Mtanganyika
JF-Expert Member
- Jul 18, 2007
- 1,601
- 945
Wajasilimali wa JF, swali langu ni simple. Nataka kukupa Millioni ishirini, jee utaziwekezaje? Masharti ni kwamba ndani ya miaka mitatu nataka nusu ya mtaji wangu, na asilimia 25% ya kampuni yako.
Niambie Millioni ishirini utawekeza wapi?
Niambie Millioni ishirini utawekeza wapi?