepo, upo na utakuwepo. Tatizo naona vijana walianza ushabiki wa mitandao miaka miwili iliyopita ndo hawakutambui.

Hawajui ulianza long time toka enzi za nyenzi.com mpaka bcs.com.

All the best mkuu. Chase your dreams!

Wabongo ndivyo tulivyo!

- salute na one page bro!1

le mutuz!!
 
Tatizo lako ni akili za samaki mlizonazo viongoz na wanachama wa ccm kwa hyo sikushangai unavyojibu hoja humu .Mtu ambaye anajifahamu na muelewa mambo yanavyoenda hapa nchini hawezi kutoa pointi kama hizo kwa taifa ambalo ufisadi unawafanya watanzania wa daraja la chini kukosa mahitaj muhimu kama miundo mbinu fursa sawa ya kielimu na changamoto nyingi za taifa.Unajisifu kukaa marekani miaka 30 lakini huna tofauti yoyote ya kimtazamo juu ya uchumi wetu.Umerudi ukaanza kutafuta vyeo ili kuendelea kuwadhulumu watanzania kupitia ccm.Kujivunia usomi wako na ubingwa wa media si lolote kwa watanzania bali ni aibu kwako.

- Tatizo lenu ni kutaka madaraka kwa nguvu bila kutumia mabox ya kura for that goal, yoyote asiye na mawazo kama yenu anakuwa kama unavyosema, ndio tunaita mawazo mgando wa kuona only your side of the coin bila kujali the otherside!! pole sana ila kwenye Demokrasia kama yetu wananchi wote tunaruhusiwa kuwa na mawazo yetu bila kuingilia ya wengine!!

Le Mutuz!!
 
Umesahau Kuwa ulishaaga JF! Zile allegation zako kwa viongozi wa JF umezidrop? Kati ya JF founders na wewe na mwongo?

Le Mutuz ni mmoja wapo wa ma pioneers wa mitandao hizi za kijamii. Amesaidia sana hii mitandao kuwa na washabiki wengi!

Hata JF founders wanajua hilo. Waulize!
 
Miaka 30 umekaa Ulaya na Marekani, lakini umerudi na akili tope; ungekaa kaa hapa Bongo ungekuwa ni kibaka mzoefu.

mkuu nakusahihisha hapo kwenye red, angekuwa hapa bongo miaka hiyo angenyoroshwa, angekuwa na akili hakiyanani, limekaa ulaya sijui marekani kutumbua hela babake alizotuibia...watoto wa vigogo waliobaki bongo wana akili sio kama huyu..
 
Westchester college haipo USA, ila ipo Westchester county college au huitwa community college ambavyo hutoa wahitimu wa certificate na associate degree elimu ambayo kwa tanzania unaweza kulinganisha na deploma au certificate. Westchest ni county iliyoko kaskazini ya jiji la NY, ni kupandisha kidogo tu toka vile vitongoji vya vijana wa born city waanzilishi wa miondoka ya Ragge aka wana Bron..... Mara kadhaa umeonyesha kwenye CV yako kwamba ulisoma community college iliyoko westchester ni nje kidogo tu ya jiji la NY ambako kulikuwa na nyumba ya balozi wa Tanzania kwa Umoja wa Mataifa nadhani wameitelekeza siku hizi na kununua nyingine. Hivi vyuo vingine vimemea kwa ajili ya kugombea nafasi chamani?

Hivi vyuo vingine vya Marekani naone vimeongezeka safari hii ulipoandaa CV ya kugombea nafasi chama cha mapinduzi. Inaweza kutia shaka kidogo na degree ulizoanika hapa kwenye CV yako wakati awali hukuweka kitu kama hicho kwenye CV yako. Kwangu mimi CV haina maana kwa mtu iwepo uwezo wake hana. Cha msingi uwezo ndio chanda cha dhahabu, kwani wengi wana elimu lakini wameishia kuhangaika kama mimi huku wakikodolea utitiri wa vyeti vyao vya uhitimu walivyovitundika majumbani na kuwa kama magazeti ya kuziba nyufa ukutani (to paper the cracks).

- Tatizo lako ni moja tu kwamba sina mawazo kama yako so for that uko radhi kutaka kupindisha ukweli wa kwamba nimesoma hivyo vyuo, naomba nirudie tena vyuo nilivyosoma na nina Degree na Diploma zake:

1. Antwerpen School of MArine Engineering, Belgium - Diploma
2. Westchester College - New York State, USA - Degree ya pili ya Criminology & Police Science.
3. Lehman College - New York City, USA - BA Political Science

- Naona katika kuhalalisha uongo wako umeingiza mpaka nyumba za mabalozi ssijui wa wawapi jamani kweli Great Thinker anaweza kwenda this low? ha1 ha! ha! yaani hata kuendelea nimeshindwa!! ha1 ha1 ha! ha!, maneno makubwa sana ya bluu lakini pumba tupu vipi ulipokuwa shule hukusoma darasa la Communications Skills, maana upo all over for nothing!! duh!1

Le Mutuz!
 
mkuu nakusahihisha hapo kwenye red, angekuwa hapa bongo miaka hiyo angenyoroshwa, angekuwa na akili hakiyanani, limekaa ulaya sijui marekani kutumbua hela babake alizotuibia...watoto wa vigogo waliobaki bongo wana akili sio kama huyu..

