Wajasilimali ndio kina nani?
Kuandika vizuri kunakushinda utaweza kweli kuwa na millioni ishirini? na kama kweli unazo tuoneshe ulivyozipata na kodi ulizolipa. Ukishindwa basi hizo ni fedha za wizi na unataka kuzihalalisha kwa kutuletea humu tukupe maarifa.
Kama kweli ni hivyo, kaziwekeze CHADEMA huko ndio kunakufaa!
Nitafuga kuku wa kienyeji
Non compete agreement, unatengeneza mkabataba kwamba una revel idea yako na everything is off record, I can't copy it or distribute it. Idea is not kucopy biashara za watu bali kuwekeza kwenye small business entrepreneur ambao wana product ambazo zitakuwa next big thing. Kwenye idea 20 i might pick one or two..... I am invest my own money and other investors money. My main goal is making profit but through your product. You have idea, kuna wengine wana mitaji.Mkuu unanihakikishiaje kwamba nikisema idea yangu hutaichukua na kuifanya yako ? maana wewe unao mtaji tayari.
Wajasilimali ndio kina nani?
Kuandika vizuri kunakushinda utaweza kweli kuwa na millioni ishirini? na kama kweli unazo tuoneshe ulivyozipata na kodi ulizolipa. Ukishindwa basi hizo ni fedha za wizi na unataka kuzihalalisha kwa kutuletea humu tukupe maarifa.
Kama kweli ni hivyo, kaziwekeze CHADEMA huko ndio kunakufaa!
Nimeshituka unauliza swali kijanja upate wazo alichukue liwe la kwako? Ukifanya hivyo hutafanikiwa tafuta ushauri wamo humu washauri wa biashara kama uko serious nipigie simu 0755394701 nikupe ushauri.
ningemtafuta dc wa igunga Fatuma Kimario aniuzie nguruwe katika wale anaowafunga.afu niwafanyie mchakato wa kurost pork,nifanye packaging ya kg1,na kg 1itakuwa $7.5 kisha nipeleke Egypt,Libya ,Tunisia,Algeria ,Qatar ,UAE, NA KUWAIT...kule hii bidhaa adimu mkuu...Nipe basi
Wana JF, swali nililouliza hapo ni ukweli asilimia 100. Mpango wangu ni kuleta kitu kipya kabisa kwenye Tanzania market, maarufu kama venture capitalist au Angle Investor. Lengo kuu ni kuwatafuta entrepreneur ambao wanamawazo ambayo yana make sense, (start up business). I will find mtaji, hakuna Interest payment lakini kuna Investment recoup ndani ya muda flani na asilimia fulani ya business ownership with % fulani ya annual divided payout. All the cash injected are specific kufund growth.
I am looking kwa wajasiliamali ambao wana product zaidi ya wale ambao wanataka copy cut. Good starting point kwa wote.
Wajasilimali wa JF, swali langu ni simple. Nataka kukupa Millioni ishirini, jee utaziwekezaje? Masharti ni kwamba ndani ya miaka mitatu nataka nusu ya mtaji wangu, na asilimia 25% ya kampuni yako.
Niambie Millioni ishirini utawekeza wapi?
Mi kama sijaelewa vile. Hela unanipa, yaani sio mkopo. Halafu unataka nusu ya mtaji wako baada ya 3yrs (mtaji upi sasa! hela si ulinipa?). Halafu 25% ya kampuni ndio nini hapa, sijakuelewa kabisa.Wajasilimali wa JF, swali langu ni simple. Nataka kukupa Millioni ishirini, jee utaziwekezaje? Masharti ni kwamba ndani ya miaka mitatu nataka nusu ya mtaji wangu, na asilimia 25% ya kampuni yako.
Niambie Millioni ishirini utawekeza wapi?
Wajasilimali wa JF, swali langu ni simple. Nataka kukupa Millioni ishirini, jee utaziwekezaje? Masharti ni kwamba ndani ya miaka mitatu nataka nusu ya mtaji wangu, na asilimia 25% ya kampuni yako.
Niambie Millioni ishirini utawekeza wapi?