Watu wana chuki na le mutuz mbaya ha ha ha.
Gap za maisha na ugumu wa maisha unaleta chuki kwa watanzania..
Le mutuz umezaliwa dar ocean road ukakulia oystrbay na masaki hujui daladala toka utoto then after secondary school ukala zako flight majuuu na kufaidi national cake tu hadi unarudi una uhakika wa maisha na kizazi chako as mzee anakulinda hata ukicheza maulithi yapo ya kutosha..
Sasa wenzako tumezaliwa sitimbi na kukulia mpera mpera tumecheza mashambani huko tukifukuza ndege, shule za sekondari unajifundisha mwenyewe za kata, vyuo udsm bila mgomo haki haziji daily tunapigwa mabomu, tumemaliza ajira nazo nagumashi mshahara inarange lak 5 hadi 1m, yaani life stress tupu, ulithi upo mikoani huko tena mashamba ambayo hadi yatutoe ni kilio tosha,, kila tukipigana kwa kufanya kazi kwa bidii wenye baba zenu mnatupiga gaps kwa kupendelewa nafasi..
So le mutuz bora usijibu tu but watanzania tuliokulia shida kukupenda le mutuz haiwezekani hata iweje although ukweli tunajua ana advantage kubwa sana maishan mwako tanzania as surname yako inakubeba...
But ukweli lazima nikwambie wewe ni mzembe kwa surname yako hiyo kuwa na cv kama hiyo ni uzembe utasomaje vi college wakati school fees ipo ya kutosha, ulitakiwa udondoke havard, oxford, alabama au states university yeyote ya kueleweka as university of california etc..
Pili nina imani mtaji unao as familia bora wewe ulitakiwa uwe na bonge la kampuni hapa bongo utuajiri watanzania wenzako choka mbaya tusio na mitaji kama wanavyofanya watoto wa kishua waliojanjaruka.
3. Hata kama kuajiriwa ulitakiwa uwe kwenye top position kama kina mwamvita, january, abdala shelukindo, twissa na wenginea as ni watoto wa kishua wenzako na nina imani wewe kwenu mna uwezo kuliko hao wote.
4. Wife, ulitakiwa kwa umri wako uwe umeseto na familia yako mnakula kuku tu na kuheshimika mjini hapa kuliko unavyoruka ruka na bongo movies.
5. Hata kama akili za darasani hazikuwa nzuri ulitakiwa utumia nafasi uliyonayo kutoka kimaisha hata kimichezo kama kina luel deng baba yake alikuwa waziri sudan akatumia nafasi kusoma vyuo vikubwa, kukodisha basketball coaches wamtrain hadi akafika NBA,,, Enes kanter nae NBA, kobe brayant, Andrea pirlo italian soccer players hawa watu utajiri wa familia zao ndo umewafikisha mbali kwenye michezo as walikuwa na access ya ku hire proffessional coaches wawa train toka watoto