- Let me understand this eti akili zako zimenyoroshwa kwa sababu umeishi bongo masiha yako yote hujawahi kutoka nje? so usipotoka nje ya nchi ndio unakuwa na akili sana is that right? ha! ha! ha! yaan i hoja mnfu kabisaaaaa ni aibu hata kuamini wewe ni great thinker!!

Le Mutuz!!
 
Kweli ccm siku iz kuna mzaha iv kweli willium nA shyroz ni watu wa kuingia kwenye kinyang'anyilo kweli ! Wtf
 
- Fungulia thread yake cause hapa kwenye kugombea na kushindwa NEC sio mahali pake, au? ha! ha1 ha! ha!

Le Big Shoow!!
Ingependeza pia ufungue thread nyingine kuhusu CHADEMA na ujikite kwenye mada ya thread yako badala ya kutaja chadema kila kwenye jibu unalotoa hapa.
Ha ha ha ha!
Le polisi kibonge @ lumumba


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Le Mutuz ni mmoja wapo wa ma pioneers wa mitandao hizi za kijamii. Amesaidia sana hii mitandao kuwa na washabiki wengi!

Hata JF founders wanajua hilo. Waulize!


Kuwa 'pioneer' wa mitandao hakuhalalishi uongo na uzushi arifu.

Sababu kubwa Le Mutuz kushindwa pamoja na mambo mengine no uongo, usharobaro/usharouharo (you choose), kutojitambua/kujisahau etc. Swallow that.
 
- Let me understand this eti akili zako zimenyoroshwa kwa sababu umeishi bongo masiha yako yote hujawahi kutoka nje? so usipotoka nje ya nchi ndio unakuwa na akili sana is that right? ha! ha! ha! yaan i hoja mnfu kabisaaaaa ni aibu hata kuamini wewe ni great thinker!!

Le Mutuz!!
una miezi 10 tu tangu uje, taratibu tu utanyooka, hahahahahahaha! hii ndo bongo hatushobokei miili na majina siku hizi loh!
 
Ingependeza pia ufungue thread nyingine kuhusu CHADEMA na ujikite kwenye mada ya thread yako badala ya kutaja chadema kila kwenye jibu unalotoa hapa.
Ha ha ha ha!
Le polisi kibonge @ lumumba


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

- Haijalishi wote ni Chadema mnaotaka kila mtu awe na mawazo kama yenu tu ya maandamano, matusi na migomo, kazi yenu ni kila mkishindwa uchaguzi kulilia mmeibiwa kura mimi sina mawazo mabovu kama hayo ni mtu huru so ni lazima nikupe darasa kwa lines za Chadema chama chako cha maandmano na migomo kila siku!!

Le Mutuz!!
 
una miezi 10 tu tangu uje, taratibu tu utanyooka, hahahahahahaha! hii ndo bongo hatushobokei miili na majina siku hizi loh!

- Haya tizama huyu naye anaenda mbele kama anarudi nyuma, yes unashobokea The King Of All Social Network Media, ndio maana mtumzima na akili zako umeacha threads karibu 1000 humu na kuja kuandika pumba zako hapa, kusudi labda kwa vile watu wengi wanakuja kwenye hii thread na wewe utaonekana, ni kweli unanishobokea kama vipi!! ha! ha! ha! unashobokea LE Big Shoow!!

Le Mutuz!!
 
Kweli Le Mutuz ni jeshi la mtu mmoja!

- Mkuu wangu umeyashitukia hayajaui yananipa ujiko kweli kila ninapopita LE Mutuz nakujua kwenye JF, saafi sana supa ndio maana ninakuwa The King Of All Social Network Media, ha! ha! ha! ha!

- Bro vipi bado upo au? Sijapita pale Steers kwa muda kidogo so let me know kama bado upo, kama vipi!!

Le Mutuz!!
 
People can say whatever they wanna say about him but the guy's stick-to-itiveness is quiet admirable!

- Respect mamen tena unajua kura zangu nyingi huwa zinatokea Shinyanga na MWanza, huko JFs wengi sana you know, nikiingia tu yanakuja na kuanza kujikanyaga1 kanyaga! hoja hamna ninayakanyaga then yanaanza kulia lia tu kama watoto wadogo, yaani yanatia huruma sana!!

Le Mutuz!!
 
Dah kuna swali nilitaka nikuulize ila majibu uyatoayo yamenifanya nisite!
- Respect mamen tena unajua kura zangu nyingi huwa zinatokea Shinyanga na MWanza, huko JFs wengi sana you know, nikiingia tu yanakuja na kuanza kujikanyaga1 kanyaga! hoja hamna ninayakanyaga then yanaanza kulia lia tu kama watoto wadogo, yaani yanatia huruma sana!!

Le Mutuz!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom