Hivi umesema umeishi miaka 30 US/Europe? Kama ni kweli, sa ndo kitu gani hichi ulichoki-post hapa pamoja na exposure yote hiyo???
una masifa ya kijinga sana..muda mwingine muulize kwanza mzee wako kabla ya kuandika *****
halafu unataka magamba wakupe wadhifa.sugua benchi tu,unaishia kunawa.- Nimeshacheza Movie mbili moja ya The Return of JLO, imeshatoka na nyingine ya The Dunia Hadaa ipo njiani kutoka na zote zina mabebs wa ukweee kiyama kitupu, so huko tumeshapita tayari!! ha! ha! ha! ndio maana ya Le Biig Shoow!!
Le Mutuz!!
- Kumbe wewe ndio zako hizo za kumuuliza baba yako kabla ya kuandika JF, ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! hillarious!!
Le Mutuz!!
shida yaj=ko akili zimekuruka,slaa na mbowe wameingia je hapa.ndio wamakunyima usingizi???ongea na wa jf achana na slaa wala mbowe.kati ya majanga ya taifa hili nawewe umo.- Mnanivunja mbavu sana ina maana Slaa na Mbowe wamehindwa Urais kila wakati kwa sababu ya umri wao? ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha!
Le Mutuz!!
ki ukweli jf ni ya wote,ila wewe huwa unapumba sana na unabore kino yaan kj sana.
ki ukweli jf ni ya wote,ila wewe huwa unapumba sana na unabore kino yaan kj sana.
- Chadema wameshindwa kila kona na kuishia kuambulia majimbo 46 tu vipi hamuoni aibu kwamba kila kona wanawakataa, yaani ni MBULULA KWELI, well, kesho ninashikiri kwenye kikao cha Baraza Kuu la Taifa Wazazi-CCM so sijakataliwa kila mahali kama Chadema hawajakataliwa kila mahali! ha1 ha1 ha! ha!
Le MutuZ
atamegea nini wakati mkono hana???hahahahahahhahahahah!- Le Biig Shoow na My Super Friends, Super Sintah JLO na Super Kidoti Jokate, ni my people good friends love them with my heart tuna uhusiano wa kawaida na kibiashara maana wote ni wafanya biashara wakubwa sana na very smart people ingawa Sintah JLO nimecheza naye Movie ya The Return Of JLO, si aunajua klwamba Rais Reagan naye alikuwa Big show mcheza Cinema kama vipi au? ha! ha! ha!
Le Mutuz!!
na miaka hiyo yote 30 ukiwa nchi ambazo zinafuata demokrasia ya kweli yaani ulishindwa kuaanza kuwashauri wanachama wako wa CCM kupitia kwa wazazi wako kuwa wabadilike na kufanya uchaguzi wa demokrasia????
Mfano Nafasi ya viongozi wa juu hamna mwanachama anaruhusiwa kugombea yaani Mwenyekiti na makumu wake wanajichagua wenyewe halafu mnawapigia kura kweli hapo kuna demokrasia???
kura sinapigwa kimkoa ili kubaini na akina nani toka wapi wanawakataa hawa viongozi wa juu kweli hapo demokrasia ipo????
Maamuzi yamebakia ndiyo mzee/mwenyekiti huwezi kumkatalia je hapo kuna demokrasia kweli???
KWA TAARIFA YAKO NI KUWA HAO WAJUMBE WALIOTANGAZWA WALIKUWA TAYARI WANAJULIKANA KABLA YA UCHAGUZI KWA HIYO ILIFANYIKA TU KURA ILA IKATANGAZWA KAMA ILIVYOPANGA.
KUMBUKA WALIOTANGAZWA WALIJULIKANA MARA TU BAADA YA KUPIGA KURA HATA KABLA YA KUHESABIWA WW HUJIULIZA KWA NINI????
Nakushauri kama unaona umejiandaa kusaidia nchi yako na watu wako njoo CDM wakupe mikakati yenye kufikisha lengo lako unakovikiria ni salama
UnaProud nini sasa!I am proud na kushika nafasi ya 12, kati ya wagombea 31
hawa si kama wajukuu zake kabisa?/jamaa hakui au laana za watanzania bado zinamwandama??
wewe na chadema tu!!!naona hao chadema wakutesa sana.- Kannuni na katiba za vyama vya siasa sio ishu ya Taifa, so ni invalid agrument!!, ni kama Chadema inapoamua kumnyima Zitto kugombea Urais ni tatizo la Chadema sio la Taifa ya CCM waachie CCM, wewe jali ya kwenu huko Chadema ambako wabunge wenuwanaenda bungeni na watoto zao, wake zao, na wakwe zao pamoja na dada zao!!
Le Mutuz!!
- Ile Short-Pants ilikuwa ni USD $ 150.00 kwenye Marcys Times Square, made by Kevin Clain so ni kubwa yao sana you know!! ha! ha1 ha! ha! ha! ha!, kumbe uliona my special interview kwenye Red Capet ya Miss Redds 2012, saafi sana si unajua ukwia Big Celeb ni ya kawaida sana hayo!! ha! ha! ha! ha!
Le Mutuz!!
Le Mutuz!
wewe na chadema tu!!!naona hao chadema wakutesa sana.