Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

Kijiji cha Amani-Ludewa wananchi wa kule ni zaidi ya ng'ombe! Wana maisha magumu! Na dhahabu ipo kwao!

Ni wavivu wa kujiongeza...wamekalia kulewa komoni na ulanzi tu!

Mwenzao mzee kaberege anazidi kujinufaisha kwa kununua maeneo yao yenye Mali...maana ameingia mkataba na WA south!

Hapo hapo Kuna ka-eneo tulikabatiza jina -Dodoma....hapo ndipo makao makuu ya Gono, Kaswende kuntu! na Ngwengwe!

Ni rahisi zaidi kupewa inshu na demu buree! kuliko kupewa kikombe cha maji ya kunywa!
Dodoma. Ni sewa ijayo ya dar es salaam. Kwa miaka 5 ihayo
 
Kuna sehemu moja huko Monduli nilifika umasaini yaani Kama hujakaza roho unaweza tafuta usafiri usiku kwa usiku.

Waweza jiona upo nyuma ya dunia maana Kila kitu ni shida, kuanzia umeme, maji, choo, nyumba ya kulala ni Kama tu kichuguu, dukani kufika kwa mguu ni lisaa na zaidi bado kurudi, hakuna hata kuangalia habari, jioni ni kuota Moto tu.

Ila wenyewe wamezoea na hawajali lolote.
 
Kuna sehemu moja huko monduli nilifika umasaini yaani Kama hujakaza roho unaweza tafuta usafiri usiku kwa usiku,

Waweza jiona upo nyuma ya dunia maana Kila kitu ni shida, kuanzia umeme,maji,choo,nyumba ya kulala ni Kama tu kichuguu,dukani kufika kwa mguu ni lisaa na zaidi bado kurudi,hakuna hata kuangalia habari,jioni ni kuota Moto tu

Ila wenyewe wamezoea na hawajali lolote.
Chooon huwa natamanigi nishindehukoo
 
Kuna sehemu moja huko monduli nilifika umasaini yaani Kama hujakaza roho unaweza tafuta usafiri usiku kwa usiku,

Waweza jiona upo nyuma ya dunia maana Kila kitu ni shida, kuanzia umeme,maji,choo,nyumba ya kulala ni Kama tu kichuguu,dukani kufika kwa mguu ni lisaa na zaidi bado kurudi,hakuna hata kuangalia habari,jioni ni kuota Moto tu

Ila wenyewe wamezoea na hawajali lolote.
Isimani, Iringa. Hakuna kituo cha mafuta ya magari. Hadi ununue kidebe au uende mjini.

Ova
 
Kuna sehemu moja huko monduli nilifika umasaini yaani Kama hujakaza roho unaweza tafuta usafiri usiku kwa usiku,

Waweza jiona upo nyuma ya dunia maana Kila kitu ni shida, kuanzia umeme,maji,choo,nyumba ya kulala ni Kama tu kichuguu,dukani kufika kwa mguu ni lisaa na zaidi bado kurudi,hakuna hata kuangalia habari,jioni ni kuota Moto tu

Ila wenyewe wamezoea na hawajali lolote.
TABORA
nilienda na bus NBS enzi mwaka 2013 nilienda jeshini kikosi cha msange asee tulivyofika singida manyoni nadhani tuka ingia njia ya vumbi kwenda tabora

Toka nimezaliwa sijawahi kuona umaskini kama wa tabora yaani nilishangaa mno njiani kabla ya kufika tabora mjini ....tabora mjini nako ni maskini mno

Kwa muda uke rais alikuwa kikwete 2013 ....nasikia alimaliza kwa kuweka barabara ya lami kutoka singida hadi tabora ila miaka ile hali ilikuwa mbaya

Niliaapa siji kurudi tena TABORA KATIKA MAISHA YANGU
 
TABORA
nilienda na bus NBS enzi mwaka 2013 nilienda jeshini kikosi cha msange asee tulivyofika singida manyoni nadhani tuka ingia njia ya vumbi kwenda tabora

Toka nimezaliwa sijawahi kuona umaskini kama wa tabora yaani nilishangaa mno njiani kabla ya kufika tabora mjini ....tabora mjini nako ni maskini mno

Kwa muda uke rais alikuwa kikwete 2013 ....nasikia alimaliza kwa kuweka barabara ya lami kutoka singida hadi tabora ila miaka ile hali ilikuwa mbaya

Niliaapa siji kurudi tena TABORA KATIKA MAISHA YANGU
Utakuwa ulikatishia itigi inakopitia treni
 
TABORA
nilienda na bus NBS enzi mwaka 2013 nilienda jeshini kikosi cha msange asee tulivyofika singida manyoni nadhani tuka ingia njia ya vumbi kwenda tabora

Toka nimezaliwa sijawahi kuona umaskini kama wa tabora yaani nilishangaa mno njiani kabla ya kufika tabora mjini ....tabora mjini nako ni maskini mno

Kwa muda uke rais alikuwa kikwete 2013 ....nasikia alimaliza kwa kuweka barabara ya lami kutoka singida hadi tabora ila miaka ile hali ilikuwa mbaya

Niliaapa siji kurudi tena TABORA KATIKA MAISHA YANGU
Wamekuwekea lami.Unajiapiza nini sasa?Hivi,una asili ya wapi huko ambako kuna lami hadi vyumbani na umasikini haupo?
 
Zanzibar Michamvi... aisee km huwezi ishi ktk zile hotels au zile Bungalow za watalii ni shida, yaani wenyeji wanaishi ktk vinyumba vya makuti alafu kuona nyoka yupo ndani au kaning'inia juu ya mirunda ndani ni kawaida tuu 😅😅😅😅

Kwengine wilaya ya Tandahimba Mtwara, yaani kule ni msituni japo vijiji na watu wanaishi, yaani maji shida usafiri shida chakula ni Ming'oko na Panya kwa wingi, pombe no Bear kule ni Gongo (nipa) au Mnazi 😅😅😅 maji hata yakunawia uso asubihi ni deal.... sita rudi tena hizo pande kwakweli Duh!!
 
Back
Top Bottom