Mi kama sijaelewa vile. Hela unanipa, yaani sio mkopo. Halafu unataka nusu ya mtaji wako baada ya 3yrs (mtaji upi sasa! hela si ulinipa?). Halafu 25% ya kampuni ndio nini hapa, sijakuelewa kabisa.
Kama 20m ni mkopo unaotakiwa kurudi pamoja na riba ya 50% ya 20m, hapo shughuli pevu. (halafu ile 25% ya kampuni inaingia vp hapa sasa?)
Hebu nifafanulie ndugu yangu, wengine sisi kiswahili lugha ya pili tulikikuta primary school
Yaani ntakunywa mpaka wawe wanifungia humohumo kwenye bar.
That is a very simplistic answer kama wewe kweli ni mshauri wa biashara. Umeambiwa unahitaji kurudisha nusu ya mtaji na 25% ya thamani ya kampuni baada ya miaka mitatu. Hiyo ina maana biashara yako iwe na uwezo wa ku-generate cashflow ya ziada ya shs.10m/= bila kuathiri uendelevu wa biashara yenyewe. Baaada ya hapo lazima uangalie ukuaji wa kampni, yaani growth rate. Growth inaweza kuwa katika aina nyingi, ikiwa ni pamoja na kukua kwa faida ya kila mwaka, kukua kwa mtaji, kukua kwa wingi wa bidhaa unazozalisha, n.k. Kutokana na hayo unaweza kukisia thamani ya kampuni yako baada ya miaka mitatu. Ukipata hiyo thamani ndiyo unaweza kuamua kama pendekezo la jamaa lina mantiki au hapana. Mimi naweza kuzikataa hizo milioni ishirini kama hesabu zinanionyesha kuwa kurudisha milioni kumi na 25% ya tamani ni kampuni ni kama nilikuwa namfanyia kazi jamaa. Yeye kaka anastarehe mimi naangaika na kukuna ubongo wangu na baada ya miaka mitatu yeye ndiye anapata share kubwa ya mafanikio yangu. Hapa naogelea legal and honest business.Nitafuga kuku wa kienyeji
Wajasilimali wa JF, swali langu ni simple. Nataka kukupa Millioni ishirini, jee utaziwekezaje? Masharti ni kwamba ndani ya miaka mitatu nataka nusu ya mtaji wangu, na asilimia 25% ya kampuni yako.
Niambie Millioni ishirini utawekeza wapi?
niambie kwanza ww ukbak nazo utafanyia
Mkuu mimi biashara yangu ndio hii, kutafuta wajasiliamali ambao wana idea kubwa lakini hawana capital ya kutosha, mimi naingia mtaani kusaka capital, na inject capital then tushare profit. Ikifika muda fulani natoa 100% ya capital yangu, then nawekeza kwingine. Hii ni investment kwa start up nyingi ambazo ni idea in process na unajua fika Bank hawa fund start up.
Zote tisa! wewe umeniacha hoi! ngoja niende kwenye kikao cha saccos nikirudi nitakuw na na idea nzuri.
kumbe ulikuwa siriazi unataka kutoa 20m?
Sasa na sisi inabidi tuwe siriazi sasa!
hahahaha! Ushajiharibia valid. Ulifikiri jamaa anatania.
mi nimemwambia anipe nipige mchakato wa kupeleka pork kule arab nations... Mbembeleze basi anipe huo mkwanja,SINTAKUSAHAU!
Wajasilimali ndio kina nani?
Kuandika vizuri kunakushinda utaweza kweli kuwa na millioni ishirini? na kama kweli unazo tuoneshe ulivyozipata na kodi ulizolipa. Ukishindwa basi hizo ni fedha za wizi na unataka kuzihalalisha kwa kutuletea humu tukupe maarifa.
Kama kweli ni hivyo, kaziwekeze CHADEMA huko ndio kunakufaa!
huo ndio ushauri unaotoa kama mtaalam kwenye kitabu chako cha ushauri wa biashara? tz ina wababaishaji wengi sana aiseeNitafuga kuku wa kienyeji
thetheteht! jamani JF kuna utamuuu!!Yaani ntakunywa mpaka wawe wanifungia humohumo kwenye bar.
thetheteht! jamani JF kuna utamuuu!!nitaoa mme wa tatu, nitanunua vitanda 6x6, nitawanunulia wake zangu tv set kila mmoja pamoja redio za maana, nitawanunulia mabaibui, kanga, cheni na pete za ukweli, nitanunua kanzu za ukweli pamoja na suti, nitalipia kahawa pale kijiweni ya mwezi mzima..kama kutakua na cheji nitamfungulia genge bi. mkubwa...