nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 10,683
- 9,839
Nitalima alizeti...na kukamua mafta na kuuza triple refined.Wajasilimali wa JF, swali langu ni simple. Nataka kukupa Millioni ishirini, jee utaziwekezaje? Masharti ni kwamba ndani ya miaka mitatu nataka nusu ya mtaji wangu, na asilimia 25% ya kampuni yako.
Niambie Millioni ishirini utawekeza wapi?
Nitafuga kuku,bata na bata mzinga na ndege wa kila aina....mbolea zao nitaweka bustani ya mboga na kufuga swamak